Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mageuzi makubwa yaja



 Shule 250 kufungiwa huduma ya intanetiVijiji 480 kuunganishwa huduma ya simuSerikali kuzibana kampuni za simu nchini
NA KHADIJA MUSSA
MIKAKATI ya serikali ya kutoa wataalamu wengi wa sayansi imeendelea kutetekelezwa kwa kasi, ambapo imetia saini mikataba kusambaza huduma za mtandao kwenye shule mbalimbali nchini.
Mikataba hiyo iliyotiwa saini jijini Dar es Salaam jana na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, iko miwili ya kupeleka huduma za mawasiliano...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

CUF wafanya mageuzi makubwa

MKUTANO Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) umeridhia uwepo wa ngazi ya uongozi wa jimbo, ili ufanane na mfumo wa vyama vingine vya upinzani nchini, kwa lengo la kuimarisha mshikamano.

 

10 years ago

Habarileo

Mageuzi makubwa kufanyika CCM

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaKATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ameahidi kuwa watafanya mageuzi ambayo yanaifanya Halmashauri Kuu ya Chama (NEC) hicho kuwa na nguvu katika kuisimamia serikali yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Blatter: Fifa inahitaji mageuzi makubwa

Aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter amemaliza kwa aibu na fedheha miaka 17 ya utumishi wake uliotukuka.

 

9 years ago

StarTV

ACT Wazalendo kusudia kufanya mageuzi makubwa katika sekta ya utalii.

Chama cha ACT Wazalendo kimesema kinakusudia kufanya mageuzi makubwa katika sekta ya utalii nchini ili kuongeza fursa na mapato yanayotokana na sekta hiyo sambamba na kuwashughulikia kikamilifu wale wote wanaohujumu maliasili za Taifa.

Mgombea urais kupitia chama hicho Anna Mgwira amewaambia wakazi wa Arusha katika Mkutano wa kampeni za chama hicho kwamba mchango wa sekta ya utalii katika taifa kwa sasa ni mdogo kulingana na rasilimali zilizopo Tanzania.

Akiwahutubia wananchi katika viwanja...

 

9 years ago

Vijimambo

ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI


Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi,Letcia Mosore (katikati)akizungumza na waandishi wa (habari hawapo pichani)  juu  ya ukiukaji wa katiba ya chama hicho kumvua madaraka iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Mwakilishi NCCR-Mageuzi ,Hamlyn Erasto,Kushoto ni Kamishina Mkoa wa Ruvuma,Mchatta Mchatta.Baadhi ya waandishi wakiwa katika mkutano huo.

Na Chalila Kibuda

AALIYEKUWA  Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Matokeo makubwa sasa bila maandalizi makubwa

ILI kupata matokeo yoyote makubwa na mazuri katika jambo lolote, lazima uwe umefanya maandalizi makubwa kabla. Hii ndiyo hali halisi ukiachilia mbali miujiza ya Mwenyezi Mungu anayeweza kufanya chochote. Tanzania...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NBS na mageuzi ya usafirishaji

UNAPOZUNGUMZIA kampuni kongwe za usafirishaji abiria na mizigo ndani ya nje ya Mkoa wa Tabora, huwezi kuacha kuitaja kampuni ya NBS Classic Co. Ltd ‘The Pride of Tabora’. Kampuni hiyo...

 

10 years ago

TheCitizen

At this speed, when will mageuzi become adult?

Transitions represent new, often dramatic experiences that combine shock, sadness , happiness, what-not. No-one is exempt.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani