Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Airtel yaja na ‘Switch on’

KAMPUNI ya simu ya mkononi ya Airtel, imezindua huduma kabambe ya Intaneti itakayojulikana kama ‘Switch on’. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo juzi, Mkurugenzi wa Masoko wa Airtel Tanzania,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

AIRTEL KENYA YAJA NA OFA KABAMBE YA ONE AIRTEL‏

Nairobi, Oktoba 21, 2015 – KAMPUNI inayoongoza katika mawasiliano ya simu, katika nchi 20 za Afrika na Asia, Airtel, imeboresha huduma yake ya roaming services kwa kuanzisha malipo ya mlingano yenye nafuu kubwa kwa wateja wake wanaosafiri katika bara la Afrika kutokea Kenya. Huduma hiyo ya ‘One Airtel’ inamwezesha mteja mgeni kutoka nje kutumia SIMkadi yake kupata huduma mbalimbali za Airtel kwa bei ya nchi husika huku...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ney, Barnaba, Mdee wapagawisha ‘Airtel Switch On’

WASANII nyota wa muziki nchini ambao pia ni mabalozi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, kupitia huduma mpya ya ‘Airtel Switch On’, Ney wa Mitego, Vannessa Mdee na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Airtel yaja na ‘Wifi ya nyumbani’

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imezindua huduma ya kwanza ya kibunifu nchini ijulikanayo kama ‘Home Wifi With Bundle Share’ (Wifi ya nyumbani na kifurushi cha pamoja). Huduma...

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YAJA NA OFA YA IPHONE S5

Meneja Uhusiano wa Airtel Bitrice Singano (katikati), akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari jinsi wateja wa mtandao huo watakavyofaidika mara baada ya kununua simu hiyo.
Meneja Masoko wa Airtel Prisical Tembo akionyesha muonekano wa simu hiyo ulivyo huku akishuhudiwa na meneja Uhusiano wa kampuni hiyo Beatrice Singano aliyesimama kulia.…
...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL KUPITIA HUDUMA YA SWITCH ON YAZINDUA OFA KAMBABE YA SIMU NA TECNO H5 MPYA‏

Kulia ni Meneja Masoko wa Airtel Bi Prisca Tembo na Meneja Biashara wa Techno bw, Marco Wang wakionyesha simu mpya ya TechoH5 iliyoingizwa sokoni ikiwa na ofa kabambe itakaowawezesha wateja wa Airtel kupata simu ya kisasa pamoja na vifurushi vya internet ya kudumu kwa muda wa miezi mitatu kuanzia leo
Kushoto ni Afisa Mauzo wa airtel Nizar Aladawy na Afisa Mauzo wa Techno bi, Lolinda Joshman wakionyesha simu mpya ya TechoH5...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yaja na Promosheni Mpya ya "shinda gari na Yatosha Zaidi"

Mkurugenzi wa kitengo cha Masoko wa Airtel Tanzania,Levi Nyakundi (wa pili kushoto) na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano wa Airtel Tanzania,Beatrice Singano Mallya (pili kulia) wakifunua moja wa Gari aina ya Toyota IST ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa Promosheni mpya ya Yatosha Zaidi ambayo itawawezesha wateja wa Airtel wanaotumia huduma ya Airtel Yatosha kujishindia zawadi ya Gari kupitia droo maalim itakayokuwa ikichezeshwa kila siku kwa muda wa miezi miwili,wateja watakaojiunga na...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YAJA NA HUDUMA MPYA YA KUTOA PUNGUZO KWA WATEJA

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano (katika), akionyesha bango linaloonyesha namna ya kujiunga na huduma hiyo.  Kulia ni Maneja Masoko wa kampuni hiyo, Ravi Kant, akishuhudia zoezi hilo huku Mkurugenzi wa Masoko, Levi Nyakundi, akiwa ameshikilia bango hilo. Singano akitoa mfano kwa kutumia simu yake namna ya kujiunga na huduma hiyo.… ...

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YAZINDUA HUDUMA YA 'SWITCH ON' KWA KISHINDO!

WASANII Nay wa Mitego, Barnabas na Vanessa Mdee wakizundua huduma ya vifurushi vya Internet vya kampuni ya simu za mkononi ya Airtel katika hotel ya Hyatt Kempinsky Kilimanjaro Hotel usiku huu, Mei 21, 2014.…

 

11 years ago

Michuzi

Airtel yaja na 'Tourist pack' yashusha gharama za simu na Intaneti kwa Watalii

 Wakwanza kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Bw, Sunil Colaso akifuatiwa na  Meneja Masoko wa Airtel bi, Prisca Tembo ,na Mwenyekiti wa shirikisho la  wadau wa Utalii Tanzania Bwana Gaudence Temu , wakionyesha vifurushi vya bidhaa mpya ya Airtel Tourist Pack , wakati wa uzinduzi wa kifurushi hicho kitakacho wawezesha watalii kuwasiliana na familia zao mara wawapo nchi katika utalii, uzinduzi hu umefanyika leo katika makao makuu ya Airtel Daressalaam  Mkurgenzi mtendaji wa Airtel...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani