SHIGONGO APONGEZWA
![](http://api.ning.com:80/files/eOkD9SMZvVqLU*WcuW6PoryTdrlgMjpG0TTxFjuok9i3lx-5T*FoxNvRpqdIG*QyI0GmVnhQq5a8qKLT7ohYU7URi-Sp692n/GetInline.jpg?width=650)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, Eric Shigongo(katikati) akiwa na wanahabari wa kituo cha Voice of America (VOA) nchini Marekani. MKURUGENZI wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, wachapishaji wa magazeti ya Ijumaa Wikienda, Uwazi, Risasi Mchanganyiko, Amani, Ijumaa, Risasi Jumamosi na Championi, Eric Shigongo usiku wa Jumatano iliyopita alifanya mahojiano na kituo cha Voice of America (VOA) nchini Marekani na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Dk Salim apongezwa
9 years ago
Habarileo26 Aug
JK apongezwa kwa maabara
KIONGOZI wa mbio za Mwenge kitaifa mwaka huu, Juma Khatib Chum amesema dhamira ya serikali ya awamu ya nne kuanzisha ujenzi wa vyumba vya maabara za sayansi katika shule za sekondari za kata umelenga kuifanya Tanzania kuwa ya kisayansi.
10 years ago
Habarileo24 Dec
JK apongezwa kwa hotuba
HOTUBA ya Rais Jakaya Kikwete wakati analihutubia taifa kupitia wazee na wakazi wa Dar es Salaam juzi, imepongezwa sambamba na hatua kadhaa alizochukua dhidi ya sakata la Akaunti ya Escrow.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mza-*42r4qhYZ*v3nO1s9vpCMUeECB0unaN27s5zno4bdCF*Ym4e9WFSpFxhjMfpH3kGd1QE4vn4sB8SwPC1bo1MDGBruFHf/jb.jpg?width=650)
JB APONGEZWA KUMWANIKA MKEWE
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE APONGEZWA
11 years ago
Habarileo01 Jun
Mama Salma apongezwa Lindi
UONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Lindi, umempongeza Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (MNEC) anayewakilisha wilaya ya Lindi Mjini, Mama Salma Kikwete kutokana na kazi nzuri anazofanya katika kutimiza majukumu yake.
10 years ago
Habarileo17 Oct
Kikwete apongezwa Umoja wa Mataifa
UMOJA wa Mataifa (UN) umempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa uamuzi wake wa kutoa uraia wa Tanzania kwa waliokuwa wakimbizi 162,156 wa Burundi.
10 years ago
Habarileo29 May
Kikwete apongezwa kupatanisha Zanzibar
KAMATI ya Baraza la Wawakilishi ya Katiba na Utawala Bora, imempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kumaliza mgogoro wa kisiasa na kuimarika kwa amani na utulivu chini ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa.
9 years ago
Habarileo03 Sep
Slaa apongezwa, akingiwa kifua
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa amepongezwa kwa hotuba yake mbele ya waandishi wa habari juzi Dar es Salaam huku wanaomshambulia wakitakiwa waache na kama hawatafanya hivyo basi watajitokeza watu na kumsemea.