BONDIA FADHILI AWADH AFARIKI
.jpg)
Bondia wa ngumi za kulipwa Fadhili awadh amefariki dunia katika hospital ya Mwananyamala jijini Dar es salaam baada ya kuugua kwa siku kadhaa.
Marehemu Fadhili Awadh alikuwa ni miongoni mwa mabondia waliochaguliwa kucheza mpambano wa ubingwa tarehe 29 mwezi huu wa tatu dhidi ya mpinzani wake toka Tanga Alan Kamote, na alikuwa katika maandalizi ya mpambano huo.
Sababu ya kifo chake kwa ripoti ya daktari wa Mwananyamala kwa kiongozi wa ngumi Ibrahim Kamwe ni kuwa fadhili alikuwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Bondia Awadh afariki
11 years ago
Vijimambo21 Oct
BONDIA FADHILI BOIKA AJINOA KUMKABILI GODFREY SILVE
10 years ago
Vijimambo11 Nov
BONDIA MTANZANIA FADHILI MAJIHA KUMSINDIKIZA MANNY PAQUAIO NOVEMBA 22 MACAO CHINA
Cotai Arena, Venetian Resort, Macao, Macao S.A.R., China mpambano ambao bonia mtanzania Fadhili Majiha atavaana na Jerwin Ancajas kutoka Philippines mpambano utakaokuwa wa raundi 8
mch

11 years ago
Vijimambo29 Oct
BONDIA FADHILI MAJIHA AONESHA MAAJABU KWA KUPIGWA KWA POINT THAILAND MCHEZO WA RAUNDI 12


11 years ago
GPL
BONDIA IRAKI HUDU AFARIKI
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Bondia afariki baada ya 'knock out'
11 years ago
Michuzi+na+Mwanae+Dani+Hudu.jpg)
Tanzia: Bondia wa zamani iraq hudu afariki dunia leo, kuzikwa kesho kisutu Dar es salaam
10 years ago
Michuzi
BONDIA MOHAMED MATUMLA AMTANDIKA KWA POINT BONDIA WANG XIN HUA KUTOKA CHINA

9 years ago
GPLMASTAA WAMWANDAMA DK. FADHILI