Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sita washikiliwa kwa ujangili Singida

DSC00107

Mkuu wa wilaya ya Manyoni mkoani Singida, Fatma Toufiq, akikagua vipande vya Meno ya Tembo 28 vilivyokamatwa Julia 8 mwaka huu kwenye nyumba ya wageni (jina tunalo).Vipande hivyo vya Meno ya Tembo ni sehemu ya nyara mbalimbali zilizokamatwa zenye thamani ya zaidi ya shilingi 200 milioni.Pamoja na nyara hizo, pia bunduki mbili za kijeshi aina ya SMG na risasi zake 48,zilikamatwa.(Picha na Gasper Andrew).

Na Gasper Andrew, Singida

Jeshi la polisi Mkoani Singida linawashikiliwa watu sita kwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Sita washikiliwa na Polisi kwa kubaka

WATU sita wamekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 40.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ajali yaua sita na kujeruhi wengine 40 Singida

DSC06556

Basi la kampuni ya Nice Line Coach T.174  CAV  mali ya Enock Mwita wa jijini Mwanza, limegonga lori kubwa RAC 317 N kwa nyuma na kukwanguliwa kushoto kuanzia mlangoni na kusababisha vifo vya abiria watano na kujeruhi wengine 39 waliolazwa katika hospitali ya mkoa mjini Singida.

DSC06566

Dereva wa lori kubwa RAC 317 N raia wa Uganda,Waguuma Mohammed, akizungumzia ajali ya lori lake kugongwa kwa nyuma na basi T.174 CAV mali ya Enock Mwita wa jijini Mwanza. DSC06582 Mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa...

 

10 years ago

Habarileo

Sita wafa katika ajali, 45 wajeruhiwa Singida

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Thobias SedoyekaWATU sita wamekufa na wengine 45 kujeruhiwa katika ajali mbili tofauti za barabarani zilizotokea juzi na jana mkoani Singida.

 

9 years ago

Dewji Blog

Watu sita wapoteza maisha mkoani Singida

RPC

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, ACP. Thobias Sedoyeka akiongea na waandishi wa habari  Mkoani Singida alipokuwa akitoa taarifa za matukio ya mauaji ya watu sita Mkoani hapa.

SAM_0038

Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Mukhola, kata ya Mgori wakiwa katika safari ya kumtafuta mtu aliyewauwa wanawake wawili akiwemo mtalaka wake kwa kugombea mashamba.

Na,Jumbe Ismailly, Singida      

WATU sita wamefariki dunia na mtu mmoja kujeruhiwa katika matukio manne tofauti yaliyotokea Mkoani Singida kati ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

NSSF, Singida yatumia Bilioni 1.52 kukopesha vikundi sita vya wajasiriamali

meneja

Meneja wa shirika na hifadhi ya jamii NSSF, Magreth Mwaipeta akizungumza na wanachama wa kikundi cha Aminika gold Mine Ltd cha Sambaru Wilaya ya Ikungi, Singida.

Na Hillary Shoo, SINGIDA.

MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), umetumia zaidi ya shilingi bilioni 1.52 kwa ajili ya kuvikopesha vyama  sita vya ushirika Mkoani Singida.

Hayo yamebainishwa jana mjini hapa na Meneja wa NSSF Mkoa wa Singida, Magreth Mwaipeta wakati akizungumza kwenye semina ya uhabarisho baina ya shirika la...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Washikiliwa kwa tuhuma za mauaji

WATU watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera kwa tuhuma mbalimbali zikiwemo za mauaji na uhalifu mwingine uliofanyika Oktoba mwaka huu, mkoani humo kwa nyakati tofauti. Kamanda wa Polisi mkoani hapa,...

 

9 years ago

Habarileo

Washikiliwa kwa vurugu Dodoma

WATU wanne wanashikiliwa na Polisi mkoani hapa kutokana na vurugu zilizotokea katika eneo la hoteli iitwayo NAM mjini humu juzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania 13 washikiliwa Madagascar kwa magogo

Watanzania 13 wametiwa mbaroni nchini Madagascar wakituhumiwa kukutwa na meli iliyosheheni magogo ya miti adimu na ghali ambayo yamepigwa marufuku kuvunwa humo.

 

10 years ago

Dewji Blog

23 washikiliwa na Polisi kwa mauaji ya watu 4

DSC01646

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka.

Na Nathaniel Limu, Singida

JESHI la polisi mkoa wa Singida, linawashikilia watu 23 wakazi  wa kijiji cha Nkyala kata ya shelui wilaya Iramba mkoa wa Singida, kwa tuhuma ya kudaiwa kuuawa kwa makusudi wezi wanne wa madume ya Ng’ombe.

Akizungumza na waandishi wa habari jana ofisini kwake, Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka, alisema watu hao kati yao 21 wanatuhumiwa kwa mauaji na wawili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani