Kikwete aguswa na hali ya Zanzibar
RAIS Jakaya Kikwete ameeleza kuguswa kwake na hali ya kisiasa na usalama wa Zanzibar na kusema anafanya juu chini kuhakikisha suluhu inapatikana kwa amani, huku Ikulu ikikanusha kupokea maombi kutoka kwa Mgombea Urais wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Shariff Hamad akitaka kukutana na Rais Kikwete.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jh5hwgfHmCc/Uu6m3jQx-bI/AAAAAAAFKdk/Gm2AOFkRAOY/s72-c/9.+Rais+Kikwete+akihutubia+maelfu+ya+watu+katika+Uwanja+wa+Kumbukumbu+ya+Sokoine+mjini+Mbeya.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE AGUSWA NA UTENDAJI KAZI WA KINANA, ATAKA AWE MFANO WA KUIGWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-jh5hwgfHmCc/Uu6m3jQx-bI/AAAAAAAFKdk/Gm2AOFkRAOY/s1600/9.+Rais+Kikwete+akihutubia+maelfu+ya+watu+katika+Uwanja+wa+Kumbukumbu+ya+Sokoine+mjini+Mbeya.jpg)
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete leo amevunja ukimya na kuzungumzia suala la mawaziri waliotuhumiwa na wananchi kuwa mizigo wakati wa ziara za Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na baadhi ya wajumbe wa sekretarieti katika mikoa kadhaa nchini mwishoni mwa mwaka jana.
"Najua wapo baadhi ya watanzania, walitaka Mawaziri waliotajwa kuwa ni mizigo wafukuzwe kazi, na kwa vile halikufanyika basi suala hilo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTvBnpF140NExkqqnQ7-5HQvT-Gw0fxrMkyaLAi17aWVtSrOS1qo*V**UACu40VCP2WxeyhVLhsz2WS-WQG6zwvd/VitaKawawa.jpg?width=700)
RAIS KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO
10 years ago
Vijimambo14 Jan
RAIS KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO MHE VITA KAWAWA ALIYELAZWA HOSPITALI YA AMI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-kyarACRzXWE%2FVLa0_lUUHRI%2FAAAAAAADVgE%2Fl7kiswmur5s%2Fs1600%2Faa4.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
PICHA NA IKULU
10 years ago
Michuzi15 Jan
RAIS JAKAYA KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO MHE VITA KAWAWA ALIYELAZWA HOSPITALI YA AMI JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://3.bp.blogspot.com/-K7yg0TzVKWA/VLaG7bGGS4I/AAAAAAADL7U/WG_llP0IAnQ/s1600/aa4.jpg)
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Hali tete Zanzibar
Na Is-haka Omar, Zanzibar
HALI ya usalama visiwani Zanzibar imechafuka baada ya wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF), kuvamiwa na kupigwa na watu wanaodaiwa kuwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kutokana na vurugu hizo, watu 25 waliokuwa wakitokea katika mkutano wa CUF uliokuwa unafanyika Makunduchi, Wilaya ya Kusini Unguja wamejeruhiwa, huku wanne kati yao wakilazimika kuhamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam kwa matibabu zaidi.
Akithibitisha kutokea kwa tukio...
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Djibout na Zanzibar Heroes hali tete
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HRXB3pTHxIrxlbr7xG34tSnsch1tz9iB57DkR3ZIIbnS3XB7V8mxEFAnlPlhehZeUn8AhixMANu6KAzoDWbuag7voJUsCxAZ/BACKMIZENGWEcopy.jpg?width=650)
CCM, CUF ZANZIBAR HALI TETE!
10 years ago
Habarileo11 Nov
Hali ya Rais Kikwete yaimarika
HALI ya Rais Jakaya Kikwete ambaye mwishoni mwa wiki alifanyiwa operesheni ya tezi dume, inaendelea kuimarika na ameanza kufanya mazoezi ya kutembea.
9 years ago
Habarileo28 Dec
Askofu aguswa na elimu bure
ASKOFU wa Kanisa Katoliki, Jimbo la Morogoro, Telesphor Mkude ameeleza kuguswa na uamuzi wa Serikali ya Awamu ya Tano wa kutoa elimu bure kuanzia awali hadi Kidato cha Nne jambo ambalo amehimiza Rais John Magufuli aungwe mkono katika hilo.