Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge Moro kutumia mkopo wa gari kuchimba visima

MBUNGE wa Morogoro Mjini (CCM), Abdulaziz Abood, amesema atatumia fedha ambazo wabunge wanakopeshwa kununua magari, kuchimba visima vya maji kuwezesha wananchi wapatao 1,700 wa kata ya Mkundi kupata maji safi na salama.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Abood apongezwa kuchimba visima

WANANCHI mkoani Morogoro wamempongeza Mbunge wao, Aziz Abood, kwa jitihada mbalimbali anazofanya ikiwemo kuhakikisha huduma ya maji inapatikana katika maeneo mbalimbali. Wakizungumza na Tanzania Daima jana, wananchi hao walisema tatizo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Blue Springs kuchimba visima bure

KAMPUNI ya Blue Springs ya jijini Dar es Salaam imekaribisha maombi ya kuchimbiwa visima bure kwa maeneo yenye uhaba wa maji. Akizungumza na waandishi wa habari jijini humo, Mkurugenzi wa...

 

11 years ago

Habarileo

Pinda ataka gharama za kuchimba visima zipungue

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ametaka Wizara ya Maji kutafuta njia mbadala, itayosaidia kupunguza gharama za kuchimba visima ili wananchi waweze kupata maji safi na salama.

 

11 years ago

Michuzi

PUNGUZENI GHARAMA YA KUCHIMBA VISIMA - WAZIRI MKUU


WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ameitaka Wizara ya Maji itafute njia mbadala zitazosaidia kupunguza gharama za kuchimba visima ili wananchi waweze kupata maji safi na salama.   “Wizara ya Maji angalieni uwezekano wa kupunguza gharama za uchimbaji wa visima ili wananchi waweze kumudu kuchimba visima na wapate uhakika wa maji safi na salama,” alisema.   Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo jana (Jumamosi, Machi 23, 2014), wakati akifunga Maadhimisho ya Wiki ya Maji Kitaifa yaliyofanyika kwenye Uwanja wa...

 

11 years ago

GPL

PUNGUZENI GHARAMA ZA KUCHIMBA VISIMA - WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu Mizengo Pinda. WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ameitaka Wizara ya Maji itafute njia mbadala zitazosaidia kupunguza gharama za kuchimba visima ili wananchi waweze kupata maji safi na salama. “Wizara ya Maji angalieni uwezekano wa kupunguza gharama za uchimbaji wa visima ili wananchi waweze kumudu kuchimba visima na wapate uhakika wa maji safi na salama,” alisema. Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo jana (Jumamosi,...

 

9 years ago

Vijimambo

Kigulu Makete hawajawahi kuona gari tangu uhuru, Mbunge akiri, tatizo kukosa barabara, asema mwaka huu wataona gari

By Shaban Lupimo, Mwananchi
Makete. Haitashangaza kusikia wakazi wa kata fulani hawajawahi kuona lami tangu Tanzania ipate uhuru mwaka 1961 kwani katika hali ya kawaida kunakuwapo miundombinu ya barabara ambayo hata kama si kwa kiwango cha kuridhisha, magari yanafika kila kukicha.

Hata kama hayafiki kila siku, lakini wananchi wana uwezo wa kutumia usafiri mwingine kama pikipiki, baiskeli na mikokoteni kuwahi shughuli zao na kusafirisha bidhaa mbalimbali na kujenga uchumi.

Hata hivyo, hali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TLTC yakarabati gari la zimamoto Moro

KAMPUNI ya Tumbaku Tanzania (TLTC) imekarabati moja ya magari manne ya zimamoto mkoani Morogoro kwa gharama ya sh milioni 7.8 ili kusaidia idara hiyo kuboresha huduma zake. Akikabidhi gari hilo...

 

11 years ago

GPL

BODABODA YAGONGANA NA GARI, DEREVA AVUNJIKA MGUU MORO

Dereva bodaboda na pikipiki yake baada ya kugongana na gari. Wasamaria wema wakimbeba dereva bodaboda kumpeleka kwenye gari. Gari aina ya…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani