Mageuzi makubwa yaja
Shule 250 kufungiwa huduma ya intanetiVijiji 480 kuunganishwa huduma ya simuSerikali kuzibana kampuni za simu nchini
NA KHADIJA MUSSA
MIKAKATI ya serikali ya kutoa wataalamu wengi wa sayansi imeendelea kutetekelezwa kwa kasi, ambapo imetia saini mikataba kusambaza huduma za mtandao kwenye shule mbalimbali nchini.
Mikataba hiyo iliyotiwa saini jijini Dar es Salaam jana na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, iko miwili ya kupeleka huduma za mawasiliano...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Jun
CUF wafanya mageuzi makubwa
MKUTANO Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) umeridhia uwepo wa ngazi ya uongozi wa jimbo, ili ufanane na mfumo wa vyama vingine vya upinzani nchini, kwa lengo la kuimarisha mshikamano.
10 years ago
Habarileo29 Jun
Mageuzi makubwa kufanyika CCM
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ameahidi kuwa watafanya mageuzi ambayo yanaifanya Halmashauri Kuu ya Chama (NEC) hicho kuwa na nguvu katika kuisimamia serikali yake.
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Blatter: Fifa inahitaji mageuzi makubwa
9 years ago
StarTV07 Oct
ACT Wazalendo kusudia kufanya mageuzi makubwa katika sekta ya utalii.
Chama cha ACT Wazalendo kimesema kinakusudia kufanya mageuzi makubwa katika sekta ya utalii nchini ili kuongeza fursa na mapato yanayotokana na sekta hiyo sambamba na kuwashughulikia kikamilifu wale wote wanaohujumu maliasili za Taifa.
Mgombea urais kupitia chama hicho Anna Mgwira amewaambia wakazi wa Arusha katika Mkutano wa kampeni za chama hicho kwamba mchango wa sekta ya utalii katika taifa kwa sasa ni mdogo kulingana na rasilimali zilizopo Tanzania.
Akiwahutubia wananchi katika viwanja...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s72-c/DSC_0332.jpg)
ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s640/DSC_0332.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2x-cksUbxNk/VhZx9i7TlQI/AAAAAAAH934/aZSF8Rr2bTk/s640/DSC_0343.jpg)
Na Chalila KibudaAALIYEKUWA Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Matokeo makubwa sasa bila maandalizi makubwa
ILI kupata matokeo yoyote makubwa na mazuri katika jambo lolote, lazima uwe umefanya maandalizi makubwa kabla. Hii ndiyo hali halisi ukiachilia mbali miujiza ya Mwenyezi Mungu anayeweza kufanya chochote. Tanzania...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
NBS na mageuzi ya usafirishaji
UNAPOZUNGUMZIA kampuni kongwe za usafirishaji abiria na mizigo ndani ya nje ya Mkoa wa Tabora, huwezi kuacha kuitaja kampuni ya NBS Classic Co. Ltd ‘The Pride of Tabora’. Kampuni hiyo...
10 years ago
TheCitizen22 Oct
At this speed, when will mageuzi become adult?