Siri ya chopa ya Filikunjombe
Chopa iliyopata ajali katika pori la akiba la mbuga za Selous na kuua watu wanne akiwamo aliyekuwa mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe ni ya Makamu wa Rais wa zamani wa Kenya, Kalonzo Musyoka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oL9z5v5x1bY/ViDk68ifZEI/AAAAAAAIAYc/-NjTz1zrYS8/s72-c/chopa-2.jpg)
STOP PRESS: MBUNGE WA LUDEWA MHE DEO FILIKUNJOMBE AFARIKI KATIKA AJALI YA CHOPA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oL9z5v5x1bY/ViDk68ifZEI/AAAAAAAIAYc/-NjTz1zrYS8/s320/chopa-2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LqfJnyU--Zc/ViDk6rqWqjI/AAAAAAAIAYo/M4MKIn4JBv8/s1600/2461.jpg)
Mbunge wa Ludewa Mhe Deogratias Haule Filikunjombe (chini) amefariki dunia katia ajali ya Chopa katika hifadhi ya wanyama ya Selous, pamoja na rubani Kepteni William Silaa (juu kulia), mfanyakazi wa halmashauri ya wilaya ya Ludewa na ndugu yake Marehemu Filikunjombe ambao majina hayajapatikana mara moja.
Mhe. Deo Filikunjombe, rubani na na abiria wengine walipata matatizo ya engine ya chopa namba 5Y-DKK jana jioni wakitokea Dar kuelekea Ludewa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-LRkymnZeQmg/ViDk62H1T2I/AAAAAAAIAYg/Sko6AMTonqU/s320/f2-1.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Oct
CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI
Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania Wa Zanzibar na Tanganyika natumai mumeamka salama na muko katika harakati za kutafuta KIJIO. Ama mimi sina budi ila kumshukuru Mwenyezi Mungu kwakunijaalia kunipa uzima, afay na muda huu mdogo wakufikisha ujumbe […]
The post CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Chopa balaa Kalenga
IKIWA imebaki siku moja kabla ya uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga kufanyika, mvutano mkali kati ya Jeshi la Polisi mkoani Iringa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuhusu ...
10 years ago
Vijimambo20 Jan
Chopa ya Mwigulu yazua maneno
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Chopa-20Jan2015.jpg)
Hatua hiyo ya Mwigulu, ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara, ilitangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoa wa Geita, Joseph Msukuma jana.
Msukuma alisema ameamua kumpa Mwigulu helikopta...
9 years ago
Bongo Movies16 Dec
VISION kwanza..â€-Chopa Mchopanga
VISION kwanza..”-Chopa Mchopanga
“Mwanamke anaweza kumuacha mwanaume mwenye VISION. Nakumfuata mwenye TELEVISION. Ila ipo siku atamuona yule mwenye VISION kwenye TELEVISION ya mume wake
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT7RiE0gWWHcrlkQgK15Ct6a0ooHLb74G*pjHym1AS8pDX3DxpC1kJ7VRjYX*xLg3s7SW1IciTXCGunzEOyT*7Wo/chopa.jpg)
CHOPA APONGEZWA KUMSITIRI KUAMBIANA
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Mkapa, chopa nne kumnadi Magufuli
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Bilionea wa Marekani aipa Chopa Tanzania
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Chopa yazua mtafaruku uchaguzi Kalenga