Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Championi yaja na zawadi kwa wasomaji

Zawadi zitakazotolewa na Gazeti la Champion. Na Mwandishi Wetu
GAZETI bora la michezo Tanzania, Championi, limeanzisha Chemsha Bongo ambayo wasomaji wake watakuwa wakijipatia zawadi mbalimbali. Wasomaji wa Championi ambalo linatoka mara nne kwa wiki yaani Jumatatu, Jumatano, Ijumaa na Jumamosi, wanatakiwa kujibu swali litakalokuwepo kwenye ukurasa wa pili wa kila toleo na mshindi atajinyakulia zawadi kemkem. Zawadi hizo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MR. CHAMPIONI ATOA ZAWADI KWA WASOMAJI WA GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI

Msomaji wa Championi Jumamosi akirudishiwa pesa baada ya kukutwa akisoma gazeti. Msomaji wa gazeti la Championi Jumamosi akirudishiwa pesa…

 

11 years ago

GPL

MR. CHAMPIONI AENDELEA KUGAWA ZAWADI KWA WASOMAJI WA GAZETI JIPYA LA CHAMPIONI JUMAMOSI

Mr. Championi akimkabidhi zawadi msomaji wa Championi Jumamosi akiwa amevua shati, kwa raha zake. Msomaji akirudishiwa Sh 500 aliyonunulia gazeti baada ya kukutwa na Mr. Championi.…

 

11 years ago

GPL

MR CHAMPIONI AZIDI KUGAWA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE JIJINI DAR

Mr Championi (kushoto) akimpa zawadi mama baada ya kununua gazeti la Championi Shinda Mahera. Msomaji akijiandaa kujaza kuponi ya Championi Shinda Mahera maeneo ya Ubungo Stand.…

 

9 years ago

GPL

DK. FADHILI KUMWAGA ZAWADI KWA WASOMAJI

Mwandishi wetu DAKTARI wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Fadhili Emily amewataka wasomaji wa Magazeti Pendwa kukaa mkao wa kula kwani ataanza kutoa zawadi mbalimbali kupitia mashindano. Akizungumza na Risasi Jumamosi, Dk. Fadhili ambaye amekuwa akidhamini mashindano mbalimbali ya magazeti ya Global Publishers, alisema kwa kuanzia, wasomaji wa Gazeti la Amani, watazawadiwa ‘flat screen’....

 

11 years ago

GPL

RISASI LATOA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE

Msomaji aliponaswa akisoma gazeti hilo maeneo ya Sinza Makaburini jijini Dar. Mhariri Msaidizi wa gazeti hilo, Joseph Shaluwa akimrejeshea msomaji huyo pesa yake.…

 

9 years ago

GPL

MR UWAZI AMWAGA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE

Msomaji wa Gazeti la  Uwazi mkazi wa eneo la Buza-Bakwata akipokea zawadi  ya sukari kutoka kwa Mr. Uwazi.  Anayeshuhudia kulia ni Ofisa Usambazaji wa Global,Yohana Mkanda. Wadau wa gazeti la Uwazi wakipozi na Mr. Uwazi…

 

11 years ago

GPL

UWAZI LATOA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE

Msomaji wa Gazeti la Uwazi akivaa tisheti aliyopewa na waandishi wa gazeti hilo kama zawadi baada ya kukutwa akisoma gazeti hilo maeneo ya Mbagala jijini Dar. Mr. Uwazi akimkabidhi msomaji zawadi ya sabuni kama motisha ya kusoma gazeti hilo. …

 

10 years ago

GPL

MR.UWAZI AZIDI KUGAWA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE

Mr.Uwazi akijiandaa kumpatia zawadi msomaji eneo la Temeke baada ya kumkuta akiwa na Gazeti la Uwazi Mizengwe. Mr. Uwazi akipozi na wasomaji wa Gazeti la Mizengwe …

 

9 years ago

GPL

MR. UWAZI AGAWA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE BAGAMOYO

Mr.Uwazi alipotua stendi ya Bagamoyo kugawa zawadi kwa wasomaji wake. Msomaji wa Gazeti la Uwazi Mizengwe akipozi na Mr.Uwazi huku akisoma gazeti lake kabla ya upatiwa zawadi.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani