AJM yaja na ‘Faza Hausi’
MSANII wa filamu nchini, Athumani Lali ‘Budege’, baada ya kushirikishwa katika filamu za watu, sasa ameamua kuja na kazi zake mwenyewe na kuwawezesha wasanii wenzake kuwa na kipato kizuri baada...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi26 Feb
KINGWENDU AJA NA FAZA HAUSI
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Mitikasi ya maza hausi samtaimz ni mikosi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FoPvD-jfp2XLgom7AELgSfVJA70Xx8DchIrV25XAlGoPohqPqwiWqZsweoyvnZ6o-wosuWu0-Qe02uChnACCo2*/pekk700.gif?width=650)
MASELA OKOENI JAHAZI HAUSI YA JIRANI INAUNGUA!
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Airtel yaja na ‘Switch on’
KAMPUNI ya simu ya mkononi ya Airtel, imezindua huduma kabambe ya Intaneti itakayojulikana kama ‘Switch on’. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo juzi, Mkurugenzi wa Masoko wa Airtel Tanzania,...
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Vodacom yaja na ‘Hello Tanzania’
KAMPUNI ya simu za mikononi ya Vodacom Tanzania imeanzisha promosheni mpya iliyopewa jina ‘Hello Tanzania’ ambayo inamuwezesha mteja kuzungumza bure kwa dakika moja. Akizungumza na Tanzania Daima juzi, Mkuu wa...
9 years ago
Vijimambo10 Sep
Ukawa: Tanganyika yaja.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ukawa-10Sept2015.jpg)
Kauli hiyo ilitolewa mjini Zanzibar jana wakati wa uzinduzi wa kampeni ya mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, katika uwanja wa Demokrasia.
Maalim akihutubia umati wa wananchi katika mkutano huo ambao pia ulihudhuriwa na mgombea wa Ukawa wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
CHADEMA yaja na ajenda 9
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeamua kuwasha moto nchi nzima kwa wiki mbili mfululizo kuanzia leo, ukiwa ni mkakati wa kujiimarisha na kujadiliana na wananchi kuhusu masuala nyeti ya...
10 years ago
Uhuru Newspaper21 Apr
Mageuzi makubwa yaja
Shule 250 kufungiwa huduma ya intanetiVijiji 480 kuunganishwa huduma ya simuSerikali kuzibana kampuni za simu nchini
NA KHADIJA MUSSA
MIKAKATI ya serikali ya kutoa wataalamu wengi wa sayansi imeendelea kutetekelezwa kwa kasi, ambapo imetia saini mikataba kusambaza huduma za mtandao kwenye shule mbalimbali nchini.
Mikataba hiyo iliyotiwa saini jijini Dar es Salaam jana na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, iko miwili ya kupeleka huduma za mawasiliano...
10 years ago
Habarileo01 Jan
Treni ya mwendo kasi yaja
SHIRIKA la Reli Tanzania (TRL) limetangaza usafiri mpya wa reli kwa kutumia treni maarufu za Delux, zitakazofanya safari zake kutoka Dar es Salaam kuelekea mikoa ya Kigoma hadi Mwanza, utakaoanza mwezi huu.