Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JUMA NATURE AFUNIKA IDD MOSI DAR LIVE

Mfalme wa Hip Hop na Juma Kassim ‘Nature’ akingusha bonge la shoo Idd Mosi ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar usiku huu. (PICHA: RICHARD…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MSHINDO WA HIP HOP-TAARAB DAR LIVE IDD MOSI, HAPA MADEE, PALE JUMA NATURE

Rais wa Manzese ambaye ni staa wa Bongo Fleva, Hamad Ally ‘Madee’. Mwandishi Wetu
Dar es SalaamI
MESALIA wiki moja na siku kadhaa kufikia Sikukuu ya Idd Mosi ambapo ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar kutafuka moshi wa burudani kwa mastaa kibao wa muziki wa Hip Hop na Taarab kutumbuiza. Mkali wa Bongo Fleva, Juma Kasim ‘Juma Nature’. Akizungumza na...

 

10 years ago

GPL

IDD MOSI HII DAR LIVE | MADEE, NATURE, MZEE YUSUF KUWASHA MOTO

Hamad Ally' Madee' WAFALME kunako Hip Hop na Taarab, Hamad Ally ‘Madee’, Juma Kassim ‘Nature’ pamoja na Mzee Yusuf wanatarajiwa kuangusha bonge la shoo Idd Mosi hii ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. Mastaa hao walizungumza na Uwazi Mizengwe kuhusiana na shoo hiyo ambapo kila mmoja aliahidi kufanya makubwa ambayo hayajawahi kutokea katika tasnia ya...

 

10 years ago

GPL

WATOTO WALIVYOKULA BATA IDD MOSI DAR LIVE

Watoto wakionekana wenye furaha, huku wakiendesha baiskeli kwenye ukumbi huo. Watoto wakipanda katika picha ya ndege iliyopo ndani ya ukumbi huo wa burudani.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Juma Nature na wenzake kuiteka Dar katika tamasha la “Komaa” litakalofanyika jumamosi ukumbi wa Dar Live Mbagala

Msanii Juma Nature ‘Kiroboto’ akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu tamasha kubwa la kuadhimisha miaka 16 ya kazi zake za muziki nchini  pamoja na hitimisho la sherehe za mwaka mmoja za Kituo cha Redio cha EFM linalofahamika kwa jina la Komaa Concert litakalofanyika kwa mara ya kwanza Jumamosi Ukumbi wa Dar Live Mbagala kuanzia saa 12 jioni. Kushoto ni  Mkurugenzi wa Idara ya Mahusiano na Mawasiliano wa Kituo cha Redio cha EFM, Denis Ssebo,...

 

10 years ago

GPL

MSAGA SUMU AIPAMBA SHOO YA IDD MOSI DAR LIVE

Mwanamuziki Msaga Sumu akiwarusha mashabiki wa Dar Live katika shoo ya Idd Mosi usiku huu. Nyomi ikimpa shangwe Msaga Sumu.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani