Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Blatter: Fifa inahitaji mageuzi makubwa

Aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter amemaliza kwa aibu na fedheha miaka 17 ya utumishi wake uliotukuka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Rasimu inahitaji marekebisho makubwa’

Siku moja kabla ya kuanza kwa Bunge la Katiba mjini Dodoma, Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Zanzibar, Hamid Mbwezeleni amesema rasimu hiyo inahitaji kufanyiwa marekebisho makubwa kutokana na baadhi ya vifungu kugongana na vingine utekelezaji wake kuwa mgumu.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mageuzi makubwa yaja



 Shule 250 kufungiwa huduma ya intanetiVijiji 480 kuunganishwa huduma ya simuSerikali kuzibana kampuni za simu nchini
NA KHADIJA MUSSA
MIKAKATI ya serikali ya kutoa wataalamu wengi wa sayansi imeendelea kutetekelezwa kwa kasi, ambapo imetia saini mikataba kusambaza huduma za mtandao kwenye shule mbalimbali nchini.
Mikataba hiyo iliyotiwa saini jijini Dar es Salaam jana na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, iko miwili ya kupeleka huduma za mawasiliano...

 

10 years ago

Habarileo

Mageuzi makubwa kufanyika CCM

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaKATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ameahidi kuwa watafanya mageuzi ambayo yanaifanya Halmashauri Kuu ya Chama (NEC) hicho kuwa na nguvu katika kuisimamia serikali yake.

 

11 years ago

Habarileo

CUF wafanya mageuzi makubwa

MKUTANO Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) umeridhia uwepo wa ngazi ya uongozi wa jimbo, ili ufanane na mfumo wa vyama vingine vya upinzani nchini, kwa lengo la kuimarisha mshikamano.

 

10 years ago

GPL

BLATTER AJIUZULU FIFA

Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter. Zurich, Uswis
RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter, jana alijiuzulu cheo chake kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.Blatter alitangaza kujiuzulu jana jioni zikiwa ni siku nne tangu alipochaguliwa kwa mara ya tano kuiongoza Fifa. Alitangaza uamuzi huo kwenye makao makuu wa Fifa mjini Zurich akiwa ametumikia cheo cha urais...

 

10 years ago

Mwananchi

Blatter kujiuzulu Fifa

Zurich, Uswisi. Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter ametangaza kuwa atajiuzulu nafasi yake hiyo kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kamati kuu ya FIFA, yaidhinisha mageuzi

Kamati kuu ya shirikisho la mchezo wa soka duniani FIFA, imeidhinisha mageuzi yanayonuiwa kufufua hadhi ya shirikisho hilo lililokumbwa na kashfa nyingi.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA: Blatter asalia Kimya !

Rais wa FIFA Sepp Blatter kuonekana hadharani kwa mara ya kwanza tangu maafisa wakuu wa FIFA kukamatwa kufuatia tuhuma za ulaji rushwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani