Mchopanga Kutangaza Nia Rasmi
JUMA Chikoka ‘Chopa Mchopanga’ mwigizaji na mtayarishaji wa filamu ametangaza rasmi nia yake ya kuingia katika siasa huku akitarajia kutangaza jimbo ambalo atagombea Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi kwani ndio chama chake ambacho kimempatia ridhaa kugombea.
“Nitaendelea kuigiza hata nikiwa Mbunge kwani lengo langu hasa ni kuwa mwanasiasa asiyeachana na Sanaa ni suala la kupanga muda tu, nitakuwa Bungeni nikipumzika lokesheni kama kawaida narekodi filamu za kuelimisha,”anasema...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wEFQUqercMI/VA9P7H3WZcI/AAAAAAAGiSk/uAglWUY1aes/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Tamko rasmi la Dkt. Hamisi Kigwangalla Habari la Kutangaza Nia ya Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwaka 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-wEFQUqercMI/VA9P7H3WZcI/AAAAAAAGiSk/uAglWUY1aes/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
10 years ago
Habarileo25 Jan
Ngeleja akanusha kutangaza nia
MBUNGE wa Sengerema mkoani Mwanza, William Ngeleja, amesema kamwe hajawahi kutangaza nia ya kuingia kwenye kinyang’anyiro cha urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/yRqnlqiXKNg/default.jpg)
10 years ago
Habarileo01 Jun
Balozi Karume kutangaza nia leo
JOTO la urais wa awamu ya tano linazidi kupanda miongoni mwa makada wa CCM, baada ya baadhi yao kuanza kutangaza nia, na leo Balozi mstaafu Ali Karume anatarajiwa kufanya hivyo, akilenga kutaka kumrithi Rais Jakaya Kikwete anayemaliza muda wake Oktoba mwaka huu.
10 years ago
MichuziPof.Muhongo kutangaza nia leo.
10 years ago
Vijimambo30 May
LOWASSA KUTANGAZA NIA LEO ARUSHA
![](http://api.ning.com/files/949x2JmyntG93nPDLNI6zwJ8eMJjRoONo*4CIJIoX6UHi-vb8xIff4rKHQl8*mJn7K8M2Da2l6y55iE-jCUN-2ZW4IArKo6Q/LOWASSA3.jpg)
![](http://api.ning.com/files/949x2JmyntHVxODFa5Ag-0VpMVBbi8DVzyBd-ZekdI*tgv6obMD1XKumlREXY3CmqqAHHT*HV*5lNDp0ugr3jt5u2kRetU4m/LOWASSA8.jpg)
![](http://api.ning.com/files/949x2JmyntHvbZOpev8A2R30QkVRTxbcLTqQ8A7kPxWXlsq4FT0ZHrndCLaCv*D20qWO3YIjahF*l8nLyAiMOruyOIHNaAyv/LOWASSA12.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/949x2JmyntGb4AQbiyRRPecllymhfuE05P0-GgnXqqG9wXkJs5b3UinXv8dhicdjj24SlLchZsY91ZPc-KANV4k33nO23mrL/LOWASSA1.jpg)
![](http://api.ning.com/files/949x2JmyntETouLwnRaMBYSomHmuoKNf0Ex5p*8imwW7Q8ErCeS49FK3Ku0OHD5UidOk9zR3UflLJ8ReWqzY*fIMM3Y4l2sz/LOWASSA2.jpg)
![](http://api.ning.com/files/949x2JmyntHI5mKVy5t4iDbN*cZU*W2Ao*NPTE9MY-oUjFVOxkNxP1I-wII*LkMRa7k3xmAU372kNcGdJIZZmm*8H1z5p*GJ/LOWASSA4.jpg)
![](http://api.ning.com/files/949x2JmyntGkqdsC9WebsIadF6*Ri-FK9HUVQ0oun1QKuAdY9IAPVEn5aevkf1vrFjJtgZl3yNpVcmP1xwDhSS5xfA0ygqNE/LOWASSA5.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR4QLYHZGpwUtqrMN*zT1HpY0xM9C-Lfwe1*UV4lcjcZnpYFZFIolPcF-*-7xfrinxTAqKwSoh2v0zicnm3bP9F5/11722103_428945650611202_5672213971812156064_o.jpg?width=650)
OSTAZ JUMA NAYE KUTANGAZA NIA SOON!
10 years ago
Vijimambo28 May
Mwandosya kutangaza nia ya urais Jumatatu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Prof.Mark-28May2015.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, (Kazi Maalum), Profesa Mark Mwandosya, anatarajia kutangaza nia ya kugombea urais Juni Mosi na kuchukua fomu Juni tatu mwaka huu.
Mwandosya ambaye tayari ametangaza kuacha kuwani ubunge katika jimbo la Rungwe Mashariki, anakusudia kuchukua fomu siku hiyo kuwania mbio za urais.
Profesa Mwandosya alisema sababu zilizomsukuma kuwania urais, atazitaja Juni Mosi atakapotangaza nia mkoani Mbeya.
Alisema...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10