Pinda ataka gharama za kuchimba visima zipungue
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ametaka Wizara ya Maji kutafuta njia mbadala, itayosaidia kupunguza gharama za kuchimba visima ili wananchi waweze kupata maji safi na salama.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLPUNGUZENI GHARAMA ZA KUCHIMBA VISIMA - WAZIRI MKUU
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-x78ZszG1o9s/Uy6PWuQ9d3I/AAAAAAACdP0/d0ZnnVdUuTQ/s72-c/pinda.jpg)
PUNGUZENI GHARAMA YA KUCHIMBA VISIMA - WAZIRI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-x78ZszG1o9s/Uy6PWuQ9d3I/AAAAAAACdP0/d0ZnnVdUuTQ/s1600/pinda.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Abood apongezwa kuchimba visima
WANANCHI mkoani Morogoro wamempongeza Mbunge wao, Aziz Abood, kwa jitihada mbalimbali anazofanya ikiwemo kuhakikisha huduma ya maji inapatikana katika maeneo mbalimbali. Wakizungumza na Tanzania Daima jana, wananchi hao walisema tatizo...
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Blue Springs kuchimba visima bure
KAMPUNI ya Blue Springs ya jijini Dar es Salaam imekaribisha maombi ya kuchimbiwa visima bure kwa maeneo yenye uhaba wa maji. Akizungumza na waandishi wa habari jijini humo, Mkurugenzi wa...
9 years ago
Habarileo25 Dec
Mbunge Moro kutumia mkopo wa gari kuchimba visima
MBUNGE wa Morogoro Mjini (CCM), Abdulaziz Abood, amesema atatumia fedha ambazo wabunge wanakopeshwa kununua magari, kuchimba visima vya maji kuwezesha wananchi wapatao 1,700 wa kata ya Mkundi kupata maji safi na salama.
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Pinda ataka urais
WAKATI makada watano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakitumikia adhabu ya mwaka mmoja kwa kosa la kuanza kampeni za urais wa 2015 kabla ya muda, Waziri Mkuu Mizengo Pinda naye...
10 years ago
Habarileo28 Nov
Pinda ataka subira
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema suala la kumtaka ajiuzulu wadhifa wake si jipya, lakini akasema ni vyema kusubiri mjadala wa Bunge wa sakata la Tegeta Escrow ufike mwisho, ndipo hatua stahiki zitajulikana.
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Pinda ataka ufugaji wa kibiashara
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amewataka wafugaji nchini kufuga kibiashara ili kujikwamua na umaskini. Hayo aliyasema jijini hapa jana wakati akifungua mkutano wa siku tatu wa wadau wa mifugo, uliyoandaliwa na...