Lowassa: Sina mpango wa kutangaza nia
>Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema hana mpango wa kutangaza nia ya kugombea urais kwa sasa, bali anapenda kushirikiana na waumini na wananchi katika shughuli zao za kimaendeleo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo30 May
LOWASSA KUTANGAZA NIA LEO ARUSHA
![](http://api.ning.com/files/949x2JmyntG93nPDLNI6zwJ8eMJjRoONo*4CIJIoX6UHi-vb8xIff4rKHQl8*mJn7K8M2Da2l6y55iE-jCUN-2ZW4IArKo6Q/LOWASSA3.jpg)
![](http://api.ning.com/files/949x2JmyntHVxODFa5Ag-0VpMVBbi8DVzyBd-ZekdI*tgv6obMD1XKumlREXY3CmqqAHHT*HV*5lNDp0ugr3jt5u2kRetU4m/LOWASSA8.jpg)
![](http://api.ning.com/files/949x2JmyntHvbZOpev8A2R30QkVRTxbcLTqQ8A7kPxWXlsq4FT0ZHrndCLaCv*D20qWO3YIjahF*l8nLyAiMOruyOIHNaAyv/LOWASSA12.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/949x2JmyntGb4AQbiyRRPecllymhfuE05P0-GgnXqqG9wXkJs5b3UinXv8dhicdjj24SlLchZsY91ZPc-KANV4k33nO23mrL/LOWASSA1.jpg)
![](http://api.ning.com/files/949x2JmyntETouLwnRaMBYSomHmuoKNf0Ex5p*8imwW7Q8ErCeS49FK3Ku0OHD5UidOk9zR3UflLJ8ReWqzY*fIMM3Y4l2sz/LOWASSA2.jpg)
![](http://api.ning.com/files/949x2JmyntHI5mKVy5t4iDbN*cZU*W2Ao*NPTE9MY-oUjFVOxkNxP1I-wII*LkMRa7k3xmAU372kNcGdJIZZmm*8H1z5p*GJ/LOWASSA4.jpg)
![](http://api.ning.com/files/949x2JmyntGkqdsC9WebsIadF6*Ri-FK9HUVQ0oun1QKuAdY9IAPVEn5aevkf1vrFjJtgZl3yNpVcmP1xwDhSS5xfA0ygqNE/LOWASSA5.jpg)
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Lowassa: Sina mpango wa kushindwa
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amechukua rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku akisema hana mpango wa kushindwa.
Lowassa aliwasili katika Makao Makuu ya CCM mjini hapa jana saa 10:20 jioni akiambatana na mkewe, Regina huku akisindikizwa na wabunge mbalimbali pamoja na wanachama wa CCM.
Akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wanachama waliokuwapo katika Ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mara baada ya kuchukua...
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Lowassa azidi kuhamasika juu ya kutangaza nia ya kugombea urais
![](http://1.bp.blogspot.com/-FWhS5528qhI/VQ7Ejxct8KI/AAAAAAAAb_U/TOi94DX3bdI/s1600/1.jpg)
Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwasalimia mamia ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa Dodoma, waendesha boda boda na wamachinga wa mkoa huo walioandamana hii leo hadi nyumbani kwake Area D mjini Dodoma kumuomba pindi wakati ukifika kwa mujibu wa taratibu za chama cha Mapinduzi (CCM) asisite kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais.
Lowassa amesema anazidi kuhamasika kufuatia maombi ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-WUYvtOpUMsk/VWrcQgnZ51I/AAAAAAAAsiM/tkjga7Dq_Gw/s72-c/IMG_2939.jpg)
HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUWA WAKATI MH. LOWASSA ALIPOKUWA AKIELEKEA KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID KUTANGAZA NIA YA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-WUYvtOpUMsk/VWrcQgnZ51I/AAAAAAAAsiM/tkjga7Dq_Gw/s640/IMG_2939.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eiUj_0ep2PI/VWrcMsT6z6I/AAAAAAAAsiA/N-Ge1Ktfbbw/s640/IMG_2950.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VZP2AenmpJE/VWrcQS6rDPI/AAAAAAAAsiI/Yd7V--OlhHM/s640/IMG_2952.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HCrZE9XEVu8/VWrcS567LCI/AAAAAAAAsiY/xgubCPYv-5A/s640/IMG_2953.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wojAft-SCcg/VWrcVKyifMI/AAAAAAAAsig/M3MLMzkBRCU/s640/IMG_2963.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bZQb6ovUbHA/VWrcW_lROVI/AAAAAAAAsio/PdOZCIBkRYM/s640/IMG_2964.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KuhHc0avh74/VWrcaf9xf1I/AAAAAAAAsiw/4j0-wWGwBgk/s640/IMG_2974.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qmLemxtETwo/VWrcdFPLT5I/AAAAAAAAsi4/r_hab0pbFpY/s640/IMG_2979.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--6F-Fc-WzG0/VWrcfajRN2I/AAAAAAAAsjA/L6tw6mlG9wg/s640/IMG_2981.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xmUS4W9sJoc/VWrchl8YhHI/AAAAAAAAsjI/OTL7qboe1OI/s640/IMG_2989.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AUyIyYHz5JY/VWrcj25UJtI/AAAAAAAAsjQ/gNANXpmZMBk/s640/IMG_2999.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FWhS5528qhI/VQ7Ejxct8KI/AAAAAAAAb_U/TOi94DX3bdI/s72-c/1.jpg)
LOWASSA AZIDI KUHAMASIKA JUU YA KUTANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS, AWAHIMIZA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWA WINGI DAFTARI LA WAPIGA KURA
![](http://1.bp.blogspot.com/-FWhS5528qhI/VQ7Ejxct8KI/AAAAAAAAb_U/TOi94DX3bdI/s1600/1.jpg)
Lowassa amesema anazidi kuhamasika kufuatia maombi ya watu wa makundi mbalimbali ya jamii wanao muomba kugombea urais mwaka...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WUYvtOpUMsk/VWrcQgnZ51I/AAAAAAAAsiM/tkjga7Dq_Gw/s72-c/IMG_2939.jpg)
HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUWA JIJINI ARUSHA WAKATI MH. LOWASSA ALIPOKUWA AKIELEKEA KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID KUTANGAZA NIA YA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-WUYvtOpUMsk/VWrcQgnZ51I/AAAAAAAAsiM/tkjga7Dq_Gw/s640/IMG_2939.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HCrZE9XEVu8/VWrcS567LCI/AAAAAAAAsiY/xgubCPYv-5A/s640/IMG_2953.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xmUS4W9sJoc/VWrchl8YhHI/AAAAAAAAsjI/OTL7qboe1OI/s640/IMG_2989.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AUyIyYHz5JY/VWrcj25UJtI/AAAAAAAAsjQ/gNANXpmZMBk/s640/IMG_2999.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2JzLafmXRgA/VWidrCTCEAI/AAAAAAAAusc/S3yAUvzSz2w/s72-c/LOWASA%2BKESHO.jpg)
Hii Ndiyo Shughuli ya Lowassa Kesho.. Je! Hao Wana CCM Wengine Wanaotarajia Kutangaza nia Wana Nguvu ya Kutosha?
![](http://4.bp.blogspot.com/-2JzLafmXRgA/VWidrCTCEAI/AAAAAAAAusc/S3yAUvzSz2w/s640/LOWASA%2BKESHO.jpg)
Hii ndiyo shughuli ya Lowassa kesho.. Uwanja wa Sheikh Amri Abeid utatapika kesho ...Je! Hao wana CCM wengine wanaotarajia kutangaza nia wana nguvu ya kutosha? Makongoro, Wasira, Membe, Mwigulu... Mkombozi wenu ni CHIMWAGA (NEC) tu..
10 years ago
Habarileo25 Jan
Ngeleja akanusha kutangaza nia
MBUNGE wa Sengerema mkoani Mwanza, William Ngeleja, amesema kamwe hajawahi kutangaza nia ya kuingia kwenye kinyang’anyiro cha urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10