MZEE YUSUF AAHIDI KUFUNIKA SIKUKUU YA IDD MOSI DAR LIVE, USIKOSE
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMZEE YUSUF AZIKONGA NYOYO ZA MASHABIKI SIKUKUU YA EID MOSI, DAR LIVE
Mzee Yusuf akizikonga nyoyo za mashabiki wake ndani ya Ukumbi wa Dar Live katika Sikukuu ya Eid Mosi. Mfalme Mzee Yusuf akipelekeshana puta na wanenguaji wake wakati wa shoo hiyo ndani ya Dar Live.…
10 years ago
GPLIDD MOSI HII DAR LIVE | MADEE, NATURE, MZEE YUSUF KUWASHA MOTO
Hamad Ally' Madee' WAFALME kunako Hip Hop na Taarab, Hamad Ally ‘Madee’, Juma Kassim ‘Nature’ pamoja na Mzee Yusuf wanatarajiwa kuangusha bonge la shoo Idd Mosi hii ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. Mastaa hao walizungumza na Uwazi Mizengwe kuhusiana na shoo hiyo ambapo kila mmoja aliahidi kufanya makubwa ambayo hayajawahi kutokea katika tasnia ya...
11 years ago
GPLJAHAZI MODERN TAARAB WAFUNIKA DAR LIVE SIKUKUU YA IDD MOSI
Waimbaji wa kundi la Jahazi Morden Taarab wakiwa jukwaani wakati wakifanya yao katika sikukuu ya Idd, Dar Live. Mashabiki kibao wakiwa wamejazana mbele ya steji…
11 years ago
GPLMZEE YUSUF NA JAHAZI WAWASHA MOTO DAR LIVE SIKUKUU YA KRISMASI
Mzee Yusuf akiwapagawisha mashabiki wa taarab Dar Live.…
10 years ago
GPLDIAMOND PLATNUMZ, MZEE YUSUF WAAHIDI KUANGUSHA SHOO YA KUFA MTU DAR LIVE SIKUKUU YA X-MAS
Wanamuziki Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' na Mzee Yusuf (kushoto) wakipozi baada ya kufanya mahojiano na wanahabari leo. Wanamuziki hao wakionyesha mbwebwe zao mbele ya wanahabari (hawapo pichani).…
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Diamond na Mzee Yusuf kuumana Dar Live
 Wapenzi wa burudani ya muziki wa kizazi kipya na muziki wa taarabu watapata burudani ya funga mwaka kutoka kwa gwiji wa muziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz na mfalme wa muziki wa taarabu, Mzee Yusuf watapanda jukwaa moja katika ‘Tamasha Wafalme’ litakalofanyika katika Ukumbi wa Dar Live, Mbagala.
10 years ago
GPLMZEE YUSUF KUACHIA MPYA DAR LIVE
Mfalme wa muziki wa taarab Mzee Yusuf. MFALME Mzee Yusuf amerudi tena ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar ambapo Aprili 25, mwaka huu anatarajia kuachia ngoma mpya. Akizungumza na Over The Weekend, Mzee Yusuf anayebamba kunako miondoko ya Taarab alisema kuwa anawashukuru mashabiki kwa kuweza kumudu kwenye muziki kwa muda mrefu na zawadi kubwa atakayoitoa siku hiyo ni wimbo mpya uitwao...
10 years ago
GPLWATOTO WALIVYOKULA BATA IDD MOSI DAR LIVE
Watoto wakionekana wenye furaha, huku wakiendesha baiskeli kwenye ukumbi huo. Watoto wakipanda katika picha ya ndege iliyopo ndani ya ukumbi huo wa burudani.…
10 years ago
GPLJUMA NATURE AFUNIKA IDD MOSI DAR LIVE
Mfalme wa Hip Hop na Juma Kassim ‘Nature’ akingusha bonge la shoo Idd Mosi ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar usiku huu. (PICHA: RICHARD…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania