Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TRA watikisa utajiri wa Dk.Fadhili

DOKTA-FADHILI-AMZAWADIA-ZARI-BAISKELI.jpgDk. Fadhili Emily.

Mwandishi wetu
KASI ya Rais Dk. John Pombe Magufuli inatikisa kila kona. Baada ya mtabibu Dk. Juma Mwaka ‘JJ Mwaka’ kuibukiwa hospitalini kwake na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Hamis Kigwangalla wiki iliyopita na kuagizwa uchunguzi wa uhalali wa huduma zake, hali imekuwa tete kwa mtatibu mwingine, Dk. Fadhili Emily anayemiki kliniki ijulikanayo kama The Fadhaget Sanitarium iliyopo Afrikana Mbezi Beach jijini Dar.

dk fadhili (9)Imeelezwa kuwa, Dk....

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MASTAA WAMWANDAMA DK. FADHILI

 Dk. Fadhili Emily. Mwandishi wetu KUFUATIA elimu yake ya kisasa ya jinsi mwanamke yeyote mwenye uzazi anavyoweza kupata watoto mapacha, Dk. Fadhili Emily wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asilia Clinic kilichopo Mbezi Afrikana, ameanza kuandamwa na baadhi ya mastaa wakitaka kukutana naye ‘laivu’ kwa ajili ya kuwapa somo hilo kwa ufasaha zaidi. Akuzungumza na Ijumaa Wikienda juzi, Dk. Fadhili alisema mastaa kibao (hakuwataja...

 

10 years ago

GPL

DOKTA FADHILI KUTUA BONGO

Mwandishi Wetu DAKTARI wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Dokta Fadhili Emily ambaye pia ni mfadhili mkuu wa zawadi mbalimbali zinazotoka kwenye Magazeti Pendwa ya Global Publishers, amefunguka kuwa anatarajia kutua nchini akiwa na utaalamu mpya ambao utawasaidia watu kuweza kupata watoto mapacha wa jinsia wanayotaka na wanataka wafanane na baba au mama.  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1JuCh2s ...

 

11 years ago

Michuzi

BONDIA FADHILI AWADH AFARIKI

Bondia wa ngumi za kulipwa Fadhili awadh amefariki dunia katika hospital ya Mwananyamala jijini Dar es salaam baada ya kuugua kwa siku kadhaa.  Marehemu Fadhili Awadh alikuwa ni miongoni mwa mabondia waliochaguliwa kucheza  mpambano wa ubingwa tarehe 29 mwezi huu wa tatu dhidi ya mpinzani wake toka Tanga Alan Kamote, na  alikuwa katika maandalizi ya mpambano huo.  Sababu ya kifo chake kwa ripoti ya daktari wa Mwananyamala kwa kiongozi wa ngumi Ibrahim Kamwe ni kuwa fadhili alikuwa na...

 

10 years ago

GPL

DOKTA FADHILI AMPA ZAWADI ZARI

Mwandishi wetu
DAKTARI wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Dokta Fadhili Emily, amemnunulia baiskeli ya kubebea mtoto, mpenzi wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kama zawadi pindi atakapojifungua. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko akiwa nchini Sweden alikoenda kwa ziara binafsi, Dokta Fadhili alisema kwa kutambua yeye ni mtu wa Kigoma anakotokea...

 

10 years ago

GPL

DK. FADHILI AWAPA SOMO LA UZAZI MASTAA

Daktari wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Fadhili Emilly. IMELDA MTEMA, Daktari wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Fadhili Emilly ambaye ni mdhamini wa fursa ya wasomaji kujipatia Tv Flat Screen inayotoka kwenye gazeti hili, ameibuka na somo la uzazi kwa mastaa wa Bongo.
Akizungumza na mwandishi wetu jijini Dar juzi, Dk. Fadhili alisema wapo mastaa wanahangaika kupata...

 

10 years ago

GPL

DK. FADHILI ADAIWA KUMUINGIZA WOLPER FREEMASON

Mwandishi wetu DAKTARI wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Dk. Fadhili Emily amedaiwa kuwa ndiye mshirika mkubwa aliyemshawishi mwigizaji wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper kujiunga na taasisi ya siri ya Freemason. Miezi kadhaa iliyopita, mwigizaji huyo aliwahi kunaswa katika jengo la Freemason lililopo Posta jijini Dar ambapo alipoulizwa kuwa anaabudu katika jengo hilo, alikataa na kudai kulikuwa...

 

10 years ago

GPL

DK. FADHILI KUMWAGA ZAWADI KWA WASOMAJI

Mwandishi wetu DAKTARI wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Fadhili Emily amewataka wasomaji wa Magazeti Pendwa kukaa mkao wa kula kwani ataanza kutoa zawadi mbalimbali kupitia mashindano. Akizungumza na Risasi Jumamosi, Dk. Fadhili ambaye amekuwa akidhamini mashindano mbalimbali ya magazeti ya Global Publishers, alisema kwa kuanzia, wasomaji wa Gazeti la Amani, watazawadiwa ‘flat screen’....

 

10 years ago

GPL

DK. FADHILI AAHIDI ZAWADI WASOMAJI MAGAZETI PENDWA

Mwandishi Wetu DAKTARI wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Dk. Fadhili Emily amewaambia wasomaji wa magazeti pendwa wakae mkao wa kula kwani anatarajia kutoa zawadi zaidi. Akizungumza na gazeti hili, daktari huyo anayedhamini Chemsha Bongo ya Flat Screen katika gazeti dada na hili la Amani, alisema anafurahishwa na habari zinazoandikwa na magazeti Pendwa ya Global Publishers kwani zinagusa jamii hivyo...

 

11 years ago

Vijimambo

BONDIA FADHILI BOIKA AJINOA KUMKABILI GODFREY SILVE

Bondia Fadhili Boika kushoto akipambana na Shomari Milundi wakati wa mazoezi yake yaliyofanyika katika ukumbi wa garden mburahati ya kujiandaa na mpambano wake wa Oktoba 25 kumkabili bondia Godfrey Silve katika ukumbi wa frends corne manzese Dar es salaam Bondia Fadhili Boika kushoto akipambana na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi yake yaliyofanyika katika ukumbi wa garden mburahati ya kujiandaa na mpambano wake wa Oktoba 25 kumkabili bondia Godfrey Silve katika ukumbi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani