Muhongo kutangaza nia kuwania urais leo
WAKATI makada watano wakiwa wamejitokeza kutangaza nia ya kuwania urais kwa tiketi ya chama tawala, CCM, leo ni zamu ya Waziri wa Nishati na Madini aliyejiuzulu, Profesa Sospter Muhongo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziPof.Muhongo kutangaza nia leo.
10 years ago
GPLPROF. MUHONGO ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
10 years ago
VijimamboProfesa Sospeter Muhongo kutangaza nia ya kuombwa kugombea urais wa Jamahuri ya Muungano
Leo ni zamu ya Profesa Sospeter Muhongo kutangaza nia ya kuombwa kugombea urais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania, kurithi mikoba ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Profesa Muhongo anatangaza nia yake leo Mjini Musoma, kwenye Ukumbi wa Open University Hall, kuanzia saa 10 jioni.
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Membe: Watanzania subirini kwa hamu siku yangu ya kutangaza nia ya kuwania Urais
Na theNkoromo Blog
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amewaomba Watanzania kusubiri kwa hamu siku ya kutangaza nia ya kuwania urais kwa tiketi ya CCM, katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Membe amesema, amepanga kutangaza nia hiyo, Juni 6, mwaka huu, na kuwaomba wananchi wamsikilize kwa makini siku hiyo kwakuwa ataeleza kwa kina nini anataka kufanya nchi iweze kuondoka ilipo ikiwemo kuendelea kudumisha amani na utulivu uliopo.
Waziri Membe ambaye...
10 years ago
Vijimambo29 May
MWIGULU NCHEMBA KUTANGAZA NIA JUMAPILI HII YA KUWANIA URAIS,TANZANIA ITASIMAMA KWA MASAA 3 PALE DODOMA
![](http://api.ning.com/files/LWw0InctTwlR6kkyGUlVXhaUcgbpKMmsY7Tf9fXMdGz37vCWox1iPrxWH*LF*kK9BFeXrCpArhXyx3Iiye0mfeuQhFx3uEsG/315407_114564585412445_342326531_n.jpg)
10 years ago
MichuziMaandalizi ya hafla ya Mh Samuel Sitta kutangaza nia ya kugombea urais yaiva mkoani Tabora leo.
Habari na picha kwa hisani ya Mkala Fundikira wa TBN central zone
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OJV4nvI9150/VWtq2dFWS3I/AAAAAAAC5So/5HezZgGOyn4/s72-c/11329756_376362229232678_2082328067606947816_n.jpg)
MH.Mwigulu alivyotangaza nia ya kuwania urais mkoani Dodoma jioni ya leo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-OJV4nvI9150/VWtq2dFWS3I/AAAAAAAC5So/5HezZgGOyn4/s640/11329756_376362229232678_2082328067606947816_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nnhh5NwEIsM/VWtq2aPeR1I/AAAAAAAC5Sg/6BW8IqvtPwc/s640/10405297_376349925900575_4856674485838068125_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uvZsXRXMytE/VWtq2c3t7VI/AAAAAAAC5Sk/MrqjxTpwVaM/s640/11059549_376348505900717_4776661876593468847_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ICXIawQjrfo/VWtq4HRRdeI/AAAAAAAC5S4/9_oQDgVBdlY/s640/11390138_376352789233622_8386359974678263043_n.jpg)
10 years ago
Mwananchi27 May
Foleni ya Ikulu: Mwandosya, Muhongo kutangaza nia wiki ijayo
10 years ago
Vijimambo28 May
Mwandosya kutangaza nia ya urais Jumatatu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Prof.Mark-28May2015.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, (Kazi Maalum), Profesa Mark Mwandosya, anatarajia kutangaza nia ya kugombea urais Juni Mosi na kuchukua fomu Juni tatu mwaka huu.
Mwandosya ambaye tayari ametangaza kuacha kuwani ubunge katika jimbo la Rungwe Mashariki, anakusudia kuchukua fomu siku hiyo kuwania mbio za urais.
Profesa Mwandosya alisema sababu zilizomsukuma kuwania urais, atazitaja Juni Mosi atakapotangaza nia mkoani Mbeya.
Alisema...