Kikwete apongezwa kupatanisha Zanzibar
KAMATI ya Baraza la Wawakilishi ya Katiba na Utawala Bora, imempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kumaliza mgogoro wa kisiasa na kuimarika kwa amani na utulivu chini ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE APONGEZWA
10 years ago
Habarileo17 Oct
Kikwete apongezwa Umoja wa Mataifa
UMOJA wa Mataifa (UN) umempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa uamuzi wake wa kutoa uraia wa Tanzania kwa waliokuwa wakimbizi 162,156 wa Burundi.
10 years ago
Habarileo13 Jan
Kikwete apongezwa kwa dhamira ya kutokomeza umasikini
HALMASHAURI ya wilaya ya Sikonge mkoani Tabora imempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa jitihada na dhamira yake ya dhati ya kupambana na umaskini hapa nchini kupitia mpango wa kuzinusuru na kuziwezesha kaya masikini kiuchumi.
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
IGAD kupatanisha mahasimu Sudan.K
9 years ago
BBCSwahili18 Sep
Rais wa Senegal kupatanisha Burkina Faso
10 years ago
Mwananchi22 Jul
Rais Museveni hafai kupatanisha Burundi
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Dk Salim apongezwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eOkD9SMZvVqLU*WcuW6PoryTdrlgMjpG0TTxFjuok9i3lx-5T*FoxNvRpqdIG*QyI0GmVnhQq5a8qKLT7ohYU7URi-Sp692n/GetInline.jpg?width=650)
SHIGONGO APONGEZWA
9 years ago
Habarileo02 Nov
Kikwete aguswa na hali ya Zanzibar
RAIS Jakaya Kikwete ameeleza kuguswa kwake na hali ya kisiasa na usalama wa Zanzibar na kusema anafanya juu chini kuhakikisha suluhu inapatikana kwa amani, huku Ikulu ikikanusha kupokea maombi kutoka kwa Mgombea Urais wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Shariff Hamad akitaka kukutana na Rais Kikwete.