Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi watanda Muhimbili kuwazuia ‘JKT’

>Polisi wenye silaha na mabomu ya machozi pamoja na maofisa usalama, jana walitanda katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kuzuia vijana waliopata mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wasimwone mwenyekiti wao, George Mgoba, aliyelazwa baada ya kutekwa na kuteswa na watu wasiojulikana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

JKT Mbweni yainyuka Polisi Uganda

Timu ya Tanzania ya JKT Mbweni Wanawake imeanza vyema harakati za kutwaa ubingwa wa Michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki ya Netiboli baada ya kuigalagaza Polisi Uganda kwa magoli 42-36 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Askari JKT auawa akisaidiana na Polisi kukabili majambazi

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa, Ramadhani MungiWATU wawili akiwemo jambazi mmoja na askari mwanafunzi wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wamekufa na wengine kunusurika kuuawa katika tukio lililotokea juzi, mjini Mafinga mkoani Iringa wakati majambazi wakirushiana risasi na askari wa Jeshi la Polisi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi watanda Zanzibar

Vyombo vya usalama vimewekwa katika hali ya tahadhari kubwa kutokana na machafuko yaliyochochewa na mgombea wa kiti cha urais kujitangaza kuwa mshindi

 

9 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi watanda Zanzibar kuhusu matokeo

Nchini Tanzania, maafisa wanaohusika na uchaguzi kwa siku ya pili wamekuwa wakihesabu kura.

 

9 years ago

Mwananchi

Utata watanda vifo vya watu watano

Tukio la kuuawa kwa watu watano wa familia moja waliokatwa mapanga na kisha kupoteza maisha kwenye Kitongoji cha Kisesa wilayani Maswa, limegubikwa na utata juu ya watuhumiwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Ulinzi watanda katika kila kona bungeni

Ulinzi katika majengo na viunga vya Bunge umeimarishwa. Tangu jana idadi ya askari polisi imeongezeka.

 

9 years ago

Michuzi

Tangazo kwa wahitimu wa kidato cha nne, sita na JKT ambao wamechaguliwa kujiunga na mafunzo ya awali ya Polisi

JESHI LA POLISI TANZANIA LINAWAJULISHA WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014, KIDATO CHA NNE MWAKA 2014 NA JKT MWAKA 2015 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI KUWA WANATAKIWA KURIPOTI KWA MAKAMANDA WA POLISI WA MIKOA TAREHE 28/08/2015 KWA AJILI YA MAANDALIZI YA USAFIRI WA KWENDA SHULE YA POLISI TANZANIATAREHE 29/08/2015.
KILA MMOJA ATATAKIWA KUWA NA NAULI YA KUMWEZESHA KUSAFIRI TOKA MAKAO MAKUU YA MKOA ANAKOANZIA KUSAFIRI HADI SHULE YA POLISI MOSHI NA ATAREJESHEWA NAULI ATAKAPOFIKA...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mgahawa wa Kichina wakiri kuwazuia weusi

Wamiliki wa mgahawa wa kichina uliopo jijini Nairobi nchini Kenya uliofungwa na mamlaka ya eneo hilo amekiri kuwazuia watu weusi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani