Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Awadh afuta mikosi Simba

Simba imevunja mwiko wa kutopata ushindi katika siku yao maalumu, ‘Simba Day’ tangu mwaka 2009 baada ya jana kuichapa SC Villa ya Uganda bao 1-0 katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Awadh Juma: Sijui hatima yangu Simba

MCHEZAJI wa Simba, Awadh Juma amekiri kutofahamu hatima yake ndani ya klabu ya Simba kutokana na uvumi kuwa uongozi wake unataka kumpeleka kwa mkopo kwa timu ya Stand United ya...

 

11 years ago

GPL

BAO LA 3 LA SIMBA: JUMA KASEJA VS AWADH JUMA

Kipa wa Yanga, Juma Kaseja (kulia) akijaribu kuumiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Awadh Juma. ...Kaseja akiuchukua mpira.…

 

10 years ago

GPL

NDOA YA LUCY KOMBA MIKOSI 3

Stori: Gladness Mallya na Mayasa Mariwata
ILE ndoa iliyokuwa ikisubiriwa kwa muda mrefu ya nyota wa filamu Bongo, Lucy Francis Komba na mzungu wake raia wa Denmark anayejulikana kwa jina moja la Janus hatimaye imefungwa na kutawaliwa na matukio yenye mikosi kibao. Nyota wa filamu Bongo, Lucy Francis Komba na mzungu wake raia wa Denmark anayejulikana kwa jina moja la Janus wakiwa ni wenye furaha wakati wa harusi yao. Ndoa hiyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Mitikasi ya maza hausi samtaimz ni mikosi

Wazee, mwanangu Jeba anatafuta hauzi ya kupanga. Kama kuna docho mnalijua liko aido, nistueni nikamhamishe. Siku ya tatu leo anapiga mbonji gesti, kazinguana na lendilodi wake, ..akampa kubwa, hapa anasakwa na Polisi.

 

5 years ago

Raia Mwema

Mikosi tata ilivyomwandama Bill Cosby – 3

WAKATI polisi wakiendelea na uchunguzi wa kifo cha mwanaye, Bil Cosby alikuwa bado akiandamwa na

Shaban Kaluse

 

11 years ago

Mwananchi

Bondia Awadh afariki

Bondia Fadhil Awadh amefariki dunia jana asubuhi kwenye Hospitali ya Mwananyamala alipokuwa amelazwa baada ya kuanguka ghafla na kupoteza fahamu akiwa mazoezi kwenye gym ya Kwa Ndame, Manzese, Dar es Salaam Ijumaa iliyopita.

 

11 years ago

Michuzi

BONDIA FADHILI AWADH AFARIKI

Bondia wa ngumi za kulipwa Fadhili awadh amefariki dunia katika hospital ya Mwananyamala jijini Dar es salaam baada ya kuugua kwa siku kadhaa.  Marehemu Fadhili Awadh alikuwa ni miongoni mwa mabondia waliochaguliwa kucheza  mpambano wa ubingwa tarehe 29 mwezi huu wa tatu dhidi ya mpinzani wake toka Tanga Alan Kamote, na  alikuwa katika maandalizi ya mpambano huo.  Sababu ya kifo chake kwa ripoti ya daktari wa Mwananyamala kwa kiongozi wa ngumi Ibrahim Kamwe ni kuwa fadhili alikuwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

IPPmedia

TPA Director General, Awadh Massawe,


IPPmedia
TPA Director General, Awadh Massawe,
IPPmedia
The government has incurred almost 48 bn/- of losses, caused partly by 11,884 containers and 2019 vehicles which had been cleared illegally at the Dar es Salaam port and wharfage. Wharfage is a charge assessed by a shipping terminal or port when goods ...
More rot exposed at Dar portDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)

all 2

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani