Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mitikasi ya maza hausi samtaimz ni mikosi

Wazee, mwanangu Jeba anatafuta hauzi ya kupanga. Kama kuna docho mnalijua liko aido, nistueni nikamhamishe. Siku ya tatu leo anapiga mbonji gesti, kazinguana na lendilodi wake, ..akampa kubwa, hapa anasakwa na Polisi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maza kachachawa, mchizi akapagawa

Nimerudi tauni wanangu, ile ile baada ya msele mkubwa wa Kili Music Tour na leo hii niko na wanangu kibao tunakinukisha mitaa ya Leaders, kama hutamind, ungekuja tu tuone jinsi gemu ya kibongo inavyojitanua kivyake.

 

10 years ago

Mwananchi

Krismasi yenye mitikasi haina ukakasi

Mwanangu bado unalazimisha mambo kama longtaimu? Mwenzenu niko katikati ya mji hapa kuna mitikasi miwili mitatu naipiga, nshakubali kama nimepigwa bao na hapa nilipo nshaicheza ngoma yangu na madogo.

 

11 years ago

Michuzi

KINGWENDU AJA NA FAZA HAUSI

MSANII wa filamu nchini Athumani Lali 'Budege' baada ya kucheza filamu za watu sasa ameamua kuja na filamu zake mwenyewe na kuwawezesha wasanii wenzie kuwa na kipato kizuri baada ya kuamua kufungua kampuni yake binafsi inayokwenda kwa jina la AJM Entatainment ambayo ina husika na maswala ya filamu za kibongo Athumani Lali 'Budege' Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Lali amesema kuwa kwa sasa yupo katika atua za mwisho kwa ajili ya kutoa filamu mpya inayokwenda kwa jina la Faza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

AJM yaja na ‘Faza Hausi’

MSANII wa filamu nchini, Athumani Lali ‘Budege’, baada ya kushirikishwa katika filamu za watu, sasa ameamua kuja na kazi zake mwenyewe na kuwawezesha wasanii wenzake kuwa na kipato kizuri baada...

 

10 years ago

GPL

NDOA YA LUCY KOMBA MIKOSI 3

Stori: Gladness Mallya na Mayasa Mariwata
ILE ndoa iliyokuwa ikisubiriwa kwa muda mrefu ya nyota wa filamu Bongo, Lucy Francis Komba na mzungu wake raia wa Denmark anayejulikana kwa jina moja la Janus hatimaye imefungwa na kutawaliwa na matukio yenye mikosi kibao. Nyota wa filamu Bongo, Lucy Francis Komba na mzungu wake raia wa Denmark anayejulikana kwa jina moja la Janus wakiwa ni wenye furaha wakati wa harusi yao. Ndoa hiyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Awadh afuta mikosi Simba

Simba imevunja mwiko wa kutopata ushindi katika siku yao maalumu, ‘Simba Day’ tangu mwaka 2009 baada ya jana kuichapa SC Villa ya Uganda bao 1-0 katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

5 years ago

Raia Mwema

Mikosi tata ilivyomwandama Bill Cosby – 3

WAKATI polisi wakiendelea na uchunguzi wa kifo cha mwanaye, Bil Cosby alikuwa bado akiandamwa na

Shaban Kaluse

 

10 years ago

GPL

MASELA OKOENI JAHAZI HAUSI YA JIRANI INAUNGUA!

Oyo! Inakuwa nini masela wangu wa nguvu hapo kwa fasi ya kitaa cha bee? Saidi hii mambo ni mpeto wa kutakata kama kawiz. Wanangu wa kitaa cha Bukoba poleni kinoma kwa kumlosti mzazi jembe mwanangu mwenyewe Stive. Dah! Msela alikuwa bonge la kichwa kilichomaindi maendeleo so tumuenzi kwa kuanzia pale alipoishia. Tupo pamoko kwa sana machalii. Ebana hivi hayo maishu ya eskro si ni kurudishana bihaindi makachaa? Bati kusema ukweli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani