Serikali kuongeza uwazi kazi za NBS
SERIKALI imesema itaendelea kuongeza uwazi katika matumizi ya takwimu zinazokusanywa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ili kukidhi vigezo na malengo ya mfumo mpya uliowekwa na Umoja wa Mataifa (UN) wa mwaka 2008 wa upataji wa takwimu za Pato la Taifa.
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa warsha ya kimataifa ya siku tano ya watakwimu kutoka nchi za Afrika zinazozungumza Kiingereza, Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha Profesa Adolf Nkenda, alisema Tanzania inaendelea kukusanya takwimu...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziDkt. Migiro: Nia ya Serikali ni kuongeza uwazi zaidi
Na Omega Ngole
Serikali imesisitiza nia yake ya kuendesha shughuli zake kwa uwazi na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_439-qd7GFo/VV3sb9CSzuI/AAAAAAAC448/L4tBY3S4huk/s72-c/1.jpg)
SERIKALI NA TAASISI ZISIZO ZA KISERIKALI ZATAKIWA KUFANYA KAZI KWA UWAZI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-_439-qd7GFo/VV3sb9CSzuI/AAAAAAAC448/L4tBY3S4huk/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-emWJQOrICBo/VV3sb436uDI/AAAAAAAC45M/SC9bCZmRcPw/s640/2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Serikali kuzindua mkakati wa kitaifa wa maendeleo ya stadi kazi ili kusaidia kuongeza ujuzi!
Mkurugenzi Msaidizi Toka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi stadi Dkt. Jonathan Mbwambo akifafanua kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu mpango wa Serikali wa kuendeleza stadi za kazi kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ili kuongeza tija katika sekta zote nchini,kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari Maelezo Bi. Zamaradi Kawawa.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imetangaza kuanzisha mkakatia wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EPZeZ_rnVhQ/VTCiZpIafAI/AAAAAAAHRmY/R3sDO_i8WmU/s72-c/1.jpg)
MFUMO MPYA WA UONDOSHJI MIZIGO(TANCIS)KUONGEZA UWAZI NA UWAJIBIKAJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-EPZeZ_rnVhQ/VTCiZpIafAI/AAAAAAAHRmY/R3sDO_i8WmU/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-B9fYcsbe79o/VTCiZ8fmrYI/AAAAAAAHRmU/D4mx5_lOycA/s1600/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Mfumo mpya wa undoshaji Mizigo (TANCIS) kuongeza uwazi na uwajibikaji
Kamishna wa Forodha na Ushuru kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Tiagi Masamaki Kabisi akiwaeleza waandishi wa Habari juu ya faida za Mfumo mpya wa Uondoshaji Mizigo bandarini(TANCIS) ikiwa unasaidia katika kufanya makadirio ya kodi sahihi kulingana na taarifa sahihi zilizoletwa kwa kutumia mfumo huo, pia utasaidia wateja kujua sehemu mizigo yao ilipo na pia wanapaswa kulipa kiasi gani kulingana na mzigo wa mteja, wakati wa Mkutano na waandishi wa Habari leo Jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9-57Jz3_O7A/VfVdMPw7xQI/AAAAAAAH4Uw/Npn2irJJo7o/s72-c/IMG_1765.jpg)
TPA YASIFU BENKI KUONGEZA MUDA WA KAZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-9-57Jz3_O7A/VfVdMPw7xQI/AAAAAAAH4Uw/Npn2irJJo7o/s640/IMG_1765.jpg)
10 years ago
GPLMR. UWAZI AGAWA SUKARI KWA WASOMAJI WA ‘UWAZI MIZENGWE’ DAR
11 years ago
Mwananchi29 May
Tuufanyie kazi mpango wa EPZ ili kuongeza ajira
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10