Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NBS na mageuzi ya usafirishaji

UNAPOZUNGUMZIA kampuni kongwe za usafirishaji abiria na mizigo ndani ya nje ya Mkoa wa Tabora, huwezi kuacha kuitaja kampuni ya NBS Classic Co. Ltd ‘The Pride of Tabora’. Kampuni hiyo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI


Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi,Letcia Mosore (katikati)akizungumza na waandishi wa (habari hawapo pichani)  juu  ya ukiukaji wa katiba ya chama hicho kumvua madaraka iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Mwakilishi NCCR-Mageuzi ,Hamlyn Erasto,Kushoto ni Kamishina Mkoa wa Ruvuma,Mchatta Mchatta.Baadhi ya waandishi wakiwa katika mkutano huo.

Na Chalila Kibuda

AALIYEKUWA  Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...

 

10 years ago

Mtanzania

NBS: Uchumi wa Tanzania umeimarika

Mkurugenzi wa takwimu za uchumi, Moris Oyuke

Mkurugenzi wa takwimu za uchumi, Moris Oyuke

NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM

OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema katika robo ya kwanza ya mwaka huu inayoanzia Januari hadi Machi, uchumi umepanda  kwa asilimia 7.4 ikilinganishwa na asilimia 7.1 katika robo ya kwanza ya mwaka jana.

Kukua huko kwa uchumi kumechangiwa na sekta za umeme na maji, mawasiliano na uchukuzi na viwanda na ujenzi.

Akizungumza jana, Mkurugenzi wa takwimu za uchumi, Moris Oyuke, alisema sekta ya umeme na maji imekua kwa...

 

9 years ago

TheCitizen

Govt lands helping had to NBS

The government today vowed to continue financing the National Bureau of Statistics (NBS) to improve its mechanisms nationwide and ensure better data production.

 

10 years ago

Daily News

NBS conducts factory census


NBS conducts factory census
Daily News
ARUSHA is conducting a special census on factories operating in the seven local districts, including their numbers, productivity and employment ranges as well as contribution to national income. The study is being executed by the National Bureau of ...

 

10 years ago

Habarileo

Taasisi zahamasishwa kutumia kanzidata ya NBS

OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS) imewataka watunga sera, taasisi, mashirika ya umma na wadau mbalimbali wa maendeleo kuitumia kanzidata (data base) rasmi ya takwimu za chakula na kilimo iliyoanzishwa kwa lengo kutoa takwimu hizo kutoka katika maeneo mbalimbali.

 

9 years ago

Mwananchi

NBS: Thamani ya pato la taifa imepanda

Siku moja baada ya mwanasiasa mkongwe nchini kingumnge Ngombale Mwiru kusema uchumi wa nchi unadumaa  Shirika la Taifa la Takwimu limesema thamani ya Pato la  Taifa imepanda  hadi kufikia asilimia 7.9  kwa kipindi cha mwezi  Januari hadi Juni, mwaka huu.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Serikali kuongeza uwazi kazi za NBS

SERIKALI imesema itaendelea kuongeza uwazi katika matumizi ya takwimu zinazokusanywa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ili kukidhi vigezo na malengo ya mfumo mpya uliowekwa na Umoja wa Mataifa (UN) wa mwaka 2008 wa upataji wa takwimu za Pato la Taifa.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa warsha ya kimataifa ya siku tano ya watakwimu kutoka nchi za Afrika zinazozungumza Kiingereza, Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha Profesa Adolf Nkenda, alisema Tanzania inaendelea kukusanya takwimu...

 

10 years ago

Daily News

RITA, NBS for regular updates of statistics


Daily News
RITA, NBS for regular updates of statistics
Daily News
THE comprehensive assessment on civil registration and vital statistics to be implemented for the first time in the country between September 15 and 30 this year will ease availability of precise data for various development programmes, Morogoro Regional ...

 

11 years ago

GPL

BASI LA NBS LAGONGA KIMARA DAR

Muonekano wa mbele wa basi la NBS T719 AZC baada ya kugonga basi la Princes Muro T892 BUR lililokuwa likitokea Dar kwenda Mwanza eneo la Kimara. Basi la Princes Muro T892 BUR likitokea Dar kwenda Mwanza limegongwa nyuma na basi la NBS T719 AZC likiwa safarini kuelekea Tabora eneo la Kimara leo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani