Dkt. Migiro: Nia ya Serikali ni kuongeza uwazi zaidi
Waziri wa Katiba na Sheria Dr. Asha-Rose Migiro akiwasilisha taarifa ya makadirio ya bajeti ya Wizara yake kwa Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala jana (Jumamosi, Mei 3, 2014). Kulia kwake ni Naibu wake Angellah Kairuki na wa pili kulia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Wiliam Ngeleja.
Baadhi ya Maofisa wa Wizara ya Katiba na Sheria wakifuatilia mkutano huo. Picha na Wizara ya Katiba na Sheria.
Na Omega Ngole
Serikali imesisitiza nia yake ya kuendesha shughuli zake kwa uwazi na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania15 Jul
Serikali kuongeza uwazi kazi za NBS
SERIKALI imesema itaendelea kuongeza uwazi katika matumizi ya takwimu zinazokusanywa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ili kukidhi vigezo na malengo ya mfumo mpya uliowekwa na Umoja wa Mataifa (UN) wa mwaka 2008 wa upataji wa takwimu za Pato la Taifa.
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa warsha ya kimataifa ya siku tano ya watakwimu kutoka nchi za Afrika zinazozungumza Kiingereza, Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha Profesa Adolf Nkenda, alisema Tanzania inaendelea kukusanya takwimu...
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Mfumo mpya wa undoshaji Mizigo (TANCIS) kuongeza uwazi na uwajibikaji
Kamishna wa Forodha na Ushuru kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Tiagi Masamaki Kabisi akiwaeleza waandishi wa Habari juu ya faida za Mfumo mpya wa Uondoshaji Mizigo bandarini(TANCIS) ikiwa unasaidia katika kufanya makadirio ya kodi sahihi kulingana na taarifa sahihi zilizoletwa kwa kutumia mfumo huo, pia utasaidia wateja kujua sehemu mizigo yao ilipo na pia wanapaswa kulipa kiasi gani kulingana na mzigo wa mteja, wakati wa Mkutano na waandishi wa Habari leo Jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EPZeZ_rnVhQ/VTCiZpIafAI/AAAAAAAHRmY/R3sDO_i8WmU/s72-c/1.jpg)
MFUMO MPYA WA UONDOSHJI MIZIGO(TANCIS)KUONGEZA UWAZI NA UWAJIBIKAJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-EPZeZ_rnVhQ/VTCiZpIafAI/AAAAAAAHRmY/R3sDO_i8WmU/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-B9fYcsbe79o/VTCiZ8fmrYI/AAAAAAAHRmU/D4mx5_lOycA/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lsvCvTGeXOc/VaFhIY2OeqI/AAAAAAAHo3c/KM1NUVC7sG8/s72-c/1.jpg)
NEWS UPDATES KUTOKA DODOMA JIONI HII;NI DKT ASHA ROSE MIGIRO,BALOZI AMINA SALUM ALI NA DKT JOHN POMBE MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-lsvCvTGeXOc/VaFhIY2OeqI/AAAAAAAHo3c/KM1NUVC7sG8/s400/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CmGrEC4kgrI/VaFhJFUpO0I/AAAAAAAHo3g/e0ZxnFmZpZ0/s400/95d388712d9d7c240b0646aafc4f2f69.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t12eDQxlARw/VaFhJKczhkI/AAAAAAAHo3k/HnCPBf_FG0Q/s400/Dr.AshaRoseMigiro.jpg)
Pichani ni majina matatu ya wagombea kiti cha Urais kwa chama cha CCM,yaliyopitishwa jioni ya leo na Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM,ambapo kati ya hayo majina matatu kupitia Mkutano Mkuu wa CCM unaotarajiwa kufanyika usiku huu utaibua jina la mtu mmoja tu ambaye atatambulika kuwa ndiye mgombea kiti cha Urais kupitia chama hicho cha CCM
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y_Pyso1N09A/VO22wmfKN8I/AAAAAAAHF0c/DaIBWb3zeTU/s72-c/unnamed%2B(53).jpg)
Tume iibue masuala yanayoathiri haki za binadamu - Dkt. Migiro
![](http://3.bp.blogspot.com/-y_Pyso1N09A/VO22wmfKN8I/AAAAAAAHF0c/DaIBWb3zeTU/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kjDVu9R2xvE/VO22w3YpSDI/AAAAAAAHF0g/ZKBCzC1vvMI/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Feb
Dkt. Migiro: Tume iibue masuala yanayoathiri haki za binadamu
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro akiongea na viongozi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora jijini Dar es Salaam jana (Jumanne, Feb 24, 2015). Kulia kwake ni Naibu Waziri Ummy Mwalimu na kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Tume hiyo Wakili Bahame Tom Nyanduga na Katibu Mtendaji Bi. Mary Massay. Waziri alifanya ziara katika ofisi za Tume hiyo kubadilishana mawazo na uzoefu.
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro, Naibu wake Ummy Mwalimu wakiwa katika picha ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ONKmBxwZgDA/VEplSsuIhNI/AAAAAAAGtL8/kbM6dBIxRfE/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Wanafunzi Taasisi ya Mufunzo Uanasheria kupata mikopo - Dkt. Migiro
![](http://4.bp.blogspot.com/-ONKmBxwZgDA/VEplSsuIhNI/AAAAAAAGtL8/kbM6dBIxRfE/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0mMEAnoULlA/VEplSqlG7bI/AAAAAAAGtME/Jq7sYSjybCY/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
11 years ago
MichuziDKT. ASHA-ROSE MIGIRO ALIVYOPOKELEWA KWA FURAHA UMOJA WA MATAIFA
10 years ago
Dewji Blog25 Oct
Dkt. Migiro: Wanafunzi Taasisi ya Mufunzo Uanasheria sasa kupata mikopo
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro akikagua Jengo la Mahakama ya Mafunzo katika Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Ijumaa, oktoba 24, 2014) jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Naibu wake Mhe. Angellah Jasmine Kairuki na kulia ni Mkuu wa Taasisi hiyo Jaji Dkt. Gerald Ndika.
Na Mwandishi wetu
Serikali inakamilisha taratibu za kuwasilisha Bungeni Muswada wa Sheria unaolenga kurekebisha Sheria ya Bodi ya Mikopo ili kuwawezesha wanafunzi wa Taasisi ya Mafunzo ya...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10