VISION kwanza..â€-Chopa Mchopanga
VISION kwanza..”-Chopa Mchopanga
“Mwanamke anaweza kumuacha mwanaume mwenye VISION. Nakumfuata mwenye TELEVISION. Ila ipo siku atamuona yule mwenye VISION kwenye TELEVISION ya mume wake
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies09 Jun
Mchopanga Kutangaza Nia Rasmi
JUMA Chikoka ‘Chopa Mchopanga’ mwigizaji na mtayarishaji wa filamu ametangaza rasmi nia yake ya kuingia katika siasa huku akitarajia kutangaza jimbo ambalo atagombea Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi kwani ndio chama chake ambacho kimempatia ridhaa kugombea.
“Nitaendelea kuigiza hata nikiwa Mbunge kwani lengo langu hasa ni kuwa mwanasiasa asiyeachana na Sanaa ni suala la kupanga muda tu, nitakuwa Bungeni nikipumzika lokesheni kama kawaida narekodi filamu za kuelimisha,”anasema...
10 years ago
Bongo Movies14 Dec
MTANI JEMBE:Mchopanga Nursa Kumeza Madawa,JB Asumbuka Kumtuliza
Baada ya Simba kumshushia kipigo kikali Yanga cha mabao mawili kwa sifuri, nakuibuka mtani jembe. Muigizaji na shabiki mkubwa wa timu ya Yanga, Mchopanga inasemekana alitaka kumeza madawa baada ya kuchapa kilaji.
Ripoti kutoka kwa JB, ambae ni shabiki kindakindaki wa timu ya Simba.
“Tahadhari: unaweza ukadharau lakini nikweli.tulitumia zaidi ya masaa2 kumtuliza chopa asimeze madawa.kwanza alianza kulewa uwanjani mara tu baada ya goli la pili.alikuwa analia muda wote.kisha...
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Chopa balaa Kalenga
IKIWA imebaki siku moja kabla ya uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga kufanyika, mvutano mkali kati ya Jeshi la Polisi mkoani Iringa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuhusu ...
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Siri ya chopa ya Filikunjombe
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT7RiE0gWWHcrlkQgK15Ct6a0ooHLb74G*pjHym1AS8pDX3DxpC1kJ7VRjYX*xLg3s7SW1IciTXCGunzEOyT*7Wo/chopa.jpg)
CHOPA APONGEZWA KUMSITIRI KUAMBIANA
10 years ago
Vijimambo20 Jan
Chopa ya Mwigulu yazua maneno
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Chopa-20Jan2015.jpg)
Hatua hiyo ya Mwigulu, ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara, ilitangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoa wa Geita, Joseph Msukuma jana.
Msukuma alisema ameamua kumpa Mwigulu helikopta...
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Chopa yazua mtafaruku uchaguzi Kalenga
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Mkapa, chopa nne kumnadi Magufuli
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Bilionea wa Marekani aipa Chopa Tanzania