Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Krismasi yenye mitikasi haina ukakasi

Mwanangu bado unalazimisha mambo kama longtaimu? Mwenzenu niko katikati ya mji hapa kuna mitikasi miwili mitatu naipiga, nshakubali kama nimepigwa bao na hapa nilipo nshaicheza ngoma yangu na madogo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mitikasi ya maza hausi samtaimz ni mikosi

Wazee, mwanangu Jeba anatafuta hauzi ya kupanga. Kama kuna docho mnalijua liko aido, nistueni nikamhamishe. Siku ya tatu leo anapiga mbonji gesti, kazinguana na lendilodi wake, ..akampa kubwa, hapa anasakwa na Polisi.

 

10 years ago

Vijimambo

GWAJIMA ATOA VIDEO YENYE MANENO YENYE UTATA, ANGALIA VIDEO HAPA


Gwajima Akiwa kwenye Kitu cha Wagonjwa Anaonekana Kwenye Video Akitoa Maneno yenye utata kumsema mtu kwa Mafumbo ..embu angalia hapa chini kwenye Video:

 

10 years ago

Mwananchi

Laif ni denja, haina mjanja

Ule mzuka ambao sikuwa nao wa kwenda mamtoni, unaanza kama kutoweka taratibu. 

 

10 years ago

Habarileo

‘PAP haina uhusiano na familia ya JK’

KAMPUNI ya PanAfrica Power Resources (PAP) imekanusha umiliki wake kuwa na uhusiano na familia ya Rais Jakaya Kikwete kama ilivyovumishwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hospitali Tumbi haina CT Scan

HOSPITALI ya Rufaa ya Tumbi iliyopo wilayani Kibaha, mkoani Pwani, inakabiliwa na ukosefu wa kompyuta ya Tomography (CT Scan), hali inayosababisha ongezeko la vifo vya majeruhi wa ajali. Ukosefu wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Liberia haina Ebola tena

Shirika la Afya Duniani, WHO, limetangaza rasmi kwamba hakuna tena Ebola nchini Liberia.

 

9 years ago

BBCSwahili

WHO:Sierra Leone haina Ebola

Maelfu ya watu wa Sierra Leone wameteremka katika barabara za mji mkuu, Freetown, kusherehekea kuwa zimepita siku 42 bila ya mtu yeyote kuuguwa ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool haina mashaka na Gerrard

Kocha wa Liverpool Brendan Rodgers amesema ana imani na Steven Gerrard ingawa walipoteza mchezo

 

9 years ago

Mtanzania

Dk. Shein: CCM haina mbadala Zanzibar

Dr.-Ali-Mohamed-SheinNa Arodia Peter, Zanzibar

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amesema chama hicho hakina mbadala wa uongozi, hivyo wananchi wanao wajibu wa kukirudisha madarakani.

Alisema hilo linatokana na uimara wa CCM tangu ilipopata uhuru mwaka 1964 na kuwapo ilani madhubuti zinazowavutia wananchi kila baada ya miaka mitano ya uongozi.

Dk. Shein aliyasema hayo juzi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika Uwanja wa Bungi, Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani