Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Abood apongezwa kuchimba visima

WANANCHI mkoani Morogoro wamempongeza Mbunge wao, Aziz Abood, kwa jitihada mbalimbali anazofanya ikiwemo kuhakikisha huduma ya maji inapatikana katika maeneo mbalimbali. Wakizungumza na Tanzania Daima jana, wananchi hao walisema tatizo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Blue Springs kuchimba visima bure

KAMPUNI ya Blue Springs ya jijini Dar es Salaam imekaribisha maombi ya kuchimbiwa visima bure kwa maeneo yenye uhaba wa maji. Akizungumza na waandishi wa habari jijini humo, Mkurugenzi wa...

 

11 years ago

GPL

PUNGUZENI GHARAMA ZA KUCHIMBA VISIMA - WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu Mizengo Pinda. WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ameitaka Wizara ya Maji itafute njia mbadala zitazosaidia kupunguza gharama za kuchimba visima ili wananchi waweze kupata maji safi na salama. “Wizara ya Maji angalieni uwezekano wa kupunguza gharama za uchimbaji wa visima ili wananchi waweze kumudu kuchimba visima na wapate uhakika wa maji safi na salama,” alisema. Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo jana (Jumamosi,...

 

11 years ago

Habarileo

Pinda ataka gharama za kuchimba visima zipungue

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ametaka Wizara ya Maji kutafuta njia mbadala, itayosaidia kupunguza gharama za kuchimba visima ili wananchi waweze kupata maji safi na salama.

 

11 years ago

Michuzi

PUNGUZENI GHARAMA YA KUCHIMBA VISIMA - WAZIRI MKUU


WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ameitaka Wizara ya Maji itafute njia mbadala zitazosaidia kupunguza gharama za kuchimba visima ili wananchi waweze kupata maji safi na salama.   “Wizara ya Maji angalieni uwezekano wa kupunguza gharama za uchimbaji wa visima ili wananchi waweze kumudu kuchimba visima na wapate uhakika wa maji safi na salama,” alisema.   Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo jana (Jumamosi, Machi 23, 2014), wakati akifunga Maadhimisho ya Wiki ya Maji Kitaifa yaliyofanyika kwenye Uwanja wa...

 

9 years ago

Habarileo

Mbunge Moro kutumia mkopo wa gari kuchimba visima

MBUNGE wa Morogoro Mjini (CCM), Abdulaziz Abood, amesema atatumia fedha ambazo wabunge wanakopeshwa kununua magari, kuchimba visima vya maji kuwezesha wananchi wapatao 1,700 wa kata ya Mkundi kupata maji safi na salama.

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema Moro kumuunga mkono Abood

Mvutano wa uendelezaji ujenzi wa kituo cha mabasi cha Msamvu mjini hapa, umeingia hatua mpya baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutangaza maandamano kuunga mkono hatua za Mbunge wa Morogoro Mjini, Aziz Abood kuhoji matumizi ya fedha za mradi huo.

 

10 years ago

Mtanzania

Abood Jumbe hali tete, alazwa

Aboud Jumbe MwinyiVERONICA ROMWALD NA MICHAEL SARUNGI, DAR ES SALAAM

RAIS mstaafu wa awamu ya pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Abood Jumbe Mwinyi (94), yupo hoi baada ya kulazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili akisumbuliwa na maradhi ya moyo.

Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, Ofisa Uhusiano wa Hospitali ya Muhimbili, Doris Ishenga, alisema Jumbe alipokewa hospitalini hapo tangu Oktoba 12, mwaka huu.

Amelazwa katika Taasisi ya Moyo baada ya kufanyiwa uchunguzi wa kina.

Alisema kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Abood atoa msaada kwa wajasiriamali

MBUNGE wa Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood ametoa misaada ya vifaa vya ujenzi na fedha kwa vikundi vya wajasiriamali 15 vyote vikiwa na thamani ya sh milioni 17.5 ikiwa ni utekelezaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani