Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkapa, chopa nne kumnadi Magufuli

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeongeza nguvu katika kampeni zake za lala salama kwa kumwongeza Rais mstaafu, Benjamin Mkapa na helkopta nne ili kumwongezea kura mgombea wake wa urais, Dk John Magufuli.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

TFF yacharuka Cannavaro kumnadi Magufuli

NADIR CANNAVARONA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limewapiga marufuku wanafamilia wake kuelezea hisia zao za kisiasa au kujihusisha katika kampeni za kisiasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mchezo huo.

TFF imechukua hatua hiyo baada ya kubaini kuwepo kwa vitendo vya wanafamilia wake kujihusisha na masuala ya siasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mpira ambayo yana nembo za klabu na wadhamini wa ligi.

Mmoja wa wachezaji waliofanya kitendo hicho ni nahodha wa timu ya Yanga na...

 

9 years ago

StarTV

Samia Suluhu Hassan aanza kumnadi Magufuli Same

Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Samia Suluhu Hassan ameanza ziara ya kampeni za kumnadi Mgombea Urais kupitia CCM Dokta John Pombe Magufuli na kueleza Ilani ya Chama hicho.

Mkutano wa kwanza wa mgombea huyo mwenza umeanzia katika Kijiji cha Hedaru wilayani Same mkoani Kilimanjaro ambapo wakazi wa kijiji hicho wamemweleza mgombea huyo tatizo la maji linalowakabili.

Samia Suluhu Hassan ameanza kampeni zake kwa kutembelea Hospitali ya Hedaru na kuangalia changamoto kwenye...

 

9 years ago

Habarileo

Mrema asema hajutii kumnadi Rais Magufuli

MWENYEKITI wa Taifa wa chama cha siasa cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema amesema hakufanya makosa na wala hajutii kumnadi Rais John Magufuli kwenye kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa sababu alitambua Watanzania wamelamba dume la maendeleo.

 

9 years ago

Daily News

Vote Magufuli and expect the best, says Mkapa


Daily News
Vote Magufuli and expect the best, says Mkapa
Daily News
RETIRED President Benjamin Mkapa has appealed to Tanzanians to trust Union presidential candidate on Chama Cha Mapinduzi (CCM) ticket, Dr John Magufuli and elect him the next president. Mr Mkapa made the remarks on Tuesday afternoon while ...

 

9 years ago

Mwananchi

Mkapa ampa wasia Rais Magufuli

Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa amempa wasia Rais Dk John Magufuli, akitaka Serikali yake ikae na wadau ili kuinua kiwango cha taaluma kinachotolewa nchini.

 

9 years ago

TheCitizen

Magufuli: JK, Mkapa picked wrong people

CCM presidential candidate John Magufuli said yesterday that he felt sorry for President Jakaya Kikwete and retired President Benjamin Mkapa for picking incompetent lieutenants to assist them in leading the country.

 

9 years ago

Habarileo

Hakuna kama Dk Magufuli, asema Mkapa

WATANZANIA wameelezwa kuwa katika wagombea wote ambao wameidhinishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), mgombea pekee ambaye anafaa kuiongoza Tanzania ni mgombea wa CCM, Dk John Magufuli.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli awapa pole Kikwete, Mkapa

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amewapa pole Rais Jakaya Kikwete na Rais mstaafu, Benjamin Mkapa kwa kuwateua watu wasiofaa.

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DK. MAGUFULI AIPONGEZA MKAPA FOUNDATION KWA UJENZI WA NYUMBA ZA MADAKTARI NCHINI

Afisa Mtendaji Mkuu wa Mkapa Foundation Ellen Mkondya Senkoro akimuelekeza jambo Mwakilishi wa WHO nchini Tanzania Dr. Tigest Ketsela katikati wakati alipotembelea banda la taasisi hiyo katika maadhimisho ya Siku ya Madaktari Tanzania yaliyofanyika jana kwenye ukumbi wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam.Afisa Mtendaji Mkuu wa Mkapa Foundation Ellen Mkondya Senkoro akiwa na Mwakilishi wa WHO nchini Tanzania Dr. Tigest Ketsela kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es salaam walipotembelea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani