BONDIA FADHILI BOIKA AJINOA KUMKABILI GODFREY SILVE
Bondia Fadhili Boika kushoto akipambana na Shomari Milundi wakati wa mazoezi yake yaliyofanyika katika ukumbi wa garden mburahati ya kujiandaa na mpambano wake wa Oktoba 25 kumkabili bondia Godfrey Silve katika ukumbi wa frends corne manzese Dar es salaam
Bondia Fadhili Boika kushoto akipambana na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi yake yaliyofanyika katika ukumbi wa garden mburahati ya kujiandaa na mpambano wake wa Oktoba 25 kumkabili bondia Godfrey Silve katika ukumbi wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fpyUoymvstE/UyVpwGxxiEI/AAAAAAAFT8Q/mOOMrLIPvSo/s72-c/unnamed+(29).jpg)
BONDIA FADHILI AWADH AFARIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-fpyUoymvstE/UyVpwGxxiEI/AAAAAAAFT8Q/mOOMrLIPvSo/s1600/unnamed+(29).jpg)
10 years ago
Vijimambo11 Nov
BONDIA MTANZANIA FADHILI MAJIHA KUMSINDIKIZA MANNY PAQUAIO NOVEMBA 22 MACAO CHINA
Cotai Arena, Venetian Resort, Macao, Macao S.A.R., China mpambano ambao bonia mtanzania Fadhili Majiha atavaana na Jerwin Ancajas kutoka Philippines mpambano utakaokuwa wa raundi 8
mch
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/QKS3tVcNtePZR89_hw86OSObjCLrTlChvPZ8CJcZBmLHLMwaZ_dfDRO476PqZDBwYflxSPoiTevu-E_dEHi1CKUXXchrgNU3lPoeBpmbqV79Pr_XT8hHo0ItSa7VwGEmjfg=s0-d-e1-ft#http://roundbyroundboxing.com/wp-content/uploads/2014/10/pacquiaoalgieri.jpg)
10 years ago
VijimamboBONDIA VICENT MBILINYI 'SUGU' AJIFUA KUMKABILI KEIS AMAL MEI 30
bondia huyo anaenolewa na Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ameingia kambini jana kwa ajili ya mpambano uho wa raundi sita ambapo siku hiyo mpambano mkubwa utakuwa ni kati ya bondia Fransic Cheka na Kiatchai Singwancha . kutoka
Thailand
mpambano...
10 years ago
Vijimambo24 Mar
BONDIA WANG XIN HUA KUTOKA CHINA AWASILI KUMKABILI MUDY MATUMLA IJUMAA
10 years ago
Vijimambo29 Oct
BONDIA FADHILI MAJIHA AONESHA MAAJABU KWA KUPIGWA KWA POINT THAILAND MCHEZO WA RAUNDI 12
![](https://2.bp.blogspot.com/-cK42mR3-87E/VE_yTeQHWSI/AAAAAAAAO2M/95lLIlrnNYg/s1600/10155008_545657868900715_6021983416470434928_n.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-A4-xt1NZPT4/VE_yTR0g4PI/AAAAAAAAO2Q/1o_PvKZOEY4/s1600/10341942_545657938900708_3969098675456894504_n.jpg)
11 years ago
Michuzi09 Apr
BONDIA WA IRAN SAJJAD MEHRABI AWASILI NCHINI KUMKABILI CHEKA JUMAMOSI APRIL 12 PTA SABA SABA
![](https://2.bp.blogspot.com/-yOS-qN-SsXc/U0VpDp_TEQI/AAAAAAAANYg/eL2siXVcAP4/s1600/10252130_281684818664814_483457899520552626_n.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oJTYyyN45HY/VRXnA1HdS7I/AAAAAAAHNs4/JEAtxzCgJ4A/s72-c/DSCF6974.jpg)
BONDIA MOHAMED MATUMLA AMTANDIKA KWA POINT BONDIA WANG XIN HUA KUTOKA CHINA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oJTYyyN45HY/VRXnA1HdS7I/AAAAAAAHNs4/JEAtxzCgJ4A/s1600/DSCF6974.jpg)
9 years ago
GPLMASTAA WAMWANDAMA DK. FADHILI
9 years ago
Global Publishers26 Dec
TRA watikisa utajiri wa Dk.Fadhili
Dk. Fadhili Emily.
Mwandishi wetu
KASI ya Rais Dk. John Pombe Magufuli inatikisa kila kona. Baada ya mtabibu Dk. Juma Mwaka ‘JJ Mwaka’ kuibukiwa hospitalini kwake na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Hamis Kigwangalla wiki iliyopita na kuagizwa uchunguzi wa uhalali wa huduma zake, hali imekuwa tete kwa mtatibu mwingine, Dk. Fadhili Emily anayemiki kliniki ijulikanayo kama The Fadhaget Sanitarium iliyopo Afrikana Mbezi Beach jijini Dar.
Imeelezwa kuwa, Dk....