Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete aguswa na hali ya Zanzibar

RAIS Jakaya Kikwete ameeleza kuguswa kwake na hali ya kisiasa na usalama wa Zanzibar na kusema anafanya juu chini kuhakikisha suluhu inapatikana kwa amani, huku Ikulu ikikanusha kupokea maombi kutoka kwa Mgombea Urais wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Shariff Hamad akitaka kukutana na Rais Kikwete.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

RAIS JAKAYA KIKWETE AGUSWA NA UTENDAJI KAZI WA KINANA, ATAKA AWE MFANO WA KUIGWA

 Rais Kikwete akihutubia maelfu ya watu waliofika kwenye sherehe hizo.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete leo amevunja ukimya na kuzungumzia suala la mawaziri waliotuhumiwa na wananchi kuwa mizigo wakati wa ziara za Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na baadhi ya wajumbe wa sekretarieti katika mikoa kadhaa nchini mwishoni mwa mwaka jana.
"Najua wapo baadhi ya watanzania, walitaka Mawaziri waliotajwa kuwa ni mizigo wafukuzwe kazi, na kwa vile halikufanyika basi suala hilo...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali Mbunge wa Namtumbo Mhe. Vita Kawawa aliyelazwa katika Hospitali ya AMI jijini Dar es salaam akipatiwa matibabu ya tumbo. Katikati yao ni Mhe Adam Malima, naibu Waziri wa Fedha na kushoto ni Daktari katika wodi hiyo . PICHA: IKULU

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO MHE VITA KAWAWA ALIYELAZWA HOSPITALI YA AMI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia haliMbunge wa Namtumbo Mhe. Vita Kawawa aliyelazwa katika hospitaliya AMI jijini Dar es salaam akipatiwa matibabu ya tumbo. Katikati yaoni Mhe Adam Malima, nai bu Waziri wa Fedha na kushoto ni Daktarikatika wodi hiyo.
PICHA NA IKULU

 

10 years ago

Michuzi

RAIS JAKAYA KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO MHE VITA KAWAWA ALIYELAZWA HOSPITALI YA AMI JIJINI DAR ES SALAAM

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali Mbunge wa Namtumbo Mhe. Vita Kawawa aliyelazwa katika hospitali ya AMI jijini Dar es salaam Jumatano,  Januari 14, 2015  akipatiwa matibabu ya tumbo. Katikati yao ni Mhe Adam Malima, nai bu Waziri wa Fedha na kushoto ni Daktari katika wodi hiyo.

 

10 years ago

Mtanzania

Hali tete Zanzibar

1234Na Is-haka Omar, Zanzibar
HALI ya usalama visiwani Zanzibar imechafuka baada ya wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF), kuvamiwa na kupigwa na watu wanaodaiwa kuwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kutokana na vurugu hizo, watu 25 waliokuwa wakitokea katika mkutano wa CUF uliokuwa unafanyika Makunduchi, Wilaya ya Kusini Unguja wamejeruhiwa, huku wanne kati yao wakilazimika kuhamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam kwa matibabu zaidi.
Akithibitisha kutokea kwa tukio...

 

9 years ago

BBCSwahili

Djibout na Zanzibar Heroes hali tete

Michuano ya CECAFA CHALENJI CUP 2015 imeendelea jana jumatano kwa michezo minne ya hatua ya makundi.

 

10 years ago

GPL

CCM, CUF ZANZIBAR HALI TETE!

Hali tete! Hiyo ndiyo kauli inayoweza kutumika kuelezea hali halisi ya kisiasa visiwani Zanzibar katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu 2015 kufuatia vitendo vya uvunjaji wa amani vinavyoendelea visiwani humo, tukio jipya likiwa ni wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF) kushambuliwa kwa mapanga na kujeruhiwa vibaya. Kwa mujibu wa Naibu Mkurugenzi wa Haki za Binadamu wa CUF, Bibi Pavu Juma, katika tukio hilo vijana waliokuwa...

 

10 years ago

Habarileo

Hali ya Rais Kikwete yaimarika

Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Liberata Mulamula aliyekwenda kumjulia hali katika Hospitali ya John Hopkins iliyopo Baltimore, Maryland, nchini Marekani jana, siku moja baada ya kufanyiwa upasuaji wa tezi dume. Hali ya Rais ni nzuri na ameanza mazoezi ya kutembea. (Picha na Ikulu).HALI ya Rais Jakaya Kikwete ambaye mwishoni mwa wiki alifanyiwa operesheni ya tezi dume, inaendelea kuimarika na ameanza kufanya mazoezi ya kutembea.

 

9 years ago

Habarileo

Askofu aguswa na elimu bure

ASKOFU wa Kanisa Katoliki, Jimbo la Morogoro, Telesphor Mkude ameeleza kuguswa na uamuzi wa Serikali ya Awamu ya Tano wa kutoa elimu bure kuanzia awali hadi Kidato cha Nne jambo ambalo amehimiza Rais John Magufuli aungwe mkono katika hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani