Slaa apongezwa, akingiwa kifua
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa amepongezwa kwa hotuba yake mbele ya waandishi wa habari juzi Dar es Salaam huku wanaomshambulia wakitakiwa waache na kama hawatafanya hivyo basi watajitokeza watu na kumsemea.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Mchechu akingiwa kifua NHC
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limesema bado Mkurugenzi wake, Nehemia Mchechu na menejimenti yake wana mikataba halali ambayo haijamalizika muda wake kama inavyodaiwa na mitandao mbalimbali ya kijamii. Kauli...
9 years ago
VijimamboMKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA
Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Dk Salim apongezwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eOkD9SMZvVqLU*WcuW6PoryTdrlgMjpG0TTxFjuok9i3lx-5T*FoxNvRpqdIG*QyI0GmVnhQq5a8qKLT7ohYU7URi-Sp692n/GetInline.jpg?width=650)
SHIGONGO APONGEZWA
9 years ago
Habarileo26 Aug
JK apongezwa kwa maabara
KIONGOZI wa mbio za Mwenge kitaifa mwaka huu, Juma Khatib Chum amesema dhamira ya serikali ya awamu ya nne kuanzisha ujenzi wa vyumba vya maabara za sayansi katika shule za sekondari za kata umelenga kuifanya Tanzania kuwa ya kisayansi.
10 years ago
Habarileo24 Dec
JK apongezwa kwa hotuba
HOTUBA ya Rais Jakaya Kikwete wakati analihutubia taifa kupitia wazee na wakazi wa Dar es Salaam juzi, imepongezwa sambamba na hatua kadhaa alizochukua dhidi ya sakata la Akaunti ya Escrow.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mza-*42r4qhYZ*v3nO1s9vpCMUeECB0unaN27s5zno4bdCF*Ym4e9WFSpFxhjMfpH3kGd1QE4vn4sB8SwPC1bo1MDGBruFHf/jb.jpg?width=650)
JB APONGEZWA KUMWANIKA MKEWE
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE APONGEZWA
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Abood apongezwa kuchimba visima
WANANCHI mkoani Morogoro wamempongeza Mbunge wao, Aziz Abood, kwa jitihada mbalimbali anazofanya ikiwemo kuhakikisha huduma ya maji inapatikana katika maeneo mbalimbali. Wakizungumza na Tanzania Daima jana, wananchi hao walisema tatizo...