BENDI PENDWA TWANGA PEPETA ZIARANI NYANDA ZA JUU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-kyellOibZGI/Ux9Yn2TaK9I/AAAAAAAFS90/YI7MoncQzZ4/s72-c/1439421_200.jpg)
Bendi pendwa ya African Stars “Twanga Pepeta” mwishoni mwa mwezi huu itafanya ziara ndefu ya maonyesho katika mikoa ya nyanda za juu kusini.
Twanga Pepeta itaanzia ziara yake NJOMBE siku ya Jumatano tarehe 26-03-2014 katika ukumbi wa Turbo.
Siku inayofuata tarehe 27-03-2014 siku ya Alhamisi kwa mara ya kwanza kabisa watakuwa Wilaya mpya ya MBABABAY katika ukumbi wa BAY LIVE SOCIAL HALL.
Ziara ya Twanga Pepeta siku ya Ijumaa tarehe 28-03-2014 itahamia Songea mjini katika ukumbi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UO9234PB6mk/VI_2iKARSoI/AAAAAAAG3f0/-8WpXy3mC2k/s72-c/10846465_820989117943210_5507661516903147093_n.jpg)
Luizer Mbutu kuimba nyimbo zote alizoshiri katika bendi ya Twanga Pepeta
![](http://2.bp.blogspot.com/-UO9234PB6mk/VI_2iKARSoI/AAAAAAAG3f0/-8WpXy3mC2k/s1600/10846465_820989117943210_5507661516903147093_n.jpg)
Akizungumza na Ripota wetu jana Mbutu alizitaja baadhi ya nyimbo hizo kuwa ni ‘Kisa Cha Mpemba’, ‘Jirani’, ‘Fainali Uzeeni’, ‘Mtu Pesa’, ‘Safari 2005’, ‘Mwana Dar es Salaam’ , ‘Kuolewa’ pia kutakuwa na wimbo maalum siku hiyo.
Mbutu...
10 years ago
GPL10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
AMIGOLAS WA TWANGA PEPETA AFARIKI DUNIA
10 years ago
MichuziTwanga Pepeta yapania Valentine Day
Mkurugenzi wa bendi hiyo Asha Baraka amesema kuwa pia onyesho hilo watatambulisha nyimbo zao mpya zilizoko kwenye chati. Pia mkurugenzi huyo alisema kuwa bendi hiyo itapiga nyimbo zao zote za zamani zilizovuma wakati huo.
Aliwataka mashabiki wa bendi hiyo kujitokeza kwa wingi kuhudhuria onyesho la aina yake ambalo...
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Twanga Pepeta kutumbuiza ‘Valentine Day’
11 years ago
GPL9 years ago
Mtanzania20 Nov
Hassan Rehani awajibu walioikimbia Twanga Pepeta
NA MWALI IBRAHIM
BAADA ya baadhi ya wanamuziki wa bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Ramadhani Athumani na Salehe Kupaza kueleza sababu iliyowafanya waikimbie bendi hiyo na kuhamia Double M Sound Plus ni maslai na madeni yao wanayoidai Twanga Pepeta, meneja wa bendi hiyo, Hassan Rehani, ameibuka na kukana madai hayo.
Wanamuziki hao tayari wameshatambulishwa rasmi kwenye bendi ya Double M Sound Plus iliyopo chini ya Mwinjuma Muumini ‘Kocha wa Dunia’, wamedaiwa kutumia maneno ya kudai...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Mfungo wafuta maonyesho Extra, Twanga Pepeta
KATIKA kuheshimu mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, baadhi ya bendi zimesitisha maonyesho yake zikitumia nafasi hiyo kujipanga zaidi kwa lengo la kuongeza makali yao. Kwa upande wa bendi ya...