Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vurugu zawa kero Dodoma

Kitendo cha kuahirishwa mara kwa mara kwa vikao vya Bunge la Katiba kimewakera baadhi ya wakazi wa Mji wa Dodoma ambao sasa wanapendekeza chombo hicho kivunjwe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BARABARA ZA KUINGIA STENDI YA MAKUMBUSHO ZAWA KERO KWA WATUMIAJI

Bajaji ikijaribu kupita pembeni ya barabara. Gari likionekana kupita pamoja na Bajaj katika njia hiyo inayoelekea maeneo ya Mwananyamala jijini Dar.…

 

9 years ago

Habarileo

Washikiliwa kwa vurugu Dodoma

WATU wanne wanashikiliwa na Polisi mkoani hapa kutokana na vurugu zilizotokea katika eneo la hoteli iitwayo NAM mjini humu juzi.

 

11 years ago

Habarileo

Ajali za bodaboda zawa tishio

KASI ya ajali za pikipiki imemtisha Rais Jakaya Kikwete na ameeleza wasiwasi kwamba ikiendelea hivyo, utafika wakati idadi ya watu watakaokufa itakuwa kubwa kuliko wanaopoteza maisha kutokana na Ukimwi.

 

9 years ago

Vijimambo

PUSH UP ZA DK MAGUFULI ZAWA GUMZO NCHINI

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akionesha umahiri wa afya yake kwa kufanya mazoezi ya Push Up wakati wa mkutano wa kampeni mjini Karagwe, mkoani Kagera leo.


 Dk Magufuli akihutubia na kujinadi kwa wananchi wakati wa mkutano wa kampeni mjini Nkwenda, wilayani Kyerwa, mkoani Kagera. Wananchi wakishangilia baada ya kufurahishwa na hotuba za Dk Magufuli na ahadi alizokuwa anazitoa.
 Dk Magufuli akimnadi mgombea ubunge Jimbo la Kyerwa, Swisbert Ntambuka wakati wa mkutano wa...

 

11 years ago

Habarileo

Hati za Muungano zawa hoja Namba 1

SIKU ya kwanza ya kujadili rasimu jana, kwa kamati tatu zilizotoa taarifa, zimeeleza mjadala umeanza kwa amani huku wajumbe wengi wakitaka kuoneshwa kwanza hati za Muungano, zilizosainiwa na waasisi wake, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na Shekhe Abeid Amaan Karume, ndipo waanze mjadala.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kila la heri ZAWA boresheni utendaji wenu

NCHI nyingi hivi karibuni ikiwemo Tanzania ziliadhimisha Siku ya Maji Duiani, Machi 22. Sasa ni miaka 11 tokea maadhimisho haya kufanyika baada ya azimio la Umoja wa Mataifa (UN) kuwa...

 

10 years ago

GPL

PICHA ZA WEMA, DIMPOZ ZAWA KIVUTIO MTANDAONI

Staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu 'Beautiful Onyinye ' (kushoto) akiwa amepozi na Ommy Dimpoz .…

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha za Wema na Idris Zawa Gumzo Mitandaoni

Picha za Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu na mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan wakiwa kwenye Instagram party jijini Mwanza zimezua mjadala na maswali mengi kwenye mitandao ya kijamii juu ya ukaribu walionao kwa hivi sasa na picha zao wakiwa ‘batani’.

Kila mtu ana lake kuhusu picha hizi, wapo wanosema hawa ni marafiki tu, huku wengine wakisema Wema anataka kujiweka kwa Idris, wapo wanaosema Wema anafanya hivyo kumrusha roho ‘fulani’.

Lakini  yote kwa yote wawili hawa ni marafiki tu , na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani