Mbunge Moro kutumia mkopo wa gari kuchimba visima
MBUNGE wa Morogoro Mjini (CCM), Abdulaziz Abood, amesema atatumia fedha ambazo wabunge wanakopeshwa kununua magari, kuchimba visima vya maji kuwezesha wananchi wapatao 1,700 wa kata ya Mkundi kupata maji safi na salama.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Abood apongezwa kuchimba visima
WANANCHI mkoani Morogoro wamempongeza Mbunge wao, Aziz Abood, kwa jitihada mbalimbali anazofanya ikiwemo kuhakikisha huduma ya maji inapatikana katika maeneo mbalimbali. Wakizungumza na Tanzania Daima jana, wananchi hao walisema tatizo...
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Blue Springs kuchimba visima bure
KAMPUNI ya Blue Springs ya jijini Dar es Salaam imekaribisha maombi ya kuchimbiwa visima bure kwa maeneo yenye uhaba wa maji. Akizungumza na waandishi wa habari jijini humo, Mkurugenzi wa...
11 years ago
Habarileo24 Mar
Pinda ataka gharama za kuchimba visima zipungue
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ametaka Wizara ya Maji kutafuta njia mbadala, itayosaidia kupunguza gharama za kuchimba visima ili wananchi waweze kupata maji safi na salama.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-x78ZszG1o9s/Uy6PWuQ9d3I/AAAAAAACdP0/d0ZnnVdUuTQ/s72-c/pinda.jpg)
PUNGUZENI GHARAMA YA KUCHIMBA VISIMA - WAZIRI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-x78ZszG1o9s/Uy6PWuQ9d3I/AAAAAAACdP0/d0ZnnVdUuTQ/s1600/pinda.jpg)
11 years ago
GPLPUNGUZENI GHARAMA ZA KUCHIMBA VISIMA - WAZIRI MKUU
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-iYI46z3__8c/VgRkWQ59Z9I/AAAAAAAD9Rs/RaSxAG_3anI/s72-c/makete.jpg)
Kigulu Makete hawajawahi kuona gari tangu uhuru, Mbunge akiri, tatizo kukosa barabara, asema mwaka huu wataona gari
![](http://4.bp.blogspot.com/-iYI46z3__8c/VgRkWQ59Z9I/AAAAAAAD9Rs/RaSxAG_3anI/s640/makete.jpg)
Makete. Haitashangaza kusikia wakazi wa kata fulani hawajawahi kuona lami tangu Tanzania ipate uhuru mwaka 1961 kwani katika hali ya kawaida kunakuwapo miundombinu ya barabara ambayo hata kama si kwa kiwango cha kuridhisha, magari yanafika kila kukicha.
Hata kama hayafiki kila siku, lakini wananchi wana uwezo wa kutumia usafiri mwingine kama pikipiki, baiskeli na mikokoteni kuwahi shughuli zao na kusafirisha bidhaa mbalimbali na kujenga uchumi.
Hata hivyo, hali...
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
TLTC yakarabati gari la zimamoto Moro
KAMPUNI ya Tumbaku Tanzania (TLTC) imekarabati moja ya magari manne ya zimamoto mkoani Morogoro kwa gharama ya sh milioni 7.8 ili kusaidia idara hiyo kuboresha huduma zake. Akikabidhi gari hilo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9OHZWcwyRASpw4h96jXJiVAdBwIB8jQ8ydX*qqWHCW7xTlpYbD2lUAlX*LTC2FHRNaeGAH51FzotJwgUy7ZHaKRyhLdSHQo1/ajali1.jpg?width=650)
BODABODA YAGONGANA NA GARI, DEREVA AVUNJIKA MGUU MORO