Bondia Awadh afariki
Bondia Fadhil Awadh amefariki dunia jana asubuhi kwenye Hospitali ya Mwananyamala alipokuwa amelazwa baada ya kuanguka ghafla na kupoteza fahamu akiwa mazoezi kwenye gym ya Kwa Ndame, Manzese, Dar es Salaam Ijumaa iliyopita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fpyUoymvstE/UyVpwGxxiEI/AAAAAAAFT8Q/mOOMrLIPvSo/s72-c/unnamed+(29).jpg)
BONDIA FADHILI AWADH AFARIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-fpyUoymvstE/UyVpwGxxiEI/AAAAAAAFT8Q/mOOMrLIPvSo/s1600/unnamed+(29).jpg)
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Bondia afariki baada ya 'knock out'
Mwana masumbwi mmoja wa Australia amefariki siku nne baada ya kupoteza fahamu alipopigwa 'knock out' katika pigano la kijimbo mjini Sidney.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRl-KaC-uSnoYte4qR1V361YkLehtQkvYPP5myr5*GPcB9*c8eF6qLc5xH8Mw3CWbaLTHaC0IK3G3M0jnAW1rDC-/BONDIAHUDU.jpg)
BONDIA IRAKI HUDU AFARIKI
Bondia Iraki Hudu enzi za uhai wake. BONDIA mkongwe nchini, Iraki Hudu amefariki dunia leo asubuhi akiwa katika Hospitali ya Hindu Mandal illiyopo maeneo ya Posta, Dar alipokuwa akitibiwa. Msiba upo nyumbani kwake Buguruni. Marehemu Hudu anatarajiwa kuzikwa kesho (Jumamosi) Juni 14, 2014 saa saba mchana.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2AStWy5W0kg/U5rKT7EtTZI/AAAAAAAFqUs/MBF-1NBIe4g/s72-c/Bondia+Mkongwe+Iraki+Hudu(mwenye+miwani)+na+Mwanae+Dani+Hudu.jpg)
Tanzia: Bondia wa zamani iraq hudu afariki dunia leo, kuzikwa kesho kisutu Dar es salaam
BONDIA wa zamani wa ngumi za kulipwa nchini, Iraq Hudu 'Kimbuga' (49) amefariki dunia, baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Dada wa Marehemu Tiba Takadiri, alisema kuwa Hudu amefariki jana majira ya saa 11 ya alfajiri kwenye hospitali ya Hindu Mandal, alikokuwa amelazwa. Takadiri, alimesema kuwa mazishi ya Hudu yatafanyika leo kwenye makaburi ya Kisutu, Dar es Salaam.
Alisema kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na tatizo la ini na figo kutofanya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oJTYyyN45HY/VRXnA1HdS7I/AAAAAAAHNs4/JEAtxzCgJ4A/s72-c/DSCF6974.jpg)
BONDIA MOHAMED MATUMLA AMTANDIKA KWA POINT BONDIA WANG XIN HUA KUTOKA CHINA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oJTYyyN45HY/VRXnA1HdS7I/AAAAAAAHNs4/JEAtxzCgJ4A/s1600/DSCF6974.jpg)
10 years ago
Mwananchi09 Aug
Awadh afuta mikosi Simba
Simba imevunja mwiko wa kutopata ushindi katika siku yao maalumu, ‘Simba Day’ tangu mwaka 2009 baada ya jana kuichapa SC Villa ya Uganda bao 1-0 katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/M7XSJmroneA/default.jpg)
9 years ago
IPPmedia30 Dec
TPA Director General, Awadh Massawe,
IPPmedia
IPPmedia
The government has incurred almost 48 bn/- of losses, caused partly by 11,884 containers and 2019 vehicles which had been cleared illegally at the Dar es Salaam port and wharfage. Wharfage is a charge assessed by a shipping terminal or port when goods ...
More rot exposed at Dar portDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
all 2
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Awadh Juma: Sijui hatima yangu Simba
MCHEZAJI wa Simba, Awadh Juma amekiri kutofahamu hatima yake ndani ya klabu ya Simba kutokana na uvumi kuwa uongozi wake unataka kumpeleka kwa mkopo kwa timu ya Stand United ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania