BONDIA MTANZANIA FADHILI MAJIHA KUMSINDIKIZA MANNY PAQUAIO NOVEMBA 22 MACAO CHINA
Na Mwandishi WetuBONDIA Fadhili majiha kwa mara ya kwanza ataiwakilisha nchi ya tanzania akicheza katika mpambano wa utangulizi wa bondia mkubwa duniani Manny Paquaio na Chris Algieri mpambano utakaofanyika
Cotai Arena, Venetian Resort, Macao, Macao S.A.R., China mpambano ambao bonia mtanzania Fadhili Majiha atavaana na Jerwin Ancajas kutoka Philippines mpambano utakaokuwa wa raundi 8
mchezo uliopowa hadhi ya nyota mbili ambapo watanzania wote wanapaswa kumuombea duwa bondia nambari moja kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo29 Oct
BONDIA FADHILI MAJIHA AONESHA MAAJABU KWA KUPIGWA KWA POINT THAILAND MCHEZO WA RAUNDI 12
![](https://2.bp.blogspot.com/-cK42mR3-87E/VE_yTeQHWSI/AAAAAAAAO2M/95lLIlrnNYg/s1600/10155008_545657868900715_6021983416470434928_n.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-A4-xt1NZPT4/VE_yTR0g4PI/AAAAAAAAO2Q/1o_PvKZOEY4/s1600/10341942_545657938900708_3969098675456894504_n.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fpyUoymvstE/UyVpwGxxiEI/AAAAAAAFT8Q/mOOMrLIPvSo/s72-c/unnamed+(29).jpg)
BONDIA FADHILI AWADH AFARIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-fpyUoymvstE/UyVpwGxxiEI/AAAAAAAFT8Q/mOOMrLIPvSo/s1600/unnamed+(29).jpg)
10 years ago
Vijimambo21 Oct
BONDIA FADHILI BOIKA AJINOA KUMKABILI GODFREY SILVE
9 years ago
Mtanzania25 Nov
Christian Bella kumsindikiza Miss Albino Novemba 27
![Christian Bella](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Christian-Bella-200x300.jpg)
MFALME wa Sauti, Christian Bella, anatarajiwa kutumbuiza katika shindano la kumsaka mrembo albino ‘Miss Albino’ linalotarajiwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu, kwenye Ukumbi wa Msasani Club, jijini Dar es Salaam.
Shindano hilo awali lilipangwa kufanyika Septemba 4 mwaka huu katika Hoteli ya Serena, lakini likashindikana hadi lilipotangazwa tena.
Mwenyekiti wa shirika lisilo la kiserikali la Save Vulnerable Foundation (SVF), Fredy Kaula, walioandaaa shindano hilo, alisema...
9 years ago
Bongo506 Jan
Majibu ya bondia Manny Pacquiao kuhusu kustaafu ngumi
![(FILES) In this September 3, 2014 file photo, Filipino boxing star Manny Pacquiao gestures on arrival for a press conference with fellow boxer Chris Algieri in Los Angeles, California. Pacquiao called his boxing showdown with Floyd Mayweather "the fight of my life" as he got down to work pounding the streets and gym in Los Angeles. The eight-division world champion cranked into serious preparations for the May 2 fight after flying in for his training camp from his native Philippines. On March 2, 2015, Pacquiao ran two miles (3.2 km) and shadow-boxed for two rounds, followed by abdominal work and breakfast of steamed rice, scrambled egg, fish and chicken broth. AFP PHOTO / FREDERIC J. BROWN / FILESFREDERIC J. BROWN/AFP/Getty Images](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/pacquiaotax_3249079b-300x194.jpg)
Mcheza ngumi raia wa Ufilipino ambaye amejizolea umaarufu duniani Manny Pacquiao amesema kwasasa anatarajia kustaafu mchezo huo April 2016 baada ya kumaliza pambano lake na bondia Timothy Bradley.
Bondia huyo tayari ameshinda mataji nane ya ubingwa wa dunia kwa sasa nia yake ni kuwania nafasi za juu za uongozi katika nchi yake ya Ufilipino anaamini ana nafasi kubwa ya kuiongoza nchi hiyo.
Pacquiao atapanda ulingoni kupambana na bondia huyo kutoka America kwa mara ya tatu April 9, 2016 hii...
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Bondia Manny Pacquiao anastaafu ngumi? haya ni majibu yake…
Staa wa ngumi duniani raia wa Ufilipino Manny Pacquiao amesema anatarajia kustaafu mchezo huo April 2016 baada ya kumaliza pambano lake na bondia Timothy Bradley. Bondia huyo ambaye tayari ameshinda mataji nane ya ubingwa wa dunia kwa sasa ana ndoto za kuwania nafasi za juu za uongozi katika nchi yake ya Ufilipino anaamini ana nafasi […]
The post Bondia Manny Pacquiao anastaafu ngumi? haya ni majibu yake… appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Bongo521 Oct
Picha: Bondia Manny Pacquiao akicheza ligi ya mpira wa kikapu Ufilipino
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oJTYyyN45HY/VRXnA1HdS7I/AAAAAAAHNs4/JEAtxzCgJ4A/s72-c/DSCF6974.jpg)
BONDIA MOHAMED MATUMLA AMTANDIKA KWA POINT BONDIA WANG XIN HUA KUTOKA CHINA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oJTYyyN45HY/VRXnA1HdS7I/AAAAAAAHNs4/JEAtxzCgJ4A/s1600/DSCF6974.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tcHbm9mz1iQ/VZt75SMzEeI/AAAAAAAHnaY/1Svdmlmr22c/s72-c/_84094296_mayweather_returers_body.jpg)
news alert: bondia floyd mayweather avuliwa mkanda kwa kushindwa kulipa ada ya pambano wake na Manny Pacquiao
![](http://4.bp.blogspot.com/-tcHbm9mz1iQ/VZt75SMzEeI/AAAAAAAHnaY/1Svdmlmr22c/s640/_84094296_mayweather_returers_body.jpg)
Pacquiao mwezi Mei Mwaka huu.Uamuzi huo umekuja baada ya bondia huyo mwenye umri wa miaka 38 kushindwa kuilipa shirikisho la ndondi la WBO ada ya dola laki mbili kabla ya Julai 3, mwaka huu.Hata hivyo Mayweather mwenyewe alitegemewa kuutema mkanda huo, kufuatia ushindi wa pointi dhidi ya Pacquiao. Mmarekami mwenzie Timothy Bradley ndiye ataepewa mkanda...