MR. CHAMPIONI ATOA ZAWADI KWA WASOMAJI WA GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI
Msomaji wa Championi Jumamosi akirudishiwa pesa baada ya kukutwa akisoma gazeti. Msomaji wa gazeti la Championi Jumamosi akirudishiwa pesa…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMR. CHAMPIONI AENDELEA KUGAWA ZAWADI KWA WASOMAJI WA GAZETI JIPYA LA CHAMPIONI JUMAMOSI
Mr. Championi akimkabidhi zawadi msomaji wa Championi Jumamosi akiwa amevua shati, kwa raha zake. Msomaji akirudishiwa Sh 500 aliyonunulia gazeti baada ya kukutwa na Mr. Championi.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu0kpsVY2Ne6es9SYARYGx86kOjem6bQBtQcezm8qg8iOG4i2NbAEVkreC4mtEZ4gwZMLoUMwD1oKMss84JnBXE9/champ.jpg)
Championi yaja na zawadi kwa wasomaji
Zawadi zitakazotolewa na Gazeti la Champion. Na Mwandishi Wetu
GAZETI bora la michezo Tanzania, Championi, limeanzisha Chemsha Bongo ambayo wasomaji wake watakuwa wakijipatia zawadi mbalimbali. Wasomaji wa Championi ambalo linatoka mara nne kwa wiki yaani Jumatatu, Jumatano, Ijumaa na Jumamosi, wanatakiwa kujibu swali litakalokuwepo kwenye ukurasa wa pili wa kila toleo na mshindi atajinyakulia zawadi kemkem. Zawadi hizo...
11 years ago
GPLMR CHAMPIONI AZIDI KUGAWA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE JIJINI DAR
Mr Championi (kushoto) akimpa zawadi mama baada ya kununua gazeti la Championi Shinda Mahera. Msomaji akijiandaa kujaza kuponi ya Championi Shinda Mahera maeneo ya Ubungo Stand.…
11 years ago
GPL26 Mar
JIPATIE NAKALA YAKO YA GAZETI MAHIRI LA MICHEZO 'CHAMPIONI JUMAMOSI'
Kwa habari za michezo, burudani, hadithi za kusisimua, makala za uchambuzi wa michezo na mengine mengi, Soma gazeti la Championi Jumamosi!
11 years ago
GPLGAZETI LA CHAMPIONI LAENDELEA KUGAWA FULANA KWA WAUZA MAGAZETI.
Muuzaji wa magazeti (kushoto) akiwa katika meza yake ya magazeti huku akiwa ametokelezea sambamba na mfanyakazi wa Global,  Jimmy Haroub (kulia). Muuzaji wa magazeti (kushoto) akionesha uso wa furaha baada ya kuvalishwa fulana ya Championi  na Jimmy Haroub.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49a-WWjdukEtEEuHlX42EaJjDz1Xc74x9JTx-4MT1-yFN*rfc6C7vQwv4j1BHYl5h7krBt7pOKCtHA3oifMyt6Xa/1.jpg)
11 years ago
GPLGAZETI LA CHAMPIONI LAKABIDHI UBANI KWA FAMILIA YA MAREHEMU MZEE SMALL
Waandishi wa Gazeti la Championi (waliochuchumaa), kutoka kushoto ni Lucy Mgina, Saphyna Mlawa, Martha Mboma na Khadija Mngwai wakimkabidhi ubani Mke wa Marehemu, Said Ngamba 'Mzee Small, Mama Said. Mhariri wa Championi Jumatano, Philip Nkini akimpa pole moja ya mtoto wa Marehemu Mzee Small.…
11 years ago
GPLWASOMAJI WA RISASI NA CHAMPIONI WAZAWADIWA
Mhariri wa Risasi Mchanganyiko, Mohammed Kuyunga (kulia) akiwa na Joshua Simon aliyenunua magazeti ya Risasi na Championi, Kimara Suka jijini Dar na kurudishiwa fedha zake. Msomaji aliyekutwa akisoma Gazeti la Uwazi, Rebecca Mlotwa, aliweza kununuliwa Gazeti la Risasi Mchanganyiko, Ubungo jijini Dar.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania