Abood apongezwa kuchimba visima
WANANCHI mkoani Morogoro wamempongeza Mbunge wao, Aziz Abood, kwa jitihada mbalimbali anazofanya ikiwemo kuhakikisha huduma ya maji inapatikana katika maeneo mbalimbali. Wakizungumza na Tanzania Daima jana, wananchi hao walisema tatizo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Blue Springs kuchimba visima bure
KAMPUNI ya Blue Springs ya jijini Dar es Salaam imekaribisha maombi ya kuchimbiwa visima bure kwa maeneo yenye uhaba wa maji. Akizungumza na waandishi wa habari jijini humo, Mkurugenzi wa...
11 years ago
GPLPUNGUZENI GHARAMA ZA KUCHIMBA VISIMA - WAZIRI MKUU
11 years ago
Habarileo24 Mar
Pinda ataka gharama za kuchimba visima zipungue
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ametaka Wizara ya Maji kutafuta njia mbadala, itayosaidia kupunguza gharama za kuchimba visima ili wananchi waweze kupata maji safi na salama.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-x78ZszG1o9s/Uy6PWuQ9d3I/AAAAAAACdP0/d0ZnnVdUuTQ/s72-c/pinda.jpg)
PUNGUZENI GHARAMA YA KUCHIMBA VISIMA - WAZIRI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-x78ZszG1o9s/Uy6PWuQ9d3I/AAAAAAACdP0/d0ZnnVdUuTQ/s1600/pinda.jpg)
9 years ago
Habarileo25 Dec
Mbunge Moro kutumia mkopo wa gari kuchimba visima
MBUNGE wa Morogoro Mjini (CCM), Abdulaziz Abood, amesema atatumia fedha ambazo wabunge wanakopeshwa kununua magari, kuchimba visima vya maji kuwezesha wananchi wapatao 1,700 wa kata ya Mkundi kupata maji safi na salama.
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Chadema Moro kumuunga mkono Abood
10 years ago
Mtanzania15 Oct
Abood Jumbe hali tete, alazwa
VERONICA ROMWALD NA MICHAEL SARUNGI, DAR ES SALAAM
RAIS mstaafu wa awamu ya pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Abood Jumbe Mwinyi (94), yupo hoi baada ya kulazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili akisumbuliwa na maradhi ya moyo.
Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, Ofisa Uhusiano wa Hospitali ya Muhimbili, Doris Ishenga, alisema Jumbe alipokewa hospitalini hapo tangu Oktoba 12, mwaka huu.
Amelazwa katika Taasisi ya Moyo baada ya kufanyiwa uchunguzi wa kina.
Alisema kwa...
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Abood atoa msaada kwa wajasiriamali
MBUNGE wa Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood ametoa misaada ya vifaa vya ujenzi na fedha kwa vikundi vya wajasiriamali 15 vyote vikiwa na thamani ya sh milioni 17.5 ikiwa ni utekelezaji...