Akudo Impact, Mashujaa Music na Jahazi Modern Taarab kusindikiza uzinduzi wa Albam ya Tarsis Masela
BENDI mbili za muziki wa dansi, Akudo Impact, Mashujaa Music pamoja na kundi la mahiri la muziki wa taarab la Jahazi Modern Classic vitasindikiza uzinduzi wa albamu mpya wa msanii, Tarsis Masela (pichani katikati) unaotarajiwa kufanyika Novemba 21 kwenye ukumbi wa Ten Lounge jijini Dar es Salaam.
Akizungumza jijini Dar es salam leo , Meneja wa mwanamuziki huyo, Ray Matata, alisema kuwa maandalizi ya uzinduzi huo yamekamilika na bendi zote tatu zimethibitisha kutoa burudani siku ya uzinduzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoORlssLOhJAhrf1VxvJgRV*OxpChSWD7eq6aChocKzivBFxazYLUo-UcKiguRXtkUu2mXL8W4YNf83AQySaZPr3U/moden.jpg?width=640)
JAHAZI MODERN TAARAB KUPELEKA UTAMBULISHO WA NYIMBO MPYA MOROGORO
11 years ago
Michuzi21 Feb
11 years ago
GPLJAHAZI MODERN TAARAB WAFUNIKA DAR LIVE SIKUKUU YA IDD MOSI
10 years ago
GPL27 Dec
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BqeBrXgbyOY/VO9om2AWMfI/AAAAAAAHGHE/sM0nxFtewJE/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
JAHAZI MODERN TAARAB NA MASHAUZI CLASSIC JUKWAA MOJA MACHI 22 …ni Usiku wa Baba na Mwana
![](http://1.bp.blogspot.com/-BqeBrXgbyOY/VO9om2AWMfI/AAAAAAAHGHE/sM0nxFtewJE/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/d-SB85baoHI/default.jpg)
9 years ago
Bongo504 Sep
Video: Tarsis Masela — Usingizi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tztDqFY5VK8/VEeqRqxpxqI/AAAAAAAGsqQ/YnYIRiiUYsk/s72-c/DSCF9964.jpg)
Mwanamuziki Tarsis Masela kuzindua albamu yake ya kwanza Novemba 21
![](http://3.bp.blogspot.com/-tztDqFY5VK8/VEeqRqxpxqI/AAAAAAAGsqQ/YnYIRiiUYsk/s1600/DSCF9964.jpg)
Akizungumza na wanahabari jijini dar leo Masela, ambaye pia ni mwanamuziki na Rais wa bendi ya Akudo, alisema kuwa albamu hiyo itakuwa na nyimbo saba na zina ujumbe mbalimbali ambao unalenga kuelimisha jamii.
Masela alizitaja nyimbo zilizoko katika albamu hiyo...
10 years ago
Daily News27 May
Akudo Impact musicians jailed for illegal stay
Daily News
THREE Akudo Impact Band members have been sentenced to six months imprisonment or pay a 200,000/- fine for illegal stay and working in the country without a valid permit. The accused were named as Olungu Ndiovu Mambe (32), Mombili Makambo (33), ...