Chopa balaa Kalenga
IKIWA imebaki siku moja kabla ya uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga kufanyika, mvutano mkali kati ya Jeshi la Polisi mkoani Iringa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuhusu ...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Chopa yazua mtafaruku uchaguzi Kalenga
>Polisi katika Mkoa wa Iringa, imepiga marufuku matumuzi ya helkopta siku ya uchaguzi mdogo wa Kalenga, kwa madai kuwa kufanya hivyo ni sawa na kupiga kampeni.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-phn5cg9cZ2w/UyM_WOGpi4I/AAAAAAACcdk/UaiQcfMn7gk/s72-c/6.jpg)
KINANA ATUA KALENGA LEO,AMNADI MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA KALENGA KWA KISHINDO
![](http://1.bp.blogspot.com/-phn5cg9cZ2w/UyM_WOGpi4I/AAAAAAACcdk/UaiQcfMn7gk/s1600/6.jpg)
Kinana amewataka wakazi wa Kalenga kumpigia kura za kutosha na hatimae kuibuka mshindi kwa maendeleo ya jimbo hilo,hapo siku ya jumapili ambapo...
11 years ago
Michuzi10 Mar
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NxUT9ikLOjM/Uxt7w_6nioI/AAAAAAACb6Y/XepRUnKfDzM/s72-c/IMG_7757.jpg)
Meya wa Ilala Jerry Silaa,Mwakalebela waishambulia vilivyo Kalenga,wampigia debe la nguvu mgombea ubunge jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-NxUT9ikLOjM/Uxt7w_6nioI/AAAAAAACb6Y/XepRUnKfDzM/s1600/IMG_7757.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ShlZgfeEtBU/Uxt7x5TTc1I/AAAAAAACb6o/R1PCrEQ8wv4/s1600/IMG_7760.jpg)
11 years ago
Michuzi08 Feb
NYOTA YA JACKSON KISWAGA YANG'ARA KALENGA ,WANA KALENGA WAWAOMBA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU KUTOWACHAGULIA WINGINE ZAIDI YA KISWAGA
![](https://2.bp.blogspot.com/-DoCbFIk2njY/UvXax8PgNtI/AAAAAAABiGs/PbsJGBwjsnQ/s1600/004iringa+.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-GXLPCTA9BxM/UvXbBPpNNHI/AAAAAAABiG0/wy2BbXoQ4ew/s1600/images.jpg)
Bw Kiswaga akiwashukuru wana kalenga kwa maombi na imani yao kwake.
Na Francis Godwin, Iringa Wakati leo wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM jimbo la Kalenga wanakutaka katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo mjini Iringa kumteua ...
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Siri ya chopa ya Filikunjombe
Chopa iliyopata ajali katika pori la akiba la mbuga za Selous na kuua watu wanne akiwamo aliyekuwa mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe ni ya Makamu wa Rais wa zamani wa Kenya, Kalonzo Musyoka.
9 years ago
Bongo Movies16 Dec
VISION kwanza..â€-Chopa Mchopanga
VISION kwanza..”-Chopa Mchopanga
“Mwanamke anaweza kumuacha mwanaume mwenye VISION. Nakumfuata mwenye TELEVISION. Ila ipo siku atamuona yule mwenye VISION kwenye TELEVISION ya mume wake
10 years ago
Vijimambo20 Jan
Chopa ya Mwigulu yazua maneno
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Chopa-20Jan2015.jpg)
Hatua hiyo ya Mwigulu, ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara, ilitangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoa wa Geita, Joseph Msukuma jana.
Msukuma alisema ameamua kumpa Mwigulu helikopta...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT7RiE0gWWHcrlkQgK15Ct6a0ooHLb74G*pjHym1AS8pDX3DxpC1kJ7VRjYX*xLg3s7SW1IciTXCGunzEOyT*7Wo/chopa.jpg)
CHOPA APONGEZWA KUMSITIRI KUAMBIANA
Stori:Hamida Hassan
STAA wa filamu wa Bongo Movies, Juma Chikoka ‘Chopa Mchopanga’ amepongezwa na wasanii wenzake kufuatia kitendo cha kumstiri kwa mavazi marehemu Adam Kuambiana aliyefariki dunia Mei 17, mwaka huu na kuzikwa Jumanne iliyopita jijini Dar es Salaam. Staa wa filamu wa Bongo Movies, Juma Chikoka ‘Chopa Mchopanga’ akiwa na wasanii wenzie katika mazishi ya Kuambiana. Imeelezwa kuwa, siku...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania