Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DK. FADHILI AAHIDI ZAWADI WASOMAJI MAGAZETI PENDWA

Mwandishi Wetu DAKTARI wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Dk. Fadhili Emily amewaambia wasomaji wa magazeti pendwa wakae mkao wa kula kwani anatarajia kutoa zawadi zaidi. Akizungumza na gazeti hili, daktari huyo anayedhamini Chemsha Bongo ya Flat Screen katika gazeti dada na hili la Amani, alisema anafurahishwa na habari zinazoandikwa na magazeti Pendwa ya Global Publishers kwani zinagusa jamii hivyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DK. FADHILI KUMWAGA ZAWADI KWA WASOMAJI

Mwandishi wetu DAKTARI wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Fadhili Emily amewataka wasomaji wa Magazeti Pendwa kukaa mkao wa kula kwani ataanza kutoa zawadi mbalimbali kupitia mashindano. Akizungumza na Risasi Jumamosi, Dk. Fadhili ambaye amekuwa akidhamini mashindano mbalimbali ya magazeti ya Global Publishers, alisema kwa kuanzia, wasomaji wa Gazeti la Amani, watazawadiwa ‘flat screen’....

 

9 years ago

Michuzi

WASOMAJI WA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS KUJISHINDIA NYUMBA, PIKIPIKI, TV NA ZAWADI NYINGINE NYINGI.

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati) akizindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers Ltd. Kulia ni Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric James Shigongo.Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akiongea na wanahabari (hawapo pichani) kabla ya uzinduzi wa Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba kutoka Global.Wafanyakazi wa Global Publishers wakiwa katika picha ya...

 

10 years ago

GPL

DOKTA FADHILI AMPA ZAWADI ZARI

Mwandishi wetu
DAKTARI wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Dokta Fadhili Emily, amemnunulia baiskeli ya kubebea mtoto, mpenzi wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kama zawadi pindi atakapojifungua. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko akiwa nchini Sweden alikoenda kwa ziara binafsi, Dokta Fadhili alisema kwa kutambua yeye ni mtu wa Kigoma anakotokea...

 

11 years ago

GPL

BATULI: NILIFURAHI KUKUTA MAGAZETI YA PENDWA BUNGENI

Mwanadada mrembo kutoka Bongo Movies, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ pozini. MWANADADA mrembo kutoka Bongo Movies, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ amefunguka kuwa alifurahi kukuta magazeti Pendwa ya Global Publishers ndani ya mjengo wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Akipinga stori na paparazi wetu, Batuli alisema aliyaona magazeti hayo hivi karibuni alipokuwa amekwenda mjengoni humo kuwawakilisha wasanii...

 

10 years ago

Vijimambo

JITIRIRISHE NA VISHOKOMZOBE VILIVYOPAMBA KATIKA PANDE ZA USO WA MAGAZETI PENDWA YA BONGO.


Kwa Vishokomzobe zaidi vya uso wa magazeti ya leo, jitiririshe soma zaidi

 

11 years ago

GPL

Championi yaja na zawadi kwa wasomaji

Zawadi zitakazotolewa na Gazeti la Champion. Na Mwandishi Wetu
GAZETI bora la michezo Tanzania, Championi, limeanzisha Chemsha Bongo ambayo wasomaji wake watakuwa wakijipatia zawadi mbalimbali. Wasomaji wa Championi ambalo linatoka mara nne kwa wiki yaani Jumatatu, Jumatano, Ijumaa na Jumamosi, wanatakiwa kujibu swali litakalokuwepo kwenye ukurasa wa pili wa kila toleo na mshindi atajinyakulia zawadi kemkem. Zawadi hizo...

 

10 years ago

GPL

MR UWAZI AMWAGA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE

Msomaji wa Gazeti la  Uwazi mkazi wa eneo la Buza-Bakwata akipokea zawadi  ya sukari kutoka kwa Mr. Uwazi.  Anayeshuhudia kulia ni Ofisa Usambazaji wa Global,Yohana Mkanda. Wadau wa gazeti la Uwazi wakipozi na Mr. Uwazi…

 

11 years ago

GPL

UWAZI LATOA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE

Msomaji wa Gazeti la Uwazi akivaa tisheti aliyopewa na waandishi wa gazeti hilo kama zawadi baada ya kukutwa akisoma gazeti hilo maeneo ya Mbagala jijini Dar. Mr. Uwazi akimkabidhi msomaji zawadi ya sabuni kama motisha ya kusoma gazeti hilo. …

 

11 years ago

GPL

RISASI LATOA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE

Msomaji aliponaswa akisoma gazeti hilo maeneo ya Sinza Makaburini jijini Dar. Mhariri Msaidizi wa gazeti hilo, Joseph Shaluwa akimrejeshea msomaji huyo pesa yake.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani