Shamim Mwasha atoa mada namna kutumia mitandao ya kijamii kwa manufaa kwenye semina ya taasisi ya Manjano
Mkurugenzi Mtendaji 8020 Fashion na Mentor wa Taasisi ya Manjano Foundation Shamim Mwasha akitoa mada kwenye Semina ya kuwawezesha wanawake kuwa wajasiriamali kupitia vipodozi vya Luv Touch Manjano iliyoandaliwa na Manjano Foundation kwa lengo la kuwajengea udhubutu wanawake kufanya biashara pia namna ya kujiwekea akiba na kutumiza malengo yao. Anayeshuhudia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions Ltd. Mkurugenzi wa Manjano Foundation, Mama Shekhar Nasser.
Washiriki wakimsikiliza...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMKURUGENZI MTENDAJI WA 8020 FASHIONS SHAMIM MWASHA ATOA MADA NAMNA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KWA MANUFAA KWENYE SEMINA YATAASISI YA MANJANO
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-D65woYpNhUY/VcRNWff9oAI/AAAAAAAAHyE/K0Qzx0NvCis/s72-c/20150805123429.jpg)
MBUNIFU WA MITINDO AMINA PLUMMER ATOA MADA NAMNA KUJITAMBUA KWENYE SEMINA YA KUWAWEZESHA WANAWAKE WAJASIRIAMALI
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/11822711_923652997681225_6432442291480398172_n.jpg?oh=31727df288cad95a97e7232bd157e9bb&oe=564E5AA2)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D65woYpNhUY/VcRNWff9oAI/AAAAAAAAHyE/K0Qzx0NvCis/s72-c/20150805123429.jpg)
MBUNIFU WA MITINDO AMINA PLUMMER ATOA MADA NAMNA YA KUJITAMBUA KWENYE SEMINA YA KUWAWEZESHA WANAWAKE WAJASIRIAMALI
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/11822711_923652997681225_6432442291480398172_n.jpg?oh=31727df288cad95a97e7232bd157e9bb&oe=564E5AA2)
9 years ago
Michuzi10 Sep
SEMINA YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE KWA KUTUMIA VIPODOZI VYA LUV TOUCH MANJANO YAENDELEA
![](https://mmi693.whatsapp.net/d/tfe_bFsG9gIyZo9ZNxkg-VXwZFU/Aj4koK-AI--fNqQmdIpwqEEzPZP0TNvh_84ArlfA6JW2.jpg)
![](https://mmi112.whatsapp.net/d/ZBA5GqCmhXuTE7NQEsJgvVXwYZE/AgxpN55egoI9kkF5224wuTU-vXindnWPTiEartFiVOch.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cXiKLt3clko/Xs5dCvTSH8I/AAAAAAAAH8Y/0vZNTfbQ7tg5xY1JoZ0RcsUC44syX5sJwCLcBGAsYHQ/s72-c/MISA%2B3.jpg)
WATANZANIA WASHAURIWA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KWA FAIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cXiKLt3clko/Xs5dCvTSH8I/AAAAAAAAH8Y/0vZNTfbQ7tg5xY1JoZ0RcsUC44syX5sJwCLcBGAsYHQ/s640/MISA%2B3.jpg)
Muongozaji wa majadiliano Bw. Michael Gwimile akifafanua jambo wakati wa mkutano wa majadiliano uliowashirikisha wadau mbalimbali wa Habari ulioandaliwa na MISA-Tan na kufanyika hivi karibuni Jijini Dodoma.
![](https://1.bp.blogspot.com/-8ghm6G37z5M/Xs5dCXDDKRI/AAAAAAAAH8U/rqiyZRJDYYApjpwAKRsaD1lJWVIzudxawCLcBGAsYHQ/s640/MISA%2B4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-P-WIdrfvkgY/Xs5dDBhbCBI/AAAAAAAAH8c/SO2djtsPsywdEWM-Wpaf06L0l3cr-FG1wCLcBGAsYHQ/s640/MISA%2B5.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-8QN796L_tWk/VCGIY6bjB5I/AAAAAAADFNM/ZdaSI45RX1c/s72-c/PIX%2B1.png)
KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII SI DHAMBI, TUITUMIE VIZURI KWA MALENGO YALIYOKUSUDIWA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8QN796L_tWk/VCGIY6bjB5I/AAAAAAADFNM/ZdaSI45RX1c/s1600/PIX%2B1.png)
Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM. 23/09/2014. Mitandao ya kijamii ni mizuri katika kuhabarisha umma endapo inatumiwa kulingana na madhumuni iliyotengenezwa, kwani ina nguvu ya kusambaza habari kwa haraka na kwa wakati hapa duniani. Pamoja na umuhimu nwa mitandao hii ya kijamii, kuna baadhi ya watu ambao wao hujiona kuwa wameendelea katika ulimwengu wa kisayansi na teknolojia kiasi cha kuanza...
10 years ago
VijimamboKAMANDA MPINGA ATOA ONYO KWA WAMILIKI WA MITANDAO YA KIJAMII
KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani (Trafic), Mohamed Mpinga , ameonya wamiliki wa mitandao ya kijamii kuacha kusambaza taarifa ambazo hazijafanyiwa uchunguzi na kuthibitika kama zina ukweli ndani yake.
Kamanda Mpinga, alisema hayo jijini Dar es Salaam wakati alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu tukio la baadhi ya mitando kusambaza taarifa kuwa kulikuwa na basi la Kampuni ya Dar Express limepata ajali.
Alisema,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lXcUHSzyzfg/VKuK7NdhFqI/AAAAAAAG7nk/7NiUhcVy178/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-01-06%2Bat%2B10.11.09%2BAM.png)
KAMANDA MPINGA ATOA ONYO KWA WAMILIKI WA MITANDAO YA KIJAMII INAYOPOTOSHA UMMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-lXcUHSzyzfg/VKuK7NdhFqI/AAAAAAAG7nk/7NiUhcVy178/s1600/Screen%2BShot%2B2015-01-06%2Bat%2B10.11.09%2BAM.png)
KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania (Trafic), Mohamed Mpinga (pichani), ametoa onyo kwa baadhi ya wamiliki wa mitandao ya kijamii kuacha kusambaza taarifa ambazo hazijafanyiwa uchunguzi na kuthibitika kama zina ukweli ndani yake.
Kamanda Mpinga, ameyasema hayo jijini Dar es Salaam wakati alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu tukio la baadhi ya mitando kusambaza taarifa kuwa kulikuwa na basi la Kampuni ya Dar Express limepata ajali.
Alisema, onyo hilo...
10 years ago
Mwananchi22 Feb
SHAMIM MWASHA: Mmiliki wa 8020 asiyepigia hesabu mali za mume