Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JAHAZI MODERN TAARAB WAFUNIKA DAR LIVE SIKUKUU YA IDD MOSI

Waimbaji wa kundi la Jahazi Morden Taarab wakiwa jukwaani wakati wakifanya yao katika sikukuu ya Idd, Dar Live. Mashabiki kibao wakiwa wamejazana mbele ya steji…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MSHINDO WA HIP HOP-TAARAB DAR LIVE IDD MOSI, HAPA MADEE, PALE JUMA NATURE

Rais wa Manzese ambaye ni staa wa Bongo Fleva, Hamad Ally ‘Madee’. Mwandishi Wetu
Dar es SalaamI
MESALIA wiki moja na siku kadhaa kufikia Sikukuu ya Idd Mosi ambapo ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar kutafuka moshi wa burudani kwa mastaa kibao wa muziki wa Hip Hop na Taarab kutumbuiza. Mkali wa Bongo Fleva, Juma Kasim ‘Juma Nature’. Akizungumza na...

 

11 years ago

GPL

JAHAZI YATIKISA KWA MUZIKI MKALI WA TAARAB DAR LIVE

Mzee Yusuf akiwadatisha mashabiki waliofurika Dar Live.
Mzee Yusuf na wanenguaji wake kazini.…

 

10 years ago

GPL

MASHABIKI WA TAARAB WAJINOMA KWA MUZIKI WA JAHAZI DAR LIVE

Mzee Yusuf akiimba. Mashabiki wakiwa wakiserebuka na picha ya Mzee Yusuf. Leila Rashid akipagawisha mashabiki.…

 

11 years ago

GPL

JAHAZI MODERN TAARAB KUPELEKA UTAMBULISHO WA NYIMBO MPYA MOROGORO

KUNDI la Jahazi Modern Taarab limefafanua ni kwanini limeamua kuuchagua mji wa Morogoro kama kituo chao cha kwanza cha kutambulishia nyimbo zao mpya zitakazounda albam yao mpya ijayo. Jahazi wanatagemewa kufanya onyesho maalum Morogoro kwaajili ya kuwaonyesha nyimbo mpya mashabiki wao Ijumaa ya tarehe 31 mwezi huu ndani ya ukumbi wa Tanzanite Complex. Jana kiongozi wa Jahazi Modern Taraab Mohamed Mauji alifanya mahojiano na...

 

10 years ago

Michuzi

JAHAZI MODERN TAARAB NA MASHAUZI CLASSIC JUKWAA MOJA MACHI 22 …ni Usiku wa Baba na Mwana

Hatimaye makundi mawili yanayoaminika kuwa na mashabiki wengi zaidi katika taarab, Jahazi Modern Taarab na Mashauzi Classic yatafanya onyesho la pamoja mwezi ujao.Onyesho hilo litafanyika Travertine Hotel Magomeni jijini Dar es Salaam, Jumapili ya tarehe 22 mwezi Machi.Hii inakuwa ni mara ya pili kwa makundi hayo mawili kufanya onyesho la pamoja (bila kushirikishwa makundi mengine).Onyesho la kwanza lililopewa jina la Usiku wa Baba na Mwana lilifanyika miaka minne iliyopita ndani ya ukumbi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani