Mkapa, chopa nne kumnadi Magufuli
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeongeza nguvu katika kampeni zake za lala salama kwa kumwongeza Rais mstaafu, Benjamin Mkapa na helkopta nne ili kumwongezea kura mgombea wake wa urais, Dk John Magufuli.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania16 Sep
TFF yacharuka Cannavaro kumnadi Magufuli
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limewapiga marufuku wanafamilia wake kuelezea hisia zao za kisiasa au kujihusisha katika kampeni za kisiasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mchezo huo.
TFF imechukua hatua hiyo baada ya kubaini kuwepo kwa vitendo vya wanafamilia wake kujihusisha na masuala ya siasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mpira ambayo yana nembo za klabu na wadhamini wa ligi.
Mmoja wa wachezaji waliofanya kitendo hicho ni nahodha wa timu ya Yanga na...
9 years ago
StarTV25 Aug
Samia Suluhu Hassan aanza kumnadi Magufuli Same
Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Samia Suluhu Hassan ameanza ziara ya kampeni za kumnadi Mgombea Urais kupitia CCM Dokta John Pombe Magufuli na kueleza Ilani ya Chama hicho.
Mkutano wa kwanza wa mgombea huyo mwenza umeanzia katika Kijiji cha Hedaru wilayani Same mkoani Kilimanjaro ambapo wakazi wa kijiji hicho wamemweleza mgombea huyo tatizo la maji linalowakabili.
Samia Suluhu Hassan ameanza kampeni zake kwa kutembelea Hospitali ya Hedaru na kuangalia changamoto kwenye...
9 years ago
Habarileo02 Dec
Mrema asema hajutii kumnadi Rais Magufuli
MWENYEKITI wa Taifa wa chama cha siasa cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema amesema hakufanya makosa na wala hajutii kumnadi Rais John Magufuli kwenye kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa sababu alitambua Watanzania wamelamba dume la maendeleo.
9 years ago
Daily News10 Sep
Vote Magufuli and expect the best, says Mkapa
Daily News
Daily News
RETIRED President Benjamin Mkapa has appealed to Tanzanians to trust Union presidential candidate on Chama Cha Mapinduzi (CCM) ticket, Dr John Magufuli and elect him the next president. Mr Mkapa made the remarks on Tuesday afternoon while ...
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Mkapa ampa wasia Rais Magufuli
9 years ago
TheCitizen24 Oct
Magufuli: JK, Mkapa picked wrong people
9 years ago
Habarileo24 Aug
Hakuna kama Dk Magufuli, asema Mkapa
WATANZANIA wameelezwa kuwa katika wagombea wote ambao wameidhinishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), mgombea pekee ambaye anafaa kuiongoza Tanzania ni mgombea wa CCM, Dk John Magufuli.
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Dk Magufuli awapa pole Kikwete, Mkapa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XMEJ96Q2T1Q/XlDeaiq-MKI/AAAAAAAEFJM/kwQBfGHjq_goMw7e7Q1Jh1rumXqNFL0yQCLcBGAsYHQ/s72-c/mk3.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AIPONGEZA MKAPA FOUNDATION KWA UJENZI WA NYUMBA ZA MADAKTARI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-XMEJ96Q2T1Q/XlDeaiq-MKI/AAAAAAAEFJM/kwQBfGHjq_goMw7e7Q1Jh1rumXqNFL0yQCLcBGAsYHQ/s640/mk3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/mk4.jpg)