TANZIA-TAARIFA YA AJALI YA TRENI YA UOKOAJI NA KIBERENGE ILIYOTOKEA MACHI 22/2020
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogAJALI YA TRENI YA UOKOAJI NA KIBERENGE YASABABISHA VIFO VYA WATUMISHI WATANO WA TRC
Na Mwandishi Maalum, TRC
Watumishi watano wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) wamefariki dunia kufuatia ajali ya Treni ya Uokoaji kugongana na Kiberenge No.HDT-3 katika maeneo yaliyopo kati ya stesheni za Mwakinyumbi na Gendagenda, eneo liliilopo katika Reli inayotoka Ruvu Junction mpaka Mruanzi Junction, jana, Machi 22, 2020.
Taarifa ya TRC imewataja waliokufa kuwa ni Ramadhani Gumbo wa DTM Tanga, Injinia Fabiola Moshi wa DME Dar es Salaam, Joseph Komba wa ATM Dar es Salaam, Philip Kajuna...
Watumishi watano wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) wamefariki dunia kufuatia ajali ya Treni ya Uokoaji kugongana na Kiberenge No.HDT-3 katika maeneo yaliyopo kati ya stesheni za Mwakinyumbi na Gendagenda, eneo liliilopo katika Reli inayotoka Ruvu Junction mpaka Mruanzi Junction, jana, Machi 22, 2020.
Taarifa ya TRC imewataja waliokufa kuwa ni Ramadhani Gumbo wa DTM Tanga, Injinia Fabiola Moshi wa DME Dar es Salaam, Joseph Komba wa ATM Dar es Salaam, Philip Kajuna...
10 years ago
VijimamboAJALI MBAYA ILIYOTOKEA HUKO UKONGA BANANA
Inasemekana kuwa roli hili lenye contina limeangukia hiace yenye abiria huko maeneo ya banana ukongo na kusababisha vifo vya abiria waliokuwa ndani ya hiace hiyo. Habari hii tumeipata kupitia shuuda wetu aliekuwepo eneo la tukio kwa habari zaidi zitawajia kupitia hapa hapa vijimambo.
11 years ago
GPL10 years ago
GPLTASWIRA ZA AJALI ILIYOTOKEA KIKATITI JIJINI ARUSHA JANA
Mwili wa mwanamke anayedaiwa kuwa mke wa mmiliki wa hoteli na klabu ya AQ baada ya ajali. Basi la Mrindoko Trans baada ya ajali hiyo.…
11 years ago
MichuziAJALI ILIYOTOKEA ENEO LA MOROCO-POSTA LEO JIJINI DAR
Majeruhi akipewa huduma ya kwanza na mmoja wa akina mama aliyekuwa akifanya usafi kando kando ya barabara mapema leo asubuhi,katika ajali hiyo hakuna aliyepoteza maisha.
Baadhi ya Watu wakitazama ajali ya magari mawili kama yaonekanavyo pichani,iliyotokea mapema leo asubuhi eneo la Moroco-Posta jijini Dar,katika ajali hiyo ambayo chanzo chake hakikufahamika mara moja,mtu mmoja alijeruhiwa na kukimbizwa hospitali kwa huduma ya kwanza,hakuna aliyepoteza maisha. Mama ambaye jina lake...
Baadhi ya Watu wakitazama ajali ya magari mawili kama yaonekanavyo pichani,iliyotokea mapema leo asubuhi eneo la Moroco-Posta jijini Dar,katika ajali hiyo ambayo chanzo chake hakikufahamika mara moja,mtu mmoja alijeruhiwa na kukimbizwa hospitali kwa huduma ya kwanza,hakuna aliyepoteza maisha. Mama ambaye jina lake...
10 years ago
Michuzi05 Sep
10 years ago
MichuziTAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2014 MUSOMA LASITISHWA KUFUATIA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA LEO.
Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group,pichani wa tatu shoto Ruge Mutahaba akiwa sambamba na baadhi ya wasanii waliokuwa wakitarajiwa kutumbuiza leo usiku mjini Musoma kwenye tamasha la Fiesta,lakini hata hivyo Uongozi wa Clouds Media Group,Prime Time Promotions ambao ndio waandaaji pamoja na Wadhamini wa tamasha hilo kwa pamoja wamekubaliana kuaihirisha onyesho hilo mpaka hapo baadae itakapotangazwa tena.
Kuaihirishwa huko kunafuatia ajali mbaya na ya aina yake iliyopelekea...
Kuaihirishwa huko kunafuatia ajali mbaya na ya aina yake iliyopelekea...
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA AJALI ILIYOTOKEA PANDAMBILI MKOANI DODOMA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi kufuatia ajali iliyotokea tarehe 30 Julai,...
9 years ago
Michuzi16 Sep
TAARIFA YA TANZIA
TANZIA
FAMILIA YA MAREHEMU ABDALLAH SELEMANI REHANI WA TABATA DAR ES SALAAM INASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MAMA YAO MZAZI HAJJAT PILI MLOLWA REHANI KILICHOTOKEA LEO ALFAJIRI KWENYE HOSPITALI YA MUHIMBILI.
MAZISHI YATAFANYIKA LEO SAA 10 JIONI KWENYE MAKABURI YA SEGEREA, DAR ES SALAAM.
HABARI ZIWAFIKIE:1. FAMILIA YA MZEE MLOLWA WA MTAA WA KAMNA, TABORA2. UKOO WOTE WA MLOLWA NA FUNDIKIRA WA TABORA3. SHEMEJI WA MAREHEMU RAJABU MBUGA WA RUKWA4. FAMILIA YA MHE. MIZENGO PINDA YA MPANDA NA MLELE...
FAMILIA YA MAREHEMU ABDALLAH SELEMANI REHANI WA TABATA DAR ES SALAAM INASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MAMA YAO MZAZI HAJJAT PILI MLOLWA REHANI KILICHOTOKEA LEO ALFAJIRI KWENYE HOSPITALI YA MUHIMBILI.
MAZISHI YATAFANYIKA LEO SAA 10 JIONI KWENYE MAKABURI YA SEGEREA, DAR ES SALAAM.
HABARI ZIWAFIKIE:1. FAMILIA YA MZEE MLOLWA WA MTAA WA KAMNA, TABORA2. UKOO WOTE WA MLOLWA NA FUNDIKIRA WA TABORA3. SHEMEJI WA MAREHEMU RAJABU MBUGA WA RUKWA4. FAMILIA YA MHE. MIZENGO PINDA YA MPANDA NA MLELE...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania