Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chopa balaa Kalenga

IKIWA imebaki siku moja kabla ya uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga kufanyika, mvutano mkali kati ya Jeshi la Polisi mkoani Iringa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuhusu ...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Chopa yazua mtafaruku uchaguzi Kalenga

>Polisi katika Mkoa wa Iringa, imepiga marufuku matumuzi ya helkopta siku ya uchaguzi mdogo wa Kalenga, kwa madai kuwa kufanya hivyo ni sawa na kupiga kampeni.

 

11 years ago

Michuzi

KINANA ATUA KALENGA LEO,AMNADI MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA KALENGA KWA KISHINDO

 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana pichani kushoto na Naibu Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Mwigulu Nchemba wakimnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia chama hicho cha CCM,Ndugu Godfreya Mgimwa,kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za lala salama,uliofanyika leo jioni katika kijiji cha Magulilwa kata ya Magulilwa,Iringa vijijini.
Kinana amewataka wakazi wa Kalenga kumpigia kura za kutosha na hatimae kuibuka mshindi kwa maendeleo ya jimbo hilo,hapo siku ya jumapili ambapo...

 

11 years ago

Michuzi

Meya wa Ilala Jerry Silaa,Mwakalebela waishambulia vilivyo Kalenga,wampigia debe la nguvu mgombea ubunge jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa

Pichani shoto ni Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM,Ndugu,Jerry Silaa wakishangilia jambo kwa pamoja na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kwa tiketi ya chama cha CCM,Ndugu Godfrey William Mgimwa,katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika jana kwenye uwanja wa shule ya msingi Katenge katika kijiji cha Mgama,kata ya Mgama,Iringa Vijijini. Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM,Ndugu,Jerry Silaa pichani kulia...

 

11 years ago

Michuzi

NYOTA YA JACKSON KISWAGA YANG'ARA KALENGA ,WANA KALENGA WAWAOMBA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU KUTOWACHAGULIA WINGINE ZAIDI YA KISWAGA

Wazee wa kabila la Kihehe, kata ya Kalenga mkoani Iringa wakimpa heshima ya kichifu  alipokuwa Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania Kanda ya Kusini Jackson Kiswaga ambae  leo anapigiwa  kura  za maoni  za  kusimamakugombea  ubunge  kupitia  CCM jimbo la Kalenga
Bw Kiswaga  akiwashukuru  wana kalenga kwa maombi  na imani  yao kwake.
Na Francis Godwin, Iringa Wakati  leo  wajumbe wa Halmashauri  kuu ya CCM jimbo la Kalenga  wanakutaka  katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo mjini Iringa  kumteua ...

 

9 years ago

Mwananchi

Siri ya chopa ya Filikunjombe

Chopa iliyopata ajali katika pori la akiba la mbuga za Selous na kuua watu wanne akiwamo aliyekuwa mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe ni ya Makamu wa Rais wa zamani wa Kenya, Kalonzo Musyoka.

 

9 years ago

Bongo Movies

VISION kwanza..”-Chopa Mchopanga

chopa

VISION kwanza..”-Chopa Mchopanga

“Mwanamke anaweza kumuacha mwanaume mwenye VISION. Nakumfuata mwenye TELEVISION. Ila ipo siku atamuona yule mwenye VISION kwenye TELEVISION ya mume wake

 

10 years ago

Vijimambo

Chopa ya Mwigulu yazua maneno

Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiwa hakijaruhusu kampeni, Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, ambaye amesema ameombwa na wazee na wasomi kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, sasa atazunguka nchi nzima kwa kutumia helikopta kufanya mikutano ya hadhara kuzungumza na wananchi.

Hatua hiyo ya Mwigulu, ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara, ilitangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoa wa Geita, Joseph Msukuma jana.

Msukuma alisema ameamua kumpa Mwigulu helikopta...

 

11 years ago

GPL

CHOPA APONGEZWA KUMSITIRI KUAMBIANA

Stori:Hamida Hassan
STAA wa filamu wa Bongo Movies, Juma Chikoka ‘Chopa Mchopanga’ amepongezwa na wasanii wenzake kufuatia kitendo cha kumstiri kwa mavazi marehemu Adam Kuambiana aliyefariki dunia Mei 17, mwaka huu na kuzikwa Jumanne iliyopita jijini Dar es Salaam. Staa wa filamu wa Bongo Movies, Juma Chikoka ‘Chopa Mchopanga’ akiwa na wasanii wenzie katika mazishi ya Kuambiana. Imeelezwa kuwa, siku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani