LOWASSA KUTANGAZA NIA LEO ARUSHA
Vijimambo
Wananchi wakigombea lango la kuingia Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha kumsikia Edward Lowassa akitangaza nia ya kugombea urais mwaka huu.
Muonekano wa jukwaa lililoandaliwa kutumika kwenye shughuli hiyo.
Wananchi wakichukua nafasi na kuketi wakisubiri kuanza kwa mkutano huo.
Wafuasi wa Lowassa wakionekana wenye furaha na 'amshaamsha.'
Muonekano wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha ulivyong'arishwa kuelekea mkutano huo.
...wakiendelea kuingia uwanjani hapo.
Uwanja umependeza.
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUWA JIJINI ARUSHA WAKATI MH. LOWASSA ALIPOKUWA AKIELEKEA KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID KUTANGAZA NIA YA URAIS




BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Mwananchi10 Nov
Lowassa: Sina mpango wa kutangaza nia
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Lowassa azidi kuhamasika juu ya kutangaza nia ya kugombea urais

Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwasalimia mamia ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa Dodoma, waendesha boda boda na wamachinga wa mkoa huo walioandamana hii leo hadi nyumbani kwake Area D mjini Dodoma kumuomba pindi wakati ukifika kwa mujibu wa taratibu za chama cha Mapinduzi (CCM) asisite kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais.
Lowassa amesema anazidi kuhamasika kufuatia maombi ya...
10 years ago
MichuziPof.Muhongo kutangaza nia leo.
10 years ago
Habarileo01 Jun
Balozi Karume kutangaza nia leo
JOTO la urais wa awamu ya tano linazidi kupanda miongoni mwa makada wa CCM, baada ya baadhi yao kuanza kutangaza nia, na leo Balozi mstaafu Ali Karume anatarajiwa kufanya hivyo, akilenga kutaka kumrithi Rais Jakaya Kikwete anayemaliza muda wake Oktoba mwaka huu.
10 years ago
Habarileo02 Jun
Muhongo kutangaza nia kuwania urais leo
WAKATI makada watano wakiwa wamejitokeza kutangaza nia ya kuwania urais kwa tiketi ya chama tawala, CCM, leo ni zamu ya Waziri wa Nishati na Madini aliyejiuzulu, Profesa Sospter Muhongo.
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
10 years ago
Vijimambo
HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUWA WAKATI MH. LOWASSA ALIPOKUWA AKIELEKEA KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID KUTANGAZA NIA YA URAIS










