Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PUSH UP ZA DK MAGUFULI ZAWA GUMZO NCHINI

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akionesha umahiri wa afya yake kwa kufanya mazoezi ya Push Up wakati wa mkutano wa kampeni mjini Karagwe, mkoani Kagera leo.


 Dk Magufuli akihutubia na kujinadi kwa wananchi wakati wa mkutano wa kampeni mjini Nkwenda, wilayani Kyerwa, mkoani Kagera. Wananchi wakishangilia baada ya kufurahishwa na hotuba za Dk Magufuli na ahadi alizokuwa anazitoa.
 Dk Magufuli akimnadi mgombea ubunge Jimbo la Kyerwa, Swisbert Ntambuka wakati wa mkutano wa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Picha za Wema na Idris Zawa Gumzo Mitandaoni

Picha za Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu na mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan wakiwa kwenye Instagram party jijini Mwanza zimezua mjadala na maswali mengi kwenye mitandao ya kijamii juu ya ukaribu walionao kwa hivi sasa na picha zao wakiwa ‘batani’.

Kila mtu ana lake kuhusu picha hizi, wapo wanosema hawa ni marafiki tu, huku wengine wakisema Wema anataka kujiweka kwa Idris, wapo wanaosema Wema anafanya hivyo kumrusha roho ‘fulani’.

Lakini  yote kwa yote wawili hawa ni marafiki tu , na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha za Wema na Ommy Dimpoz Zawa Gumzo Mtandaoni!!!

Siku ya jana kwenye kurasa mbalimbali za watu maarufu kwenye mtandao wa INSTAGRAM walibandika picha hizi za mwanadada Wema Sepetu akiwa na Ommy Dimpoz wakiwa katika mapozi tofauti tofauti.

Kila zilipowekwa, wengi wa bonyeza kitufe cha kuzipenda na wengine waliandika maoni yao huku wengi wakiwasifia kwa jinsi walivyopendeza, na wengine walienda mbali zaidi kuwa wamependezana hivyo ingependeza hii iwe ni Le PROJECT mupyaaa.

Ila baadhi ya watu walibuka na kuponda bila sababu kibaya zaidi ni...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha za Wolper Akifanya Mazoezi Zawa Gumzo Mtandaoni!!!

Picha za mrembo na mwigizaji wa sinema za kibongo, Jackline Masawe ‘Wolper’ alizoziweka mtandaono akiwa nafanya mazoezi ya viungo zimezua mjadala na maswali mengi.

Wolper ambae kwasaa anaonekana  kuwa ‘Bonge’ , wiki iliyopita alitangaza kuanza kufanya mazoezi ili aurudie mwili wake wazamani,  toka juzi amekuwa akitupia mtandaoni picha hizo hapo juu  akiwa mazoezini.

Mbali na mashabiki wake wengi kumpamoyo kuwa aendelee kukomaa na mazoezi, wapo ambao waliona kama mwanadada japokuwani kweli...

 

10 years ago

Bongo Movies

Tetesi za Ndoa ya Wema Sepetu Zawa Gumzo Mjini!

Ubuyu Mpya unaoenea kwa siri kwenye mitandao ya kijamii kwa sasa, ni kuhusu ndoa ya super star wema sepetu inayotarajiwa kufungwa ivi karibuni.

Chanzo cha ubuyu kinaeleza kuwa hatua zote muhimu zimeshachukuliwa, kinachosubiriwa tu ni bwaba harusi huyo mtarajiwa kuchukua jiko lake bila kipingamizi chochote. Mpaka sasa ivi bado mume huyo mtarajiwa wa staa huyo hajawekwa wazi kwa kuogopa watu wabaya kumfanyia fitna.

Mpaka sasa management yake inafanya siri kubwa kuhusu tukio hilo muhimu...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kolabo za Coke studio zawa gumzo kwa wapenzi wa muziki

Untitled

-Fid q na Maurice waleta raha

Wapenzi wa muziki nchini ambao wanafuatilia onyesho la Coke Studio kupitia luninga ya Clouds ambalo limeanza kuonyeshwa hivi karibuni wamesema linaleta burudani na Kolabo(mash-up) za mwaka huu imeshirikisha wanamuziki wenye mvuto na kipaji kikubwa.

Wakitoa maoni yao baada ya show ya nguli wa Bongleva Fid Q kutoka nchini na Maurice Kirya kutoka nchini Uganda walisema onyesho hili mwaka huu limezidi kuwa bora na kuleta raha kwa wapenzi wa muziki.

Walisema kuwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Hizi za Hamisa Mobeto Akiwa Mjamzito Zawa Gumzo

Picha za mwanamitindo  ambaye pia amewahi kucheza filamu kadhaa, Hamisa Mobeto akiwa na ujauzitoo zimewashangaza wengi leo huko kwenye mtandao wa Instagram  kwani sio tu ameonenaka na   ujauzito bali habari zilizotoka na picha hizo ni kwamba mwanadada huyo tayari ameshajifungua mtoto wa kike siku kadhaa zilizopita.

Tofauti na mastaa wengi , ujauzito wa staa huyu ulikuwa siri na wengi hatukujua. Hongera sana Hamisa Mobeto.

Mzee wa Ubuyu

 

9 years ago

Bongo Movies

Picha Hizi za Wema Sepetu na Patcho Mwamba Zawa Gumzo Mtandaoni

Picha za mastaa wakali wa Bongo Movies, Wema Sepetu na Patcho Mwamba zilizosambaa mtandaoni wakiwa kwenye mapozi mtamu matamu yakiwaonyesha kama ni wapenzi zimekuwa kivutio miongoni mwa mashabiki wao. Picha hizo ni picha za promo ya filamu yao mpya ya Chungu cha Tatu inayotarajiwa kuingia sokoni siku chache zijazo.

Chungu cha Tatu imetayarishwa na kutengenezwa chini ya kampuni ya Jerusalem Filims.

Jionee picha zaidi HAPA

 

9 years ago

Vijimambo

PUSH-UP ZA MAGUFULI ZAHAMIA MAREKANI

Mtoto Jayden (mtoto wa Halima Ally) akifanya push-up kama anavyofanya mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Mhe. John Pombe Joseph Magufuli, Jayden ni mkaazi wa Maryland nchini Marekani.Jayden akifuata nyayo za mama yake Halima Ally ambaye ni muumini wa CCM

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani