Wasira azua gumzo nchini
NA MWANDISHI WETU
KITENDO cha Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira, kukosea kufunga vishikizo vya koti lake kimegeuka gumzo katika mitandao ya kijamii nchini.
Wasira alikumbwa na kadhia hiyo mwishoni mwa wiki iliyopita wakati wa sherehe za Utume zilizoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato(SDA) huku Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiwa mgeni rasmi.
Katika tukio hilo lililohudhuriwa na kiongozi wa waumini wa dhehebu la Waadventista Wasabato Duniani, Askofu Ted...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies30 Nov
Wema Sepetu azua gumzo kwenye mtandao baada ya kumuita Diamond "kaka"
Huku macho na masikio ya wananchi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania yakiwa kwenye bunge la katiba linalojadili lile sakata la tegeta ESCROW, mwanadada Wema sepetu ameamua naye kuzua gumzo kwenye mtandao baada ya kutoa salamu ya pongezi kwa kijana Naseeb al maarufu kama Chibu dangote ama Diamond platnumz kwa ushindi wake wa tuzo 3 kwenye tuzo za Channel O MUSIC AWARDS zilizofanyika huko Afrika ya kusini akitumia neno KAKA katika sentensi yake kitu ambacho kimezua minong’ono ya hapa na pale...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xNUEP2CwiJI/VS4aX6kn1II/AAAAAAAHRMY/T7MFeDGINpw/s72-c/unnamed.jpg)
WAZIRI WASIRA AELEZEA HALI YA CHAKULA NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-xNUEP2CwiJI/VS4aX6kn1II/AAAAAAAHRMY/T7MFeDGINpw/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HYBY8IPj8Cc/VTEm6H6FjGI/AAAAAAAHRtg/9MWqDvxuvtQ/s72-c/IMG-20150417-WA0036.jpg)
Waziri Wasira na ujumbe wake ziarani nchini Poland
Pamoja na mambo mengine, ziara hii inahusu Ujenzi wa kiwanda cha Matrekta ya Ursus na Ujenzi wa Maghala ya kuhifadhi chakula chini ya NFRA.
Katika ziara hiyo Mhe. Wasira ameambatana na Mkuu wa Hifadhi ya Chakula wa Taifa (NFRA) Charles Walwa, pamoja na Maofisa wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika na SUMA JKT.
![](http://2.bp.blogspot.com/-HYBY8IPj8Cc/VTEm6H6FjGI/AAAAAAAHRtg/9MWqDvxuvtQ/s1600/IMG-20150417-WA0036.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--IRmLWQaSN0/VUSNRU_sz9I/AAAAAAAHUi8/6Z0ae17U3ZU/s72-c/DSCF9996.jpg)
LUKU YAZUA GUMZO NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/--IRmLWQaSN0/VUSNRU_sz9I/AAAAAAAHUi8/6Z0ae17U3ZU/s1600/DSCF9996.jpg)
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO) TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA LUKU KWA BAADHI YA MAWAKALA
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linatoa ufafanuzi juu ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-heRTGBxvEtQ/VgGR6SqlQZI/AAAAAAAA6MU/B6XBHyc-bKg/s72-c/0P0A9624.jpg)
PUSH UP ZA DK MAGUFULI ZAWA GUMZO NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-heRTGBxvEtQ/VgGR6SqlQZI/AAAAAAAA6MU/B6XBHyc-bKg/s1600/0P0A9624.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1UB3HM059b4/VgGR65-SADI/AAAAAAAA6MY/0IBb4ZjK9tU/s1600/0P0A9625.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zzZeVVRJfIc/VgGR6DUECTI/AAAAAAAA6MQ/n6wBUuXno5I/s1600/0P0A9630.jpg)
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Matukio ya 'wasiojulikana' yaliyoibua gumzo nchini Tanzania
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sAifaC4ygvc/VXdkwbHAtxI/AAAAAAAHdi8/gMZayrnJRSM/s72-c/unnamed%2B%252894%2529.jpg)
Waziri Wasira awahimiza wawekezaji kuharakisha mchakato wa kuanza kuunganishwa matrekta hapa nchini
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-0JSvyAwlhRg/VXgxSTEOyMI/AAAAAAADUWI/k8yeR89ZlyE/s72-c/2........jpg)
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira akutana na Rais na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0JSvyAwlhRg/VXgxSTEOyMI/AAAAAAADUWI/k8yeR89ZlyE/s640/2........jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7uwsiC536eQ/VXgxN5-Z_lI/AAAAAAADUWA/DToNU_e8yfc/s640/1......jpg)
Na. Issa Sabuni, WKCUWaziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira amepongeza hatua iliyofikiwa katika ya Serikali ya Tanzania chini ya Shirika la Uchumi na Maendeleo la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT) na Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland akisifu kuwa hatua hiyo ni ya...