Twanga Pepeta kutumbuiza ‘Valentine Day’
Dar es Salaam. Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ usiku wa leo itafanya onyesho maalum kusherekea siku ya wapendanao ‘Valentine Day’, kwenye ukumbi wa Mzalendo Pub, Kijitonyama, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTwanga Pepeta yapania Valentine Day
Mkurugenzi wa bendi hiyo Asha Baraka amesema kuwa pia onyesho hilo watatambulisha nyimbo zao mpya zilizoko kwenye chati. Pia mkurugenzi huyo alisema kuwa bendi hiyo itapiga nyimbo zao zote za zamani zilizovuma wakati huo.
Aliwataka mashabiki wa bendi hiyo kujitokeza kwa wingi kuhudhuria onyesho la aina yake ambalo...
11 years ago
GPL11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ra3yIR5rpfQ/UvuX3g8rdOI/AAAAAAAFMmA/8as_mi_hrYQ/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
GPL10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
AMIGOLAS WA TWANGA PEPETA AFARIKI DUNIA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3vKQkh-Flok1D8F63cRDmkjGdDU0rP7OXY9RxCTgfNdMy7ToOesHle07WA4TttdqFRmaqPacJspWs7EAVw9Q3ObdJEEA9Vl0/beakingnews.gif)
MSIBA: MCD WA TWANGA PEPETA AFARIKI DUNIA!
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Hassan Rehani awajibu walioikimbia Twanga Pepeta
NA MWALI IBRAHIM
BAADA ya baadhi ya wanamuziki wa bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Ramadhani Athumani na Salehe Kupaza kueleza sababu iliyowafanya waikimbie bendi hiyo na kuhamia Double M Sound Plus ni maslai na madeni yao wanayoidai Twanga Pepeta, meneja wa bendi hiyo, Hassan Rehani, ameibuka na kukana madai hayo.
Wanamuziki hao tayari wameshatambulishwa rasmi kwenye bendi ya Double M Sound Plus iliyopo chini ya Mwinjuma Muumini ‘Kocha wa Dunia’, wamedaiwa kutumia maneno ya kudai...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dM203vpOrZ8/XqfxvCsCPsI/AAAAAAALodE/1nPxFUCahYsVv7h9-Yv0nYvAgx6bZBwxwCLcBGAsYHQ/s72-c/choki%252Bpic.jpg)
JANGA LA CORONA LASABABISHA UKATA TWANGA PEPETA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dM203vpOrZ8/XqfxvCsCPsI/AAAAAAALodE/1nPxFUCahYsVv7h9-Yv0nYvAgx6bZBwxwCLcBGAsYHQ/s640/choki%252Bpic.jpg)
Yassir Simba, Michuzi Tv MMILIKI na Mkurugenzi wa bendi ya muziki wa dansi nchini ya Twanga Pepeta, Asha Baraka amedai bendi yake sasa haiko sawa kiuchumi kutokana na janga la Corona.
Mkurugenzi wa bendi hiyo ameyasema hayo katika mahojiano yake na kipindi cha clouds 360 kinachorushwa na clouds TV.
Asha Baraka amedai kwamba kutokana na janga hilo la Corona kumesababishwa kufungwa kwa baadhi ya kumbi za starehe na kupelekea bendi hiyo kukosa maonyesho ambapo amedai amesaidia kuwalipa msharaha...
10 years ago
GPLTWANGA PEPETA NA FM ACADEMIA KUFANYA SHOO MACHI 28