Taasisi zahamasishwa kutumia kanzidata ya NBS
OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS) imewataka watunga sera, taasisi, mashirika ya umma na wadau mbalimbali wa maendeleo kuitumia kanzidata (data base) rasmi ya takwimu za chakula na kilimo iliyoanzishwa kwa lengo kutoa takwimu hizo kutoka katika maeneo mbalimbali.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Feb
Taasisi zashauriwa kutumia takwimu za NBS
TAASISI zinazotumia takwimu zimeshauriwa kutumia takwimu zinazozalishwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kwa maelezo kuwa ndio taasisi pekee inayozalisha takwimu za kweli ambazo zinafaa kwa mipango ya maendeleo.
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Mahakamani kwa kughushi tovuti feki kutumia majina ya Taasisi na wanasiasa
9 years ago
StarTV14 Nov
 Watanzania, taasisi zaaswa kutumia vyama vya ushirika kuimarisha uschumi endelevu
Watanzania na taasisi mbalimbali nchini zimeaswa kujenga uchumi imara na endelevu kupitia vyama vya ushirika.
Sera zilizopo hivi sasa nchini zinadaiwa kushindwa kumkomboa mwananchi kiuchumi kutokana na kutozingatia misingi na kanuni za vyama vya ushirika.
Tanzania ni miongoni mwa nchi za Afrika zilizokuwa na ushirika imara lakini kwa sasa ushirika huo unaonekana kudorora kutokana na takwimu zinazoonyesha idadi ya wanachama wa vyama vya ushirika kutoridhisha.
Ufumbuzi wa tatizo hilo...
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Taasisi,Mashirika na Makampuni yaaswa kutumia sehemu ya faida wanayopata kusaidia Huduma za AFYA
Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam(CBE) Prof.Emanuel Mjema(kushoto) akizungumza na viongozi na baadhi ya watumishi wa Hospitali ya wilaya ya Kisarawe leo kabla ya kukabidhi msaada wa shuka 176 kusaidia wodi ya Wazazi ya hospitali hiyo.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KwyrIlpTJpk/Vgbg-AifwTI/AAAAAAAC_s0/VTE4t6sGYbw/s72-c/image_1.jpg)
TAASISI, MASHIRIKA NA MAKAMPUNI YAASWA KUTUMIA SEHEMU YA FAIDA WANAYOPATA KUSAIDIA HUDUMA ZA AFYA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-KwyrIlpTJpk/Vgbg-AifwTI/AAAAAAAC_s0/VTE4t6sGYbw/s640/image_1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-g9d4VF-F38E/VgbhAWKrBZI/AAAAAAAC_tE/nyZiaDFAxB8/s640/image_3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Aug
Shamim Mwasha atoa mada namna kutumia mitandao ya kijamii kwa manufaa kwenye semina ya taasisi ya Manjano
Mkurugenzi Mtendaji 8020 Fashion na Mentor wa Taasisi ya Manjano Foundation Shamim Mwasha akitoa mada kwenye Semina ya kuwawezesha wanawake kuwa wajasiriamali kupitia vipodozi vya Luv Touch Manjano iliyoandaliwa na Manjano Foundation kwa lengo la kuwajengea udhubutu wanawake kufanya biashara pia namna ya kujiwekea akiba na kutumiza malengo yao. Anayeshuhudia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions Ltd. Mkurugenzi wa Manjano Foundation, Mama Shekhar Nasser.
Washiriki wakimsikiliza...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-szSXiLLH3Mk/VactcasZ_ZI/AAAAAAABCnk/qZWPYBFE6AU/s72-c/A%2B1.jpg)
LHRC WAZINDUA KANZIDATA YA KATIBA DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-szSXiLLH3Mk/VactcasZ_ZI/AAAAAAABCnk/qZWPYBFE6AU/s640/A%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8FcKTOzozgs/Vactd2RYRLI/AAAAAAABCn8/vTM-oZr0tQU/s640/A%2B2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Taasisi ya Watumishi Housing kutumia bilioni 400 kujenga nyumba za watumishi wa serikali
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watumishi Housing Company, Dkt. Fred Msemwa akitoa mada kuhusu mkopo wa ujenzi wa nyumba bora za kisasa kwa watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari Jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Agosti 14, 2014.
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO-Dar es Salaam.
TAASISI ya Watumishi Housing Company imetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 400 kwa ajili ya ujenzi za watumishi wa...
5 years ago
MichuziTAASISI YA AMANI TANZANIA YAWATAKA WANASIASA KUACHA KUTUMIA JANGA LA CORONA KAMA MTAJI WA KISIASA, WAUNGA MKONO HOTUBA YA RAIS MAGUFULI