Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Awadh Juma: Sijui hatima yangu Simba

MCHEZAJI wa Simba, Awadh Juma amekiri kutofahamu hatima yake ndani ya klabu ya Simba kutokana na uvumi kuwa uongozi wake unataka kumpeleka kwa mkopo kwa timu ya Stand United ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BAO LA 3 LA SIMBA: JUMA KASEJA VS AWADH JUMA

Kipa wa Yanga, Juma Kaseja (kulia) akijaribu kuumiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Awadh Juma. ...Kaseja akiuchukua mpira.…

 

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA

Kocha Patrick Phiri amesema ametaarifiwa kuhusiana na kibarua chake kusitishwa.
Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...

 

10 years ago

Mwananchi

Awadh afuta mikosi Simba

Simba imevunja mwiko wa kutopata ushindi katika siku yao maalumu, ‘Simba Day’ tangu mwaka 2009 baada ya jana kuichapa SC Villa ya Uganda bao 1-0 katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Ndumbaro: Hatima yangu mkutano mkuu wa TFF mwakani

Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Simba na mjumbe wa Bodi ya Ligi, Damas Ndumbaro amesema hatima ya adhabu tata aliyopewa ya kufungiwa miaka saba, itajulikana kwenye mkutano mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

 

10 years ago

Mwananchi

Juma Rashid: Sitasahau nilivyohujumiwa elimu yangu

Kila siku asubuhi mapema, hufika kijiweni kwake eneo la Tabata Relini, Dar es Salaam. Akifika anasubiri mteja anayekodi usafiri wake wa guta kwa ajili ya kubeba mizigo. Ni Juma Rashid kijana mwenye historia inayosikitisha.

 

9 years ago

Mwananchi

Hatima ya Mrundi wa Simba

Rais wa Simba, Evance Aveva amesema hatima ya usajili wa Mrundi, Kelvin Ndayisenga itajulikana leo baada ya majadiliano kuhusu kiwango cha fedha anachotaka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hatima ya Loga Simba wiki hii

HATIMA ya Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, raia wa Crotia kuendelea kutanua viunga vya Msimbazi sasa inatarajiwa kujulikana mwishoni mwa wiki hii. Loga alitua Msimbazi mzunguko wa pili wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Hatima ya Wambura Simba sasa Agosti 3

Rais  wa Simba, Evans Aveva alisema jana kuwa wanachama waliofungua kesi mahakamani kupinga uchaguzi  uliofanyika Jumapili wamevunja katiba ya klabu hiyo ibara ya 28 inayokataza masuala ya klabu hiyo kupelekwa mahakamani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani