Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BATULI: NILIFURAHI KUKUTA MAGAZETI YA PENDWA BUNGENI

Mwanadada mrembo kutoka Bongo Movies, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ pozini. MWANADADA mrembo kutoka Bongo Movies, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ amefunguka kuwa alifurahi kukuta magazeti Pendwa ya Global Publishers ndani ya mjengo wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Akipinga stori na paparazi wetu, Batuli alisema aliyaona magazeti hayo hivi karibuni alipokuwa amekwenda mjengoni humo kuwawakilisha wasanii...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

DK. FADHILI AAHIDI ZAWADI WASOMAJI MAGAZETI PENDWA

Mwandishi Wetu DAKTARI wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Dk. Fadhili Emily amewaambia wasomaji wa magazeti pendwa wakae mkao wa kula kwani anatarajia kutoa zawadi zaidi. Akizungumza na gazeti hili, daktari huyo anayedhamini Chemsha Bongo ya Flat Screen katika gazeti dada na hili la Amani, alisema anafurahishwa na habari zinazoandikwa na magazeti Pendwa ya Global Publishers kwani zinagusa jamii hivyo...

 

9 years ago

Vijimambo

JITIRIRISHE NA VISHOKOMZOBE VILIVYOPAMBA KATIKA PANDE ZA USO WA MAGAZETI PENDWA YA BONGO.


Kwa Vishokomzobe zaidi vya uso wa magazeti ya leo, jitiririshe soma zaidi

 

11 years ago

Mwananchi

Aamka asubuhi na kukuta miguu imekatika

Mmkazi wa Ludewa, Mkoani Njombe, Yohana Nkwera (54) anadai kukatika miguu katika hali ya kushangaza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Prince Charles kukuta na Gerry Adams

Prince Charles anatarajiwa kukutana na kiongozi wa Sinn Fein Gerry Adams wakati wa ziara yake huko Ireland

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Dk Magufuli afanya ziara ya kushtukuza kwenye wizara ya fedha na kukuta maofisa wengi ‘wamekacha’ kazini

12063128_1643793222525539_937422512_n

Siku moja baada ya kuapishwa kuwa Rais wa tano wa Tanzania, Dokta John Magufuli ameanza kuifanyia kazi kauli mbiu yake ya ‘Hapa Kazi Tu’, kwa kufanya ziara ya kushtukiza kwenye wizara ya fedha Ijumaa hii.

12063128_1643793222525539_937422512_n

Rais huyo amedaiwa kutembea kwa mguu kutoka ikulu hadi kwenye ofisi za wizara hiyo jijini Dar es Salaam.

10299753_459716437546849_1576084077_n

Hata hivyo kwakuwa hiyo ilikuwa ni ziara ya kushtukiza, maofisa wengi walikuwa nje ya ofisi wakipiga mishe mishe zingine.

20151106033935

Akiwa kwenye wizara hiyo, Dk Magufuli amekagua ofisi zote na...

 

10 years ago

Michuzi

USAFIRI PENDWA KATIKA KIPINDI CHA MGOMO

 Hivi ndivyo hali ilivyo katika maeneo mengi ya jiji la Dar na sehemu zingine nyingi, baada ya mgomo wa mabasi unaoendelea hivi sasa kwa nchi nzima. hapo nauli ni kuanzia mia tano mpaka elfu moja. Huu ndio usafiri pendwa kwa kipindi hiki.

 

11 years ago

Michuzi

BENDI PENDWA TWANGA PEPETA ZIARANI NYANDA ZA JUU.

 Bendi pendwa ya African Stars “Twanga Pepeta” mwishoni mwa mwezi huu itafanya ziara ndefu ya maonyesho katika mikoa ya nyanda za juu kusini.   Twanga Pepeta itaanzia ziara yake NJOMBE siku ya Jumatano tarehe 26-03-2014 katika ukumbi wa Turbo.  Siku inayofuata tarehe 27-03-2014 siku ya Alhamisi kwa mara ya kwanza kabisa watakuwa Wilaya mpya ya MBABABAY katika ukumbi wa BAY LIVE SOCIAL HALL.   Ziara ya Twanga Pepeta siku ya Ijumaa tarehe 28-03-2014 itahamia Songea mjini katika ukumbi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani