Vurugu zawa kero Dodoma
Kitendo cha kuahirishwa mara kwa mara kwa vikao vya Bunge la Katiba kimewakera baadhi ya wakazi wa Mji wa Dodoma ambao sasa wanapendekeza chombo hicho kivunjwe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLBARABARA ZA KUINGIA STENDI YA MAKUMBUSHO ZAWA KERO KWA WATUMIAJI
9 years ago
Habarileo13 Sep
Washikiliwa kwa vurugu Dodoma
WATU wanne wanashikiliwa na Polisi mkoani hapa kutokana na vurugu zilizotokea katika eneo la hoteli iitwayo NAM mjini humu juzi.
11 years ago
Habarileo21 Jul
Ajali za bodaboda zawa tishio
KASI ya ajali za pikipiki imemtisha Rais Jakaya Kikwete na ameeleza wasiwasi kwamba ikiendelea hivyo, utafika wakati idadi ya watu watakaokufa itakuwa kubwa kuliko wanaopoteza maisha kutokana na Ukimwi.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-heRTGBxvEtQ/VgGR6SqlQZI/AAAAAAAA6MU/B6XBHyc-bKg/s72-c/0P0A9624.jpg)
PUSH UP ZA DK MAGUFULI ZAWA GUMZO NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-heRTGBxvEtQ/VgGR6SqlQZI/AAAAAAAA6MU/B6XBHyc-bKg/s1600/0P0A9624.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1UB3HM059b4/VgGR65-SADI/AAAAAAAA6MY/0IBb4ZjK9tU/s1600/0P0A9625.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zzZeVVRJfIc/VgGR6DUECTI/AAAAAAAA6MQ/n6wBUuXno5I/s1600/0P0A9630.jpg)
11 years ago
Habarileo02 Apr
Hati za Muungano zawa hoja Namba 1
SIKU ya kwanza ya kujadili rasimu jana, kwa kamati tatu zilizotoa taarifa, zimeeleza mjadala umeanza kwa amani huku wajumbe wengi wakitaka kuoneshwa kwanza hati za Muungano, zilizosainiwa na waasisi wake, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na Shekhe Abeid Amaan Karume, ndipo waanze mjadala.
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Kila la heri ZAWA boresheni utendaji wenu
NCHI nyingi hivi karibuni ikiwemo Tanzania ziliadhimisha Siku ya Maji Duiani, Machi 22. Sasa ni miaka 11 tokea maadhimisho haya kufanyika baada ya azimio la Umoja wa Mataifa (UN) kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa5ykzFMfmh7pSmwlW**2lmQk6HoB0QbNQazDbT-spRc4J0a6w9-kZafShIO3cj*6d88oByKSro4aGmeMyrGNdHg/wema_sepetu_na_ommy567.jpg?width=650)
PICHA ZA WEMA, DIMPOZ ZAWA KIVUTIO MTANDAONI
10 years ago
Bongo Movies04 May
Picha za Wema na Idris Zawa Gumzo Mitandaoni
Picha za Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu na mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan wakiwa kwenye Instagram party jijini Mwanza zimezua mjadala na maswali mengi kwenye mitandao ya kijamii juu ya ukaribu walionao kwa hivi sasa na picha zao wakiwa ‘batani’.
Kila mtu ana lake kuhusu picha hizi, wapo wanosema hawa ni marafiki tu, huku wengine wakisema Wema anataka kujiweka kwa Idris, wapo wanaosema Wema anafanya hivyo kumrusha roho ‘fulani’.
Lakini yote kwa yote wawili hawa ni marafiki tu , na...