Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHOPA APONGEZWA KUMSITIRI KUAMBIANA

Stori:Hamida Hassan
STAA wa filamu wa Bongo Movies, Juma Chikoka ‘Chopa Mchopanga’ amepongezwa na wasanii wenzake kufuatia kitendo cha kumstiri kwa mavazi marehemu Adam Kuambiana aliyefariki dunia Mei 17, mwaka huu na kuzikwa Jumanne iliyopita jijini Dar es Salaam. Staa wa filamu wa Bongo Movies, Juma Chikoka ‘Chopa Mchopanga’ akiwa na wasanii wenzie katika mazishi ya Kuambiana. Imeelezwa kuwa, siku...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Chopa balaa Kalenga

IKIWA imebaki siku moja kabla ya uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga kufanyika, mvutano mkali kati ya Jeshi la Polisi mkoani Iringa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuhusu ...

 

9 years ago

Mwananchi

Siri ya chopa ya Filikunjombe

Chopa iliyopata ajali katika pori la akiba la mbuga za Selous na kuua watu wanne akiwamo aliyekuwa mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe ni ya Makamu wa Rais wa zamani wa Kenya, Kalonzo Musyoka.

 

10 years ago

Vijimambo

Chopa ya Mwigulu yazua maneno

Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiwa hakijaruhusu kampeni, Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, ambaye amesema ameombwa na wazee na wasomi kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, sasa atazunguka nchi nzima kwa kutumia helikopta kufanya mikutano ya hadhara kuzungumza na wananchi.

Hatua hiyo ya Mwigulu, ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara, ilitangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoa wa Geita, Joseph Msukuma jana.

Msukuma alisema ameamua kumpa Mwigulu helikopta...

 

9 years ago

Bongo Movies

VISION kwanza..”-Chopa Mchopanga

chopa

VISION kwanza..”-Chopa Mchopanga

“Mwanamke anaweza kumuacha mwanaume mwenye VISION. Nakumfuata mwenye TELEVISION. Ila ipo siku atamuona yule mwenye VISION kwenye TELEVISION ya mume wake

 

10 years ago

GPL

SHIGONGO APONGEZWA

Mkurugenzi wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, Eric Shigongo(katikati) akiwa na wanahabari wa kituo cha Voice of America (VOA) nchini Marekani. MKURUGENZI wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, wachapishaji wa magazeti ya Ijumaa Wikienda, Uwazi, Risasi Mchanganyiko, Amani, Ijumaa, Risasi Jumamosi na Championi, Eric Shigongo usiku wa Jumatano iliyopita alifanya mahojiano na kituo cha Voice of America (VOA) nchini Marekani na...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Salim apongezwa

>Siku moja baada ya Waziri Mkuu mstaafu, Dk Salim Ahmed Salim kusema kuwa hana mpango na hafikirii tena kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, wasomi na wanasiasa wamezungumzia kauli hiyo wakisema ni ya kishujaa inayofaa kuigwa na viongozi  wengine.

 

9 years ago

Mwananchi

Mkapa, chopa nne kumnadi Magufuli

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeongeza nguvu katika kampeni zake za lala salama kwa kumwongeza Rais mstaafu, Benjamin Mkapa na helkopta nne ili kumwongezea kura mgombea wake wa urais, Dk John Magufuli.

 

11 years ago

Mwananchi

Bilionea wa Marekani aipa Chopa Tanzania

Familia ya bilionea namba mbili nchini Marekani, Warren Buffett imetimiza ahadi ya kutoa msaada wa helikopta moja kwa ajili ya kupambana na ujangili nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Chopa yazua mtafaruku uchaguzi Kalenga

>Polisi katika Mkoa wa Iringa, imepiga marufuku matumuzi ya helkopta siku ya uchaguzi mdogo wa Kalenga, kwa madai kuwa kufanya hivyo ni sawa na kupiga kampeni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani